Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 9,048
- 25,337
We lichoyo haujambo
Sijambo shikamoo, nimekumis
We lichoyo haujambo
Wapo hata 30 yrs bado bikraKwema Wakuu!!
Binti wa kuanzia miaka 18 kuendelea ni Mkubwa na anaweza kubeba majukumu Kama Mama, tofauti na Sisi wanaume ambao mpaka walau tufikishe miaka 25-27.
Ukibahatika maana ni bahati kukuta mwanamke Bikra mwenye umri wa miaka 18kuendelea Kwa Zama zetu.
Ukikutana na Mwanamke WA hivyo oa upesi.
Utakuja kunishukuru.
Kwa zama hizi usiongelee "Bikira" kwasababu huu ni msamiati kwa sasa. Bali nashauri tafuta mwanamke ambaye sio muhuni/kahaba oa.iKwema Wakuu!!
Binti wa kuanzia miaka 18 kuendelea ni Mkubwa na anaweza kubeba majukumu Kama Mama, tofauti na Sisi wanaume ambao mpaka walau tufikishe miaka 25-27.
Mkuu binadamu yeyote anaechelewa kuanza jigijigi akianza huwa anafidia uchewaji wake. Hivyo ukimuoa bikra mwenye umri mkubwa akigundua utamu wa asali ataonjwa sana huyo. Oa wazoefu watakuwa hawana jipya la kujifunzaKwema Wakuu!!
Binti wa kuanzia miaka 18 kuendelea ni Mkubwa na anaweza kubeba majukumu Kama Mama, tofauti na Sisi wanaume ambao mpaka walau tufikishe miaka 25-27.
kukupenda Kwa moyo wake wote.
WAKO????Mbona wangu nimempata akiwa Kidato cha sita??
Mbona wapo
MomMbona wangu nimempata akiwa Kidato cha sita??
Mbona wapo
Damu ya bikra ina nguvu kubwa na kamwe hawezi kukufuta moyoni, pia huwezi kuwa first lover wakati hujamgudha ulolo, yule alitoa bk ndio first lover wake.Na mimi ndio swali najiuliza nakosa jibu, kwa mtazamo wako First love inatoka wapi, inakuja automatically au paka nitoe bikra?
Yaani mimi ni first lover kwa ke ila sikumtoa bikra ila kuna stranger in between km zali akamtoa bikra, sasa hapa yupi ni yupi ? weka record sawa.
Acha kujifariji oa bikra ufaidi upendo wa ukweli kutoka moyoni mwa mwanamke.Huyu jamaa katupiga sana kwenye huu uzi, cha ajabu kuna viazi wata support.
Huu ndio ukweli mchungu, tuache kujifariji, ile damu ya bikra ina nguvu pia kiroho.mama watoto wangu nilimkuta bikra akiwa 23. ila wana wivu hadi unawaonea huruma kwasababu hawajawahi kuchanganya mapenzi.hawajui ladha tofauti tofauti kama haya manung'ayembe yanayozunguka barabarani na maofisini yakijifanya mazuri kumbe yamepitiwa na wanaume hata 50.
kwa hisani ya Jokajeusi,naunga mkono hoja.Kwema Wakuu!!
Binti wa kuanzia miaka 18 kuendelea ni Mkubwa na anaweza kubeba majukumu Kama Mama, tofauti na Sisi wanaume ambao mpaka walau tufikishe miaka 25-27.
Ukibahatika maana ni bahati kukuta mwanamke Bikra mwenye umri wa miaka 18kuendelea Kwa Zama zetu.
Ukikutana na Mwanamke WA hivyo oa upesi.
Utakuja kunishukuru.
Hakuna Raha Kama ukutane na Mwanamke Bikra alafu uwe First love wake. Utakula maisha mpaka ukome.
Ninauzoefu na Jambo hili. Na wapo waliofuta ushauri wangu ni mashahidi. Wanakula Raha za maisha.
First love ndio mapenzi halisi, ndio upendo halisi
Kikawaida mwanamke Hapendi mara mbili.
Kikawaida mwanamke hapelekeshwi mara mbili.
Mwanamke akishatendwa na Mpenzi wake wa Kwanza hawi tena Kama alivyokuwa, upendo wake unashuka Kwa zaidi ya 50%.
Lakini ukiwa WA Kwanza atakupenda Kwa 100%.
Watu wengi wanasema wanawake ni wabinafsi na pesa Yao hailiwi, ni kweli Kama wewe sio First lover wa uliyemuoa lazima awe mgumu kwenye kukupenda Kwa moyo wake wote.
Najua kuna watu watabisha, lakini huo ndio ukweli. Hata wanawake wenyewe wanalijua hili.
Mwanamke anaumizwa mara moja tuu kwenye mapenzi, tena anaumizwa na Mpenzi wa Kwanza. Maumivu ya Mpenzi wa kwanza ni OG Kwa Asilimia 100% lakini wewe mwenzangu na miye sijui wakumi huko umuacha ataumia kidogo tuu.
OA mwanamke Bikra utakuja kunishukuru
Wewe jifariji, kama umeoa mwanamke asiye na bikra ni sawa na kuchukua mke watu kidiplomasia.Hii mada watakaoiokoa ni wanawake na sio wanaume, wanawake wengi hutolewa bikra wakiwa na akili za utoto na wanakuwa hawajui athari za wao kupoteza bikra mapema, na wengi wao hufanya mapenzi kwa Mara ya kwanza kwa lengo la kumridhisha mpenzi wake na sio kujiridhisha yeye
Mapenzi ya waliotoana bikra waga hayadumu kwa takribani 85% yatakufa kitokana na utoto, kitendo cha kumtoa mwanamke bikra kwa wanaume waga limekaa kishujaa Sana ila ni tofauti Sana kwa wanawake, waga wanakuja kujutia Sana badae na kuishia kumchukia mtu aliemtoa bikra
Mwanamke huenjoy zaidi mapenzi kwa mwanaume wake wa pili maana anakuwa kapevuka na anakuwa anafanya kwa willing yake na sio kumfurahisha mpenzi wake, kwahiyo tusikae tunadanganyana hapa ilihali ni karibia 90% ya wanaume wanaishi au wameoa wanawake ambao hawaja wabikiri na wanwake wao wanawapenda Sana Tena Sana Tu, hii dhana ni ya kishamba Sana lakini pia ya kizamani sana
Ubahatike uwe first wa kukata utepe ila zile mishe nyingine since STD 6 wahuni washaanzaMapenzi wana yaanza wakiwa 14 - 15 wakiwa secondary, kweli miaka 18 uwe first love wake ?? .. ngumu kumeza hii
DuuhUmeongea kwa uhakika na kuaminisha watu utadhani umeshawahi kua mwanamke
Hii comment,Umeongea kwa uhakika na kuaminisha watu utadhani umeshawahi kua mwanamke