1. Uaminifu ni kwa wanawake ndio
2. Uliwahi sikia mwanaume akiitwa malaya?
Mimi nataka kujifunza hapo
Ndoa inafsliwa vipi?
Mke na mume au mke bikra na mume wakutembeza hovyohovyo mitaani?
1. Uaminifu ni kwa wanawake ndio
2. Uliwahi sikia mwanaume akiitwa malaya?
Wewe ulitaka uwe sawa na mwanaume umelogwa, ukitaka usawa ndio utaishia kujidhalilisha kwa kufanya umalaya.
Huwezi lingana na mwanaume hata ungetoka mbinguni
Mimi nataka kujifunza hapo
Ndoa inafsliwa vipi?
Mke na mume au mke bikra na mume wakutembeza hovyohovyo mitaani?
Mbwa wewe njifunze kuheshimu
Kenge usiye na Adabu
Unaona mimi mbwa kama mkeo eti
Respect my genda mbwa wewe
Rejea kanuni namba moja.Kumekucha
Enwei
Kuna Dada aliolewa na bikira anatiwa ovyo mpaka na vitoto viendesha boda
Akijajaluka
Asipojajaluka?
Hapo unaongea probability.
Lakini asiye na bikra tayari kajajaluka yaani tayari wanampelekea moto na hataacha kamwe
Kwamba mbali na kuzawadiwa bikra na mkeo bado mti wako unaotembeza nje ili kumletea zawadi ya magojwa aiseee .Tunatembeza kwa malaya ndio lakini sio kwa wanawake wanaojielewa
Toka uoe mwanamke bikra ulishawahi Saliti ndoa yako.Mimi siwezi toka na wapuuzi, nilikuwa namjibu kulingana na anavyotaka nimjibu
Uamuzi ni wako
Ukioa bikra atakuwa ni mke wako
Ukioa asiye na bikra atakuwa mke wa jamhuri ya fisi
Kumbuka mtalaka hatongozi.
Mtoa mada ni limbukeni fulani hivi amekariri maisha.Kumekucha
Enwei
Kuna Dada aliolewa na bikira anatiwa ovyo mpaka na vitoto viendesha boda
Ndoa ni mahusiano ya mke na mume.
Mume anaweza kuwa na wake hata mia
Thamani ya mke wangu ni kubwa sana na ndio maana nilimuoa akiwa bikra.
Naheshimu mwanamke akiwa anajitambua na anajijua yeye ni mwanamke, sikuheshimu kama utaleta mambo ya kiumbwa
Vipi kuhusu kuoa mwanamke wa mkoa mwingine Na kumleta mkoa mwingine, Hili kuepusha wale fisi walio, kua wanamlamba ngozi, wasimnyemele tena, akiwa mkeo hii vp inaeza saidia au ndo Yale Yale ?
Mtoa mada ni limbukeni fulani hivi amekariri maisha.
Ingekuwa namjua mke wake ningeenda kumt.…a ili ajue kwamba bikra si chochote si lolote
Sijakuelewa au hujajibu swali langu toka ufunge ndoa na bikra wako umewahi kujihusisha kimahusiano na mwanamke mwingineSijasaliti ila nilitoka. Nimeoa sijaolewa