Infinite_Kiumeni
JF-Expert Member
- Jan 23, 2023
- 382
- 661
Ulikua naye kwenye mahusiano vizuri. Sasa unaona amebadilika. Anakua anajijali kuhusu yeye tu. Utaona ni mbinafsi sana na hana mpango kuhusu wewe. Pengine anakuambia kabisa nina wasiwasi kuhusu mimi mana najisikia vibaya. Ujue amepoteza mvuto kwako. Ujue amekuweka kiganjani.
Na anaposema ana wasiwasi kuhusu yeye ataharibu mambo, ni kwamba, Anakwepesha ili usijione mbaya au we ndo chanzo cha kitu kibaya. Lakini maana yake anajisikia vibaya kuwa nawe muda huo. Huo wasiwasi anakuonea huruma atakapokuacha. Sababu umekua mtu wa hisia sana. Na huo wasi wake ni kwamba hajui utamchukuliaje, au utafanyaje akishakuacha. Hasa kama nyuma aliacha mwanaume alafu bado akawa king’ang’anizi.
Hadi kufikia hapo inatokea pale unapokua dhaifu. Mwanzoni anaweza kukupenda kwa hela labda. Lakini baada ya hapo kama si jasiri, udhaifu wako utaonekana tu.
Ukiwa mtu wa hisia hisia sana, kidogo tu unamkumbusha “nakupenda”, mara huwezi kuishi bila yeye, mara ‘ukiondoka utaniumiza moyo’ au unamsifia kila saa hadi sifa zako hazina maana tena mpaka inabidi uelezee ulichomsifia. Pengine unalia kuhusu mwanamke. Au Unamweka kama ndo mtu wa kukupa amani. Apo utakua umeonesha udhaifu.
Hakuoni kama mtu anayestahili kuwa naye kimapenzi. Sababu unamfanya awe na wasi kuhusu hisia zake.
Badilika. Punguza hisia sana, kama ulijifunza kwenye muvi achana nazo. Kuwa mwanaume ambae mwanamke anawasi juu yake. Anawasi kwamba asipojitahidi kukuridhisha hatokupata.
Na anaposema ana wasiwasi kuhusu yeye ataharibu mambo, ni kwamba, Anakwepesha ili usijione mbaya au we ndo chanzo cha kitu kibaya. Lakini maana yake anajisikia vibaya kuwa nawe muda huo. Huo wasiwasi anakuonea huruma atakapokuacha. Sababu umekua mtu wa hisia sana. Na huo wasi wake ni kwamba hajui utamchukuliaje, au utafanyaje akishakuacha. Hasa kama nyuma aliacha mwanaume alafu bado akawa king’ang’anizi.
Hadi kufikia hapo inatokea pale unapokua dhaifu. Mwanzoni anaweza kukupenda kwa hela labda. Lakini baada ya hapo kama si jasiri, udhaifu wako utaonekana tu.
Ukiwa mtu wa hisia hisia sana, kidogo tu unamkumbusha “nakupenda”, mara huwezi kuishi bila yeye, mara ‘ukiondoka utaniumiza moyo’ au unamsifia kila saa hadi sifa zako hazina maana tena mpaka inabidi uelezee ulichomsifia. Pengine unalia kuhusu mwanamke. Au Unamweka kama ndo mtu wa kukupa amani. Apo utakua umeonesha udhaifu.
Hakuoni kama mtu anayestahili kuwa naye kimapenzi. Sababu unamfanya awe na wasi kuhusu hisia zake.
Badilika. Punguza hisia sana, kama ulijifunza kwenye muvi achana nazo. Kuwa mwanaume ambae mwanamke anawasi juu yake. Anawasi kwamba asipojitahidi kukuridhisha hatokupata.