Wakuu Kwema!

Mara kwa mara nimekuwa nikihamasisha vijana humu kuwa wasioe wanawake wasio na bikra kwani hao sio wake zao. Pia mwanamke usikubali kuolewa na mwanaume ambaye hajaitoa bikra yako, huyo sio mumeo.

Huyo sio mkeo kama hukukuta bikra na wala hukuitoa. Huyo ni mke wa uzinzi, na lazima upate matokeo ya uzinzi,

Mwanamke uliyemkuta bikra na ukaitoa ndiye mkeo, huyo ndio mliwekeana agano la kuwa mwili mmoja na roho moja na yeye na sio mwanamke ambaye hukuikuta bikra yake.
Mwanamke kama hukuitoa bikra yake ni lazima akumbuke wanaume wake wa zamani, ni lazima awe mzinzi na malaya. Usioe! Usikubali kujidharau wewe kama mwanaume kwa kuoa mtu ambaye sio mke wako, huko ni kufanya uzinzi.

Leo nitanukuu aya za mke wa ujana wako ambaye sharti awe na bikra, bikra ndio ujana au usichana wa mwanamke, bila bikra mwanamke ni mtu mzima, hawi tena msichana(kijana wa kike) yaani ni kusema umeoa mzee wakati wasichana wapo.

Katika nukuu hii nimekoleza sehemu muhimu
Malaki 2:14- 16
14Mnauliza, “Mbona sasa hazikubali?” Mwenyezi-Mungu hazikubali kwa sababu anajua wazi kuwa umeivunja ahadi yako kwa mke wa ujana wako. Umekosa uaminifu kwake ingawa uliahidi mbele ya Mungu kwamba ungekuwa mwaminifu kwake.
15Je, Mungu hakuwafanya nyote wawili muwe mwili mmoja na roho moja? Je, alikusudia nini alipofanya hayo? Yamkini alikusudia tuzae watoto ambao watamcha yeye. Kwa hiyo, hakikisheni kuwa hakuna hata mmoja wenu anayekosa uaminifu kwa mkewe.
16Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli asema: “Ninachukia talaka. Ninachukia mmoja wenu anapomtendea mkewe ukatili huo. Hakikisheni kwamba hakuna hata mmoja wenu anayekosa uaminifu kwa mkewe.”

Mambo ya msingi
1. Usipooa mwanamke asiye na bikra Mungu hasikii maombi yako, na ukitoa bikra usimuoe mwanamke uliyembikiri pia hasikii maombi yako.
2. Mwanaume ukimtoa bikra mwanamke mnakuwa mwili mmoja na roho moja. Lakini usipotoa bikra hamuwi wamoja na ndio maana ndoa za siku hizi zinaumiza pande zote mbili
3. Mungu anachukia talaka kwa mke uliyemtoa bikra.

Kiufupi ni kuwa Mungu hamtambui mkeo kama hukumkuta na bikra, anaona mnafanya zinaa.

Usioe mwanamke asiye na Bikra, usiolewe na mwanaume ambaye hakukutoa bikra.

Jokajeusi
basi watu wakishajua uzi pendwa ni huu wa bikra ishaanza kuwa shida.. :cool:
 
Kimsingi ni kutafuta mwanamke asie na hulka ya umalaya suala la bikra ni ziada tu ukiikuta sawa usipoikuta fresh
Hizi sheria za bikra nadhan zibakie kwa mataifa husika

Mwanamke akishakuwa hana bikra na anaolewa na mwanaume asiye mtoa bikra Automatik ni malaya.

Bikra ndio kipimo cha usafi wa mwanamke, kama hujaikuta jua hapo hakuna kitu acha kudanganywa
 
Hata mimi nimemwelewa sana na nilitaka aje hapo hapo ila sasa mkuu unamwambiaje mwanamke ajitunze halafu unamwacha mwanaume aendelee kutongoza tu hovyo? Unafikiri wanawake wataweza kukwepa vishawishi vyote vya kutongozwa ikiwa wanaume wataendelea kutongoza hovyo?

Ndiyo maana tunasema haya mambo mnapoyapigia kelele hakikisheni mnayapigia kelele kwa pande zote mbili maana ngono inahusisha jinsia zote mbili! Tusiongelee haya mambo as if wanaume wanafanya ngono na viumbe vingine na wanawake wanafanya ngono na viumbe vingine!

Wapi uliona kutongoza ikawa ni uzinzi?

Hakuna sheria inayomzuia mwanaume kutongoza, lakini ipo sheria inayomzuia asizini.

Mwanamke ndio hujitunza kwa ajili ya mwanaume na sio mwanaume ajitunze kwa ajili ya mwanamke
 
Sifa kuu mbili za mke bora ni
1) Mcha Mungu
2) Mchapa kazi

Note ; ukiokoka unazaliwa mara ya pili unafanywa kuwa kiumbe kipya.

Kipimo cha mwanamke mcha Mungu ni lazima awe na bikra, awe msafi,
Mwanamke akishakuwa ameitoa bikra yake kisha akaolewa na mwaname mwingine tayari yupo kwenye kundi la wanawake wachafu na najisi.

Kama angekuwa anamcha Mungu asingeitoa bikra kwa kuwapa wanaume ambao hawajamuoa
 
Zama hizi bikra sio inshu sana ingawa ina umuhimu wake,
Kunawatu bikra zao zimetolewa kwa misuko suko kama kubakwa, huyu tunamuweka kundi gani!?

swala la kuoa bikra kwa lango la kutulia kwende ndoa tunajidanganya kama ana huruka ya kuchapwa anchapwa haijalishi ulitoa bikra au laah!

wangapi walitoa bikra na bdo wakasalitiwa n wapenzi au wake zao!?

Bikra ni ugwiji kwa sisi wanaume kua ndio mtu first kumjua lakini kwa mwanamke ni tunu kwa mwanaume lkn ni pale unpokuja kutunuku mtu aise sahihi kwake au wewe mwanaume unanyandua BK ya mtu kwa tamaa tu

jamii ikandiwe kotekote

Huoni umuhimu wa bikra zama hizi wakati huo huo unaona ndoa nyingi zikipumulia mashine kisa na mkasa wengi wamechukua wake na waume wasio wao?

Hapa ndio utajua vijana wa siku hizi uwezo wao wa kufikiri upo chini, wanazidiwa hata na wanyama wa porini
 
Mkuu hadi nimekuuliza hivyo ni kwamba nimeshasoma hizo threads zako sana tu na nimegundua bado haujui maana ya bikira hivyo bado haujui unachokiongelea... Itoshe tu kusema kwamba huwa unaandika kwa mihemko na siyo facts...

Tukikwambia utuletee takwimu hapa za wanawake wangapi walioolewa mabikira ndoa zao zina amani na wangapi hazina amani... Na wanawake wangapi ambao hawakuolewa mabikira ndoa zina amani na wangapi hazina amani sidhani kama utatuletea...

Pia tukikwambia utupe takwimu ni wanawake wangapi walioolewa mabikira na wamebarikiwa na wangapi hawajabarikiwa... Na wanawake wangapi ambao hawakuolewa mabikira wamebarikiwa na wangapi hawajabarikiwa sidhani kama utatupa...

JF sijajiunga jana wala juzi huwa napita sana humu kusoma namna vijana wa siku hizi mnavyokaa mnadanganyana kuhusu mapenzi na mahusiano kwa ujumla wake... Na wengi huwa mnajadili haya mambo kwa mihemko tu na siyo facts...


Sasa wewe embu toa maana ya Neno Bikra na utupe mfano wowote kwenye dini yako kwa kunukuu maandiko ya kitabu chako unachokiamini, uonyeshe hata mtu mmoja wa kiume alishawahi kuitwa Bikra.

Wewe kama unaona tunajadili kwa mihemko, tupe hoja zako ili watu wazione na wakuelewe.

Kuhusu utafiti wa ndoa zenye amani, nimeshajitolea mimi mfano na ukoo wetu.

Nilitegemea utaleta hata maana ya bikra naona unatoa maelezo matupu.

Mwanamke mwema, mke bora ni lazima aolewe akiwa na bikra zaidi ya hapo ni majanga
 
Alaa kwahiyo Point yako ni kuwa wanawake wajitunze ila wanaume ndiyo wafanye ngono siyo

Watafanya ngono na nani hao wanaume kama wanawake mtajitunza?

Kumbuka sisi hatupo kwa ajili yenu bali ninyi ndio mpo kwa ajili yetu, sijui kama unaelewa
 
42 Reactions
Reply
Back
Top Bottom