Joka Jeusi ... kuna mabint wamepoteza usichana wao wakiwa wadogo wa umri kiasi kwamba ni mwili ndio ulowasukuma

Wengine kwa kubakwa , na wengi wanabakwa ila wanaishia kukaa kimya.

Wengine ni sababu ya Maisha, kukosa malezi ya Wazazi, uchumi n.k.....

Wengine kosa lilianzia kwa Wazazi wao kwa kushindwa kuwapa Elimu ...


LAKINI MWISHO WA SIKU, IKIWA KAMA MWANAMKE ASIYE BIKRA NA ALIYE BIKRA, WOTE MUNGU ANAWAPENDA na NAFASI YAO NI SAWA, kwann tuwatenge namna hii??


Nikweli Kuna faida ya kuoa mwanamke bikra, ILA NIAMINI MIMI HAPA, NMEWALA WANAWAKE WAWILI WAKE ZA WATU WALIOOLEWA NA BIKRA ZAO KABISAAAA .

Suala la kugongewa Mke ni pana kidogo.



MIMI NISEME KUA, ILI MRADI KILA MWANADAM ANANAFASI YA PILI. ILI MRADI AMEKR NA KUUMIA ....BASI ANAFAA KUA MKE.



OYA WAKUUU, MIMI NAWASHAURI OENI WANAWAKE WENYE HOFU SANA MUNGU BILA KUJALISHA NI BIKRA AU SIO BIKRA, OENI WANAWAKE WENYE HOFU YA MUNGU KWELIKWELI.
 
Zama hubadilika kwa watu wajinga,
Mbona hazibadiliki kwa wahindi au waarabu?

Zama zinabadilika kwa jamii inayopoka nafasi ya mwanaume, na mwanaume akishajidharau lazima haya yatokee
Yote hayo huletwa na umasikini, Waarabu kidogo mambo yao safi pamoja na sheria kali za kimaadili na mfumo thabiti. Hata Wahindi pia, embu tuje hapa kwetu sasa. Embu linganisha namba ya walioshtakiwa kwa makosa ya uchaguz mkuu 2020, na waliowapa wanafunzi mimba!!
Kwa hiyo utaona kukosa mfumo thabiti wa kumlinda mtoto wa kike ni tatizo kubwa.
 
Joka Jeusi ... kuna mabint wamepoteza usichana wao wakiwa wadogo wa umri kiasi kwamba ni mwili ndio ulowasukuma

Wengine kwa kubakwa , na wengi wanabakwa ila wanaishia kukaa kimya.

Wengine ni sababu ya Maisha, kukosa malezi ya Wazazi, uchumi n.k.....

Wengine kosa lilianzia kwa Wazazi wao kwa kushindwa kuwapa Elimu ...


LAKINI MWISHO WA SIKU, IKIWA KAMA MWANAMKE ASIYE BIKRA NA ALIYE BIKRA, WOTE MUNGU ANAWAPENDA na NAFASI YAO NI SAWA, kwann tuwatenge namna hii??


Nikweli Kuna faida ya kuoa mwanamke bikra, ILA NIAMINI MIMI HAPA, NMEWALA WANAWAKE WAWILI WAKE ZA WATU WALIOOLEWA NA BIKRA ZAO KABISAAAA .

Suala la kugongewa Mke ni pana kidogo.



MIMI NISEME KUA, ILI MRADI KILA MWANADAM ANANAFASI YA PILI. ILI MRADI AMEKR NA KUUMIA ....BASI ANAFAA KUA MKE.



OYA WAKUUU, MIMI NAWASHAURI OENI WANAWAKE WENYE HOFU SANA MUNGU BILA KUJALISHA NI BIKRA AU SIO BIKRA, OENI WANAWAKE WENYE HOFU YA MUNGU KWELIKWELI.

Kama walitolewa wakiwa wadogo sheria za nchi zinasemaje kuhusu waliofanya? Upi wajibu wa wazazi wao baada ya kujua watoto wameharibiwa?

Sheria inasema chini ya miaka 18 ni mtoto na ukifanya naye mapenzi umebaka hivyo mtoto alipaswa kuripoti kwa wazazi au serikalini sheria ichukue mkondo wake ambapo miaka 30 inamhusu
 
Joka Jeusi ... kuna mabint wamepoteza usichana wao wakiwa wadogo wa umri kiasi kwamba ni mwili ndio ulowasukuma

Wengine kwa kubakwa , na wengi wanabakwa ila wanaishia kukaa kimya.

Wengine ni sababu ya Maisha, kukosa malezi ya Wazazi, uchumi n.k.....

Wengine kosa lilianzia kwa Wazazi wao kwa kushindwa kuwapa Elimu ...


LAKINI MWISHO WA SIKU, IKIWA KAMA MWANAMKE ASIYE BIKRA NA ALIYE BIKRA, WOTE MUNGU ANAWAPENDA na NAFASI YAO NI SAWA, kwann tuwatenge namna hii??


Nikweli Kuna faida ya kuoa mwanamke bikra, ILA NIAMINI MIMI HAPA, NMEWALA WANAWAKE WAWILI WAKE ZA WATU WALIOOLEWA NA BIKRA ZAO KABISAAAA .

Suala la kugongewa Mke ni pana kidogo.



MIMI NISEME KUA, ILI MRADI KILA MWANADAM ANANAFASI YA PILI. ILI MRADI AMEKR NA KUUMIA ....BASI ANAFAA KUA MKE.



OYA WAKUUU, MIMI NAWASHAURI OENI WANAWAKE WENYE HOFU SANA MUNGU BILA KUJALISHA NI BIKRA AU SIO BIKRA, OENI WANAWAKE WENYE HOFU YA MUNGU KWELIKWELI.
Sio wote waitao Bwana , Bwana watauona ufalme wa Mbingu
 
Joka Jeusi ... kuna mabint wamepoteza usichana wao wakiwa wadogo wa umri kiasi kwamba ni mwili ndio ulowasukuma

Wengine kwa kubakwa , na wengi wanabakwa ila wanaishia kukaa kimya.

Wengine ni sababu ya Maisha, kukosa malezi ya Wazazi, uchumi n.k.....

Wengine kosa lilianzia kwa Wazazi wao kwa kushindwa kuwapa Elimu ...


LAKINI MWISHO WA SIKU, IKIWA KAMA MWANAMKE ASIYE BIKRA NA ALIYE BIKRA, WOTE MUNGU ANAWAPENDA na NAFASI YAO NI SAWA, kwann tuwatenge namna hii??


Nikweli Kuna faida ya kuoa mwanamke bikra, ILA NIAMINI MIMI HAPA, NMEWALA WANAWAKE WAWILI WAKE ZA WATU WALIOOLEWA NA BIKRA ZAO KABISAAAA .

Suala la kugongewa Mke ni pana kidogo.



MIMI NISEME KUA, ILI MRADI KILA MWANADAM ANANAFASI YA PILI. ILI MRADI AMEKR NA KUUMIA ....BASI ANAFAA KUA MKE.



OYA WAKUUU, MIMI NAWASHAURI OENI WANAWAKE WENYE HOFU SANA MUNGU BILA KUJALISHA NI BIKRA AU SIO BIKRA, OENI WANAWAKE WENYE HOFU YA MUNGU KWELIKWELI.
kma alikuwa na matatizo , au kubakwa hyo yupo safe kuolewa! kwa maana ukimuowa sidhani kma atamfuata mbakaji! :) kama npo sahihi..
 
Yote hayo huletwa na umasikini, Waarabu kidogo mambo yao safi pamoja na sheria kali za kimaadili na mfumo thabiti. Hata Wahindi pia, embu tuje hapa kwetu sasa. Embu linganisha namba ya walioshtakiwa kwa makosa ya uchaguz mkuu 2020, na waliowapa wanafunzi mimba!!
Kwa hiyo utaona kukosa mfumo thabiti wa kumlinda mtoto wa kike ni tatizo kubwa.

Na umasikini unaletwa na uvivu uliopitiliza, na uvivu ni dhambi na matokeo yake ndio huo umasikini ambao ndio laana.

Watoto badala wasome kisha wafanye kazi kwa bidii wajipatie kipato wanakalie ngono, acha wafunzwe na ulimwengu.\

Hakuna wa kuwaonea huruma hapa
 
Kama walitolewa wakiwa wadogo sheria za nchi zinasemaje kuhusu waliofanya? Upi wajibu wa wazazi wao baada ya kujua watoto wameharibiwa?

Sheria inasema chini ya miaka 18 ni mtoto na ukifanya naye mapenzi umebaka hivyo mtoto alipaswa kuripoti kwa wazazi au serikalini sheria ichukue mkondo wake ambapo miaka 30 inamhusu
Watafungwa wangapi?? .


Unajua kuna kitu hapa mkielewe.... Wewe mwenyewe toka umebalehe. Kutwa kuimbizana na vitoto ,nandivo mmevitoa bikra weeee kuanzia miaka ya 15---25 ..


Saizi mmekua watu wazima, mnatafuta bikra katika jamii mliyoiharibu nyie wenyewe miaka 10-15 ilopita.

Kuna wengine mpaka mkawapa mimba mkakimbia mbali

Kuna wengine mpaka Mkaka kikao cha ukoo kuweka mambo sawa yaishe kimyakimya.


Kama baba wa mtoto uliyemla akiwa na miaka 16, angediriki kukuchukulia sheria. leo ungekua wapi????.


DUNIA ITAKUA NA MA MABIKRA WENGII. IKIWA WANAUME TUTAFANYA HAYA

kuwachukulia watoto wengine ni watoto wako, wadogo zako n.k

WANAUMR TUOE NA TUTULIE.
 
Na umasikini unaletwa na uvivu uliopitiliza, na uvivu ni dhambi na matokeo yake ndio huo umasikini ambao ndio laana.

Watoto badala wasome kisha wafanye kazi kwa bidii wajipatie kipato wanakalie ngono, acha wafunzwe na ulimwengu.\

Hakuna wa kuwaonea huruma hapa
Hukohuko wanakosoma ni hatari tupu, kuanzia sekondari hadi vyuoni.(Waalimu/wakufunzi)
Huko kwenye kazi tena ni balaa(waajiri)
Mwisho wa siku tuu, ni kwa pamoja tukubali MITANO TENA.
 
kma alikuwa na matatizo , au kubakwa hyo yupo safe kuolewa! kwa maana ukimuowa sidhani kma atamfuata mbakaji! :) kama npo sahihi..
Mzeee nilikutana na Mdada mwaka 2012 wakat yeye ndo anamaliza chuo, alikua bikra, bahati mbaya akapata kazi nje ya nchi

Amekaa huko wee kaolewa kazaa.


Nmekuja kukutana naye kiutu uzima 2018 nahapo ameolewa ,ingawa awali alificha kua alizalishwa tu bahati mbaya ,kumbe ameolewa kabisa.


Wewe unasema bikra nini??? hujakutana na mambo.
 
Wakuu habari!

Jambo hili nimelivalia njuga na naona matunda yake yanaanza kuonekana, nafikiri nikiendelea hivi kwa mfululizo wa miaka mitano kwa kiasi kikubwa jamii itarudi kwenye mstari.

Moja ya matokeo chanya katika nyuzi zangu za ubikra ni kuwa wale walioolewa bila ya bikra na wale ambao bado hawajaolewa na hawana bikra wanapiga kelele wakitapa tapa, wengi wamekuja Pm wakiniomba niache. Ujumbe wangu ni huu; Asiyefunzwa na Mama yake hufunzwa na ulimwengu. Mandhali Jokajeusi nipo mada hizi zitaendelea mpaka nitakapoondoka duniani. Hivyo wale wanaaoumia nawapa pole kwa sababu huu ni mwanzo tuu.

Madhara ya Makuu ya kuoa mwanamke asiye na bikra, Kijana usiyeoa soma kwa umakini ukitumia akili zaidi ya hisia zako.

1. MTALAKA HATONGOZWI
Kabla hujaoa mwanamke asiye na bikra kaa ukijua kabisa mtalaka hatongozwi, popote pale duniani. Pia kumbuka awali ni awali hakuna awali mbovu. Pia kumbuka, Mavi ya kale hayanuki. Hivyo mwanamke anapokuwa tayari alishakuwa kwenye mahusiano na wanaume huko nyuma ya kimapenzi kisha wakaachana kwa sababu abc kisha wewe ukampata akakuambia ameachana na ma-ex wake jua kuwa anakudanganya, kuachana labda kama wamekufa lakini kama wapo hai hesabu umeumia ndugu yangu.
Nina ushahidi usio na shaka kuhusu jambo hili na hata humu JF kila siku tunasikia malalamiko ya wanawake kurudiana na ma-ex wao au kufumaniwa nao. Hiyo ni kawaida sana, na mara zote mimi siwalaumu wanawake kwa kufanya hivyo kwani hiyo ndio asili. Mtalaka hatongozwi.

Usipokubali maneno yangu na ukashindwa kujifunza kwa yanayotokea kwa wenzako basi subiri wewe ndio uwe funzo na mfano kama walivyo wabishi wengine.

2. KUBAMBIKIZIWA MIMBA
Wanawake wengi wasio na bikra wamewaingiza wanaume katika magonjwa makuu kwa kuwabambikizia watoto wasio wao. Hata ule utafiti usemao kuwa 60% ya wanaume wanalea watoto wasio wao unalandana(correlation) na idadi ya wanaume waliooa wanawake wasio na bikra.
Kuna uwezekano wa kuingia kwenye mahusiano na mwanamke mwenye mimba changa ikiwa tuu ulimkuta hana bikra, mifano ipo ya kutosha hata huku mitaani achilia mbali watu maarufu kama vile Muna Love na Casto Dickson Vs Baba patrick, Mama Diamond na Babab Ricardo Vs Mzee Abdul, na wanawake kukubambikizia mtoto hawaoni shida kwa sababu tayari wameshakuona wewe ni maandazi, tayari umejidharau, yaani uache kuoa mtoto mbichi uchukue used alafu wakuheshimu. Hiyo hakuna mwanamke wa hivyo.

Usijedhani ukimuoa mwanamke asiye na bikra na single mother ataona umemuonea huruma kwa kumsitiri, yeye atakachojua kuwa uzuri wake ndio sababu umedata naye, hivyo suala la kuonewa huruma hilo sahau, na ndio maana wao wakifanya matukio yao kwako wala hawatakujali kuwa uliwastiri. Nafikiri mifano mnayo hata huko mitaani.
Hivyo kuoa mwanamke asiye na bikra kuna uwezekano mkubwa wa kubambikiziwa mtoto achilia mbali kuchetiwa ambapo ni costant

3. WATOTO KUWA NA TABIA ZA AJABU AJABU
Ukioa mwanamke asiye na bikra na malaya, sio ajabu watoto wako wakawa na vitabia vya ajabu ajabu yaani mchanganyiko kulingana na idadi ya wanaume waliolala na mke wako. Angalia wanawake wengi ambao ni malaya kisha angalia tabia za watoto waliowazaa. Watoto wamenajisiwa. Mtoto akipimwa DNA ni wakwako lakini tabia zipo mbali sana na wewe na ukoo wenu na ukoo wa mama yake. Hii ni kutokana na kuwa mwanamke anapolala na wanaume tofauti tofauti hujinajisi na kujipa maroho machafu kwani tendo lenyewe ni chafu.
Kama unabisha jaribu sumu kwa kuonja. Waliooa wananielewa zaidi kwani wanayaona hayo kwa macho yao.

4. WATOTO KUUNGANA NA MAMA YAO.
Ukioa mwanamke asiye na bikra ni rahisi sana kwa watoto kumsikiliza Mama kuliko kukusikiliza wewe Baba, au ni rahisi sana kwa watoto wako kumsikiiza Baba mwingine kuliko kukusikiliza wewe. Hii ni kutokana na kuwa tayari wewe sio namba moja, wewe sio kichwa tena bali mkia. Unapoambiwa Baba ni kichwa cha nyumba wanamaanisha Namba moja, yaani Baba ndio mwenye maamuzi, mwanzo, na ndio maana popote pale kichwa ndio hutangulia, sasa kama kwa mkeo hukutangulia kumjua unafikiri utakuwaje kichwa kwake au namba moja kwake. Wakati mwingine wapo wanawake wachache wema wanaojitahidi kuwa wema licha ya kuolewa bila ya bikra lakini bado nature inawavuta kufanya mabaya.

Zamani Baba alikuwa ndio nguzo ya familia kwa sababu nyingi mno, watoto walikuwa wanamsikiliza Baba, hii ni kutokana na kuwa wamama wengi waliolewa wakiwa na bikra. Lakini tangu wanawake waanze kuolewa bila bikra siku hizi Baba sio lolote tena, na ndio maana ongezeko la watoto wasemao nani kama Mama ni kubwa, na sababu nimeshaieleza.
Kama unabisha jaribu sumu uone.
Baba kama unataka heshima sikiliza ninachokuambia, ukijifanya unajua na unaheshimiwa kisa sasa unanguvu subiri miaka 60 huko utakumbuka maneno ya Jokajeusi.

5. KUOA MAMA WA WAFU
Kuoa mwanamke asiye na bikra kunaweza kupelekea kuoa mama wa wafu, unaoa mwanamke aliyetoa mimba nyingi nawe huwezi kulijua hilo na huna uhakika, Lakini ukioa mwanamke bikra unaoa mke unayejua ni msafi na aliyejitunza. Tayari unaoa mwanamke ambaye anakesi ya mauaji na laana ambayo huijui, ni bora ungekuwa unaijua hii itakusaidia kumlilia Mungu amsamehe na awasamehe, jambo moja la kuzingatia ni kuwa kuomba msamaha kwa makosa makubwa hakuombwi kwa kusema tusamehe makosa yetu, hiyo ni sala ya jumla ambayo watu huomba wakiwa kwenye halaiki, Jokajeusi nashauri, mwanamke kama umetoa mimba ni vyema umjulishe mumeo mtarajiwa ili muweke mambo sawa, sio umuingize Mwanaume wa watu kwenye mikosi na mabalaa bila ya yeye kujua.

6. MWANAMKE ASIYE NA BIKRA SIO MKEO BALI MSHIRIKA.
Kuna tofauti kubwa kati ya mke na mshirika wa maisha. Mke ni sehemu yako yaani ni ubavu wako, mshirika sio sehemu yako bali mmeamua kushirikiana katika maisha. Mke hukupenda wewe na familia yenu, naye ni sehemu ya ukoo wenu. Lakini mshirika sio sehemu ya ukoo wenu kwanza huwaza kuwapa faida wazazi wake zaidi. Siku hizi wanaume wengi wanaoa wanawake wasio na bikra na ndio maana hao washirika wao hupendelea makwao kwani sio mwili mmoja na waume zao. Mwanaume mwenye mke anaouwezo wa kumwambia mke wake kuwa asienda kwenye msiba hata wa mama yake(mama wa mke) na mke wake akamtii, lakini mwanaume aliyeoa mshirika wa maisha hana uwezo wa kumzuia mshirika wake asiende kwenye msiba wa mama yake(mama wa mshirika).
Kwa kifupi mume anakuwa anamamlaka kwa mke wake na sio kwa mshirika. Kumbuka mshirika ni mwanamke aliyeolewa bila ya bikra, na bikra aliiotoa kwa makusudi kabisa.
Mke ukishamuoa hawazi tena nyumbani alipozaliwa mpaka mume mwenyewe umkumbushe kwamba aende kusalimia, lakini mshirika kwa mwaka huenda nyumbani mara mbili mpaka mara tatu.
Hapa hoja kubwa ni kuwa huwezi mtawala mwanamke ambaye sio mkeo, mkeo lazima akusikilize kwa chochote kile Lakini ukiona mwanamke unayeishi naye hakusikilizi jua sababu ni hiyo hapo juu, hukuoa akiwa bikra.

Waliooa wananielewa, sumu aionjwi

7. UMILIKI
Ukioa mwanamke asiye na bikra, cha mwanaume ni cha wote na cha mwanamke ni chake mwenyewe. Watu wanasema wanawake ni wabinafsi, mimi nawaambiaga kuwa mwanamke sio mbinafsi mpaka pale atakapoolewa bila ya kuwa na bikra. Wanawake wengi walioolewa bila bikra ni wabinafsi kupitiliza. Hii ni tofauti na mwanamke aliyeolewa na bikra yake, ambaye chake ni cha wote na cha kwako ni chawote. Mkeo(aliyeolewa bikra) anajua kuwa yeye ni mali yako na kila kitu anachomiliki yeye. Mkeo yaani uliyemuoa bikra anapenda umlinde yaani umchunge kwani anajua yeye ni malkia, yeye ni wathamani, lakini mwanamke ambaye hajaolewa akiwa na bikra hapendi umchunge, umlinde wala kumfuatilia, wana msemo wao wanasema mwanamke hachungwi, msemo huo sio wa mke bali mshirika. Hata humu JF wapo na wanajijua.
Mkeo uliyemuoa bikra hata watoto atakuambia watoto wako wanasumbua, au wanashida abc, au hata ukiwaadhibu atakuambia utawaua wanao Mume wangu. Lakini ambaye hajaolewa bikra ni kawaida kusikia wakisema muache mwanangu.

8. SIRI YA MTOTO
Mwanaume ukishaoa mwanamke asiye na bikra basi jua siri ya mtoto niwa nani anaijua Huyo mshirika wako. Ndio maana siku hizi mpaka sheria zinatungwa kuwa Baba ni mlezi sio mzazi. Kwani wanawake wengi wameolewa wakiwa bikra.

Siku hizi ndoa ni ndoano kwa sababu wanaume wengi wanaoa wanawake wasio na bikra. Mpaka wengine wanaogopa na kuiona ndoa haina maana.
Lakini ndoa ni sehemu tamu,yenye raha ikiwa utaoa mwanamke mwenye bikra. Vijana ndoa ni tamu kama utapata mke wako na sio mshirika wako.

Nitaendelea kuwafunza vijana hivi hivi mpaka wenye akili watakaponielewa.

Jokajeusi
Uzi wangu Bora wa mwaka huu.. 2021
 
Back
Top Bottom