Maana ya udini tanzania

Status
Not open for further replies.

Averos

JF-Expert Member
Aug 6, 2010
993
695
Udini unaweza kutafsiriwa tofatuti Tanzania
Kwa Waisalamu: Udini Ni ile hali ya Serikali kuewapendelea wakristo katika nyanja za Uongozi, Huduma za kijamii, na Fursa za kiuchumi, ilihali ikiwakandamiza waislamu.
Kwa Wakristo: Udini Ni ile hali ya waislamu kutaka kujikomboa na kuleta usawa katika nyanja za Siasa (Uongozi), huduma za kijamii na Uchumi.

source: Maalim Ali Basaleh.
 
Udini unaweza kutafsiriwa tofatuti Tanzania
Kwa Waisalamu: Udini Ni ile hali ya Serikali kuewapendelea wakristo katika nyanja za Uongozi, Huduma za kijamii, na Fursa za kiuchumi, ilihali ikiwakandamiza waislamu.
Kwa Wakristo: Udini Ni ile hali ya waislamu kutaka kujikomboa na kuleta usawa katika nyanja za Siasa (Uongozi), huduma za kijamii na Uchumi.

source: Maalim Ali Basaleh.


Definition nyingine bwana! Sasa nani anawatala waislam mpaka uwepo ukombozi. Udini kwa wakristo ni hali ya waislam kutaka kulazimisha kuingiza alama za dini yao katika katiba. Ile NEMBO ya TANESCO mliichora mwezi sasa naona na bendera ya taifa mtaifanya hivyo baada ya kuingiza OIC na Kadhi kwenye katiba
 
o
Udini unaweza kutafsiriwa tofatuti Tanzania<br />
Kwa Waisalamu: Udini Ni ile hali ya Serikali kuewapendelea wakristo katika nyanja za Uongozi, Huduma za kijamii, na Fursa za kiuchumi, ilihali ikiwakandamiza waislamu. <br />
Kwa Wakristo: Udini Ni ile hali ya waislamu kutaka kujikomboa na kuleta usawa katika nyanja za Siasa (Uongozi), huduma za kijamii na Uchumi. <br />
<br />
source: Maalim Ali Basaleh.
<br />
<br />
Nasikitishwa sana post zako AVEROS ni za kichochezi, kishabiki na zilizokosa ukomavu wa kisomi. Kuna thread hapo ya CCT ulitukana kitoto sana. Muna iharibu hii Forum. Kama watu kama nyie ndo mnataka kutukomboa, afadhali waliopo waendelee!
 
o<br />
<br />
Nasikitishwa sana post zako AVEROS ni za kichochezi, kishabiki na zilizokosa ukomavu wa kisomi. Kuna thread hapo ya CCT ulitukana kitoto sana. Muna iharibu hii Forum. Kama watu kama nyie ndo mnataka kutukomboa, afadhali waliopo waendelee!

Are you sure?, hapa nilichofanya ni kunukuu maneno ya mtu sijaweka maneno yangu!, au kunukuu ni kosa?
 
are you sure?, hapa nilichofanya ni kunukuu maneno ya mtu sijaweka maneno yangu!, au kunukuu ni kosa?
kunukuu ni kosa inamaana unakubaliana naye unless ungeweka msimamo wako! Zaidi ya hapo unakubaliana naye!
 
udini unaweza kutafsiriwa tofatuti tanzania
kwa waisalamu: Udini ni ile hali ya serikali kuewapendelea wakristo katika nyanja za uongozi, huduma za kijamii, na fursa za kiuchumi, ilihali ikiwakandamiza waislamu.
Kwa wakristo: Udini ni ile hali ya waislamu kutaka kujikomboa na kuleta usawa katika nyanja za siasa (uongozi), huduma za kijamii na uchumi.

Source: Maalim ali basaleh.
je huu ndo anaoongelea mtani wangu dr,dr,dr,dr,dr??? Au yeye anaongelea udini upi!???
 
UDINI UDINi UDIni UDini Udini udiniiiiiiiiiiiiiiiiii

Hebu tafuteni topics nyengine za discussion au ibadilisheni rasmi iwe DINIFORUM
 
Udini unaweza kutafsiriwa tofatuti Tanzania
Kwa Waisalamu: Udini Ni ile hali ya Serikali kuewapendelea wakristo katika nyanja za Uongozi, Huduma za kijamii, na Fursa za kiuchumi, ilihali ikiwakandamiza waislamu.
Kwa Wakristo: Udini Ni ile hali ya waislamu kutaka kujikomboa na kuleta usawa katika nyanja za Siasa (Uongozi), huduma za kijamii na Uchumi.

source: Maalim Ali Basaleh.


Definition za udini kamwulize JK na Makamba
 
Watu wanajadili UDINI bila kujua udini ni nini. Sasa Maalim katuweka sawa
Jana tu wakristu wengi walikuwa wanapinga kuwa hakuna udini,leo CCT wanaibuka na kuwa udini upo ila ulianza enzi za mzee ruksa.Which is which?
 
Are you sure?, hapa nilichofanya ni kunukuu maneno ya mtu sijaweka maneno yangu!, au kunukuu ni kosa?
<br />
<br />
Averos, nime-refer kwemye post zako za nyuma, angalia hiyo ya CCT na UDINI jinsi ulivyotimia lugha isiyo ya kistaarabu pamoja na wakina Jerusalaam, Quinine na Crusaders wengine. Mbaya zaidi mnatoka hapo muna dai katiba mpya na kuchangia post nyingi za CDM. For neutral minded person sio ngumu kwake kujua misimsmo yenu ya kisiasa na kidini. Kumbuka mbowe kwenye mdahalo alilumbusha hakuna kundi linaweza kushinda peke yake, sio CDM sio dini yeyote we need each other. Amini nawaambia waislamu wanaichukia CCM, ila kwa haya matusi tunawalazimisha wakipende. Let us not demonize one another, united we stand!
 
huna jipya nenda ukasomeshwe dini na baba yako usituletee mambo kishamba kuhusu dini na siasa,hauna topic nenda kaolewe na ccm ndo wanatumia dini kama mtaji wa kuuwa cuf na si cdm.
 
Udini unaweza kutafsiriwa tofatuti Tanzania
Kwa Waisalamu: Udini Ni ile hali ya Serikali kuewapendelea wakristo katika nyanja za Uongozi, Huduma za kijamii, na Fursa za kiuchumi, ilihali ikiwakandamiza waislamu.
Kwa Wakristo: Udini Ni ile hali ya waislamu kutaka kujikomboa na kuleta usawa katika nyanja za Siasa (Uongozi), huduma za kijamii na Uchumi.

source: Maalim Ali Basaleh.

Kwani kuna nchi, hata yenye waislamu zaidi ya 99%, ambayo kuna waislamu wamejikomboa na hawalalamiki? Kulalamika kwa Waislamu ni sunna jamani msishangae!
 
Kwani kuna nchi, hata yenye waislamu zaidi ya 99%, ambayo kuna waislamu wamejikomboa na hawalalamiki? Kulalamika kwa Waislamu ni sunna jamani msishangae! .....nimeipenda hii from Buchanan
 
Udini unaweza kutafsiriwa tofatuti Tanzania
Kwa Waisalamu: Udini Ni ile hali ya Serikali kuewapendelea wakristo katika nyanja za Uongozi, Huduma za kijamii, na Fursa za kiuchumi, ilihali ikiwakandamiza waislamu.
Kwa Wakristo: Udini Ni ile hali ya waislamu kutaka kujikomboa na kuleta usawa katika nyanja za Siasa (Uongozi), huduma za kijamii na Uchumi.

source: Maalim Ali Basaleh.
Well said
 
Udini unaweza kutafsiriwa tofatuti Tanzania
Kwa Waisalamu: Udini Ni ile hali ya Serikali kuewapendelea wakristo katika nyanja za Uongozi, Huduma za kijamii, na Fursa za kiuchumi, ilihali ikiwakandamiza waislamu.
Kwa Wakristo: Udini Ni ile hali ya waislamu kutaka kujikomboa na kuleta usawa katika nyanja za Siasa (Uongozi), huduma za kijamii na Uchumi.

source: Maalim Ali Basaleh.

Kutoka katika hizi definitions mbili wewe yako ni ipi?
 
Are you sure?, hapa nilichofanya ni kunukuu maneno ya mtu sijaweka maneno yangu!, au kunukuu ni kosa?

Ali Basaleh akisema wewe ni kichaa utamnukuu..... au utaenda mirembe kupimwa kwanza ndio utueleze kwamba una kichaa....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom