Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 13,767
- 20,155
🙏 🙏 🙏 ❣️🤸♂🤸♂🤸♂🤸♂🤸♂
🙏 🙏 🙏 ❣️🤸♂🤸♂🤸♂🤸♂🤸♂
C'mon..... Thursday is the new Friday...... Unafelije kwa mfano hivi.Daah hivi tunaelekea weekend kumbe, tu naendelea na majukumu yangu kama kwawaida
Viokra ni kitu gani SHIMBA YA BUYENZE ?Wanawake wanaoongoza kwa kushambuliwa hapa JF:
1. Singo mazazi
2. Waliovuka 30 bila ndoa
3. Wasio na bikra (trend mpya)
Wanaume wanaoongoza kwa kushambuliwa hapa JF
1. Wasio na hela
2. Wenye viokra
3. Wenye vitambi
Mtifuano !!!
Kongole kwakoIgweeeee!
Poleni na Msiba mzito, haya bila kupoteza muda niende kwenye mada kama kichwa kinavyojieleza hapo juu.
Wanawake wa siku hizi wanamsemo wao usemao; siku hizi hakuna waoaji' wakimaanisha wanaume wa siku hizi ni chapa ilale. Hawajiulizi ni kwa nini siku hizi hakuna waoaji wao wanachokimbilia ni malalamiko tuu.
Hivi mtu anaanzaje kufikiria kuoa kwa nature ya wanawake wa siku hizi. Mwanamke hana bikra alafu akuhangaishe sijui kuandika barua(ndani ya barua iwepo pesa ndogo) kwenda kujitambulisha, kutoa mahari, pesa ya harusi, yote ya nini hayo wakati unajua kabisa unayemchukua yaliyomo hayamo?
Vijana wa siku hizi siwalaumu, na nawapongeza kwa hatua waliyoiamua kuichukua ya 'SOGEA TUISHI' hakuna barua ya uchumba, hakuna kujitambulisha, hakuna mahari, hakuna ndoa wala ndugu yake harusi, njoo tuishi. Hutaki kaa pembeni subiri wenzako wapo foleni niwahudumie.
Wewe hujajitunza bikra yako uje unisumbue mimi?
Huna bikra unataka nijichoreshe kwa Ma-ex wako wa kale siku ile ya harusi?
Huna bikra unataka nijikamue kutoa mahari na nifike kwenu ati wananifanyia usaili kwa maswali; Unaitwa nani, unafanya kazi gani, sijui blah blah blah....! Hayo maswali huulizwa na wakwe ambao watoto wao wametunzwa. Kama hamjamtunza mtoto wenu, hayo maswali mtamuuliza yeye, tena mtauliza Baba wa mtoto anafanya kazi gani, anaitwa nani, na ni mtu wa wapi, kipindi hicho mimi niko Dasalama nakula upepo wa bahari.
Ati kimwanaume kinajipigisha magoti kikimvisha pete mchumba wake asiye na yaliyomo wala dibaji
Wewe kijana kama hujaoa na watu wanakuuliza kwa nini hauoi waambie bado unatafuta mwanamke bikra, no bikra hakuna kuoa, bali kubebana kishkaji.
Mwenye povu atoe, mimi nimeshamaliza yangu.
Wanawake wanaoongoza kwa kushambuliwa hapa JF:
1. Singo mazazi
2. Waliovuka 30 bila ndoa
3. Wasio na bikra (trend mpya)
Wanaume wanaoongoza kwa kushambuliwa hapa JF
1. Wasio na hela
2. Wenye viokra
3. Wenye vitambi
Mtifuano !!!
Okra - bamia...
View attachment 1732626
Igweeeee!
Poleni na Msiba mzito, haya bila kupoteza muda niende kwenye mada kama kichwa kinavyojieleza hapo juu.
Wanawake wa siku hizi wanamsemo wao usemao; siku hizi hakuna waoaji' wakimaanisha wanaume wa siku hizi ni chapa ilale. Hawajiulizi ni kwa nini siku hizi hakuna waoaji wao wanachokimbilia ni malalamiko tuu.
Hivi mtu anaanzaje kufikiria kuoa kwa nature ya wanawake wa siku hizi. Mwanamke hana bikra alafu akuhangaishe sijui kuandika barua(ndani ya barua iwepo pesa ndogo) kwenda kujitambulisha, kutoa mahari, pesa ya harusi, yote ya nini hayo wakati unajua kabisa unayemchukua yaliyomo hayamo?
Vijana wa siku hizi siwalaumu, na nawapongeza kwa hatua waliyoiamua kuichukua ya 'SOGEA TUISHI' hakuna barua ya uchumba, hakuna kujitambulisha, hakuna mahari, hakuna ndoa wala ndugu yake harusi, njoo tuishi. Hutaki kaa pembeni subiri wenzako wapo foleni niwahudumie.
Wewe hujajitunza bikra yako uje unisumbue mimi?
Huna bikra unataka nijichoreshe kwa Ma-ex wako wa kale siku ile ya harusi?
Huna bikra unataka nijikamue kutoa mahari na nifike kwenu ati wananifanyia usaili kwa maswali; Unaitwa nani, unafanya kazi gani, sijui blah blah blah....! Hayo maswali huulizwa na wakwe ambao watoto wao wametunzwa. Kama hamjamtunza mtoto wenu, hayo maswali mtamuuliza yeye, tena mtauliza Baba wa mtoto anafanya kazi gani, anaitwa nani, na ni mtu wa wapi, kipindi hicho mimi niko Dasalama nakula upepo wa bahari.
Ati kimwanaume kinajipigisha magoti kikimvisha pete mchumba wake asiye na yaliyomo wala dibaji
Wewe kijana kama hujaoa na watu wanakuuliza kwa nini hauoi waambie bado unatafuta mwanamke bikra, no bikra hakuna kuoa, bali kubebana kishkaji.
Mwenye povu atoe, mimi nimeshamaliza yangu.