Okwaaa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2020
- 1,316
- 2,917
Kwenye hiyo sherehe naomba niwe mwalikwa🤣🤣🤣
Nitasherekea mpaka masika itakapomalizika mwezi wa tano
Nitasherekea mpaka masika itakapomalizika mwezi wa tano
HahahaaHao waliishia mwaka 47 Mkuu.
Mkuu hii si ni tetesi et🤣🤣🤣🤣 adui bado yu hai nasikia
Mkuu, hii sherehe ni tamu kwa sababu adui kaangamia
Mm wangu bado bado🤣🤣🤣🤣Mimi wa kwangu kaangamia ndio maana nasheherekea mpaka mwisho wa masika atakuwa mifupa mitupu, fuvu limeachana na kiwiliwili
Kabisa ChiefNadhani kinachowafanya wanaume kutokuwa na subira ni ile hali ya kutaka kujua ukweli wa mambo kabla hajaoa mwanamke.
Mwanamke anaweza kukwambia ni bikra halafu muda umeshapita umejikoki na kumuoa kisha ukimuweka ndani unagundua she was faking the whole time.
Anakupa story za ooooh ilitoka na baiskeli au sijui ilitoka wakati napanda mti wakati hata hizo baiskeli kuendesha hajui na miti hajawahi kupanda.
Hii ndo inapelekea mwanaume anaoa kisha unashangaa ghafla anabadilika anatelekeza familia maana anakuwa na kisasi ndani yake.....
Bikra ni kuhimu sana katika ndoa wauame huwa ils kitu inawapa ujasiri wa kupenda mwanamke kwa moyo wote na kumjali kuliko chochote.....
But since imepotezwa now inaanza kuonekana ni kitu impossible kukipata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora umekuwa mkweli...na kwa style hiyo hata wanawake bikra waliishia mwaka 47Hao waliishia mwaka 47 Mkuu.
Hajaasume chochote...amesema mnyooshe mkono juu
Miss you too dear nipo sasaUmepotea sanaa? Miss u moaaah
How are you dear?!Hajaasume chochote...amesema mnyooshe mkono juu
Am good. .vipi wewe
Daah hivi tunaelekea weekend kumbe, tu naendelea na majukumu yangu kama kwawaida
Kigezo awe bikra huyo mwanamkeMwanaume ambaye yuko tayari kutomgusa mwanamke hadi amuoe anyooshe mkono juu..
🤣🤣🤣😂😂walikufa mfecane war hakuna..Mwanaume ambaye yuko tayari kutomgusa mwanamke hadi amuoe anyooshe mkono juu..
Never look forward for something yu yourself don't have. If I come to yu and borrow 10 shillings it is because I know that jus recently I had itbut have used it and get another soon.Virginity is the best wedding Gift, Any man would receive from his newly wedded wife.
But lately there is no is nothing like that any longer because it will have already been given out as
Birthday Gift, Token of appreciation, Job assurance, Church collection, Examination making schemes , Taxi Fare.......