Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,305
- 10,564
- Thread starter
- #2,821
Nina rafiki angu wa kike ni mjamzito na ameshavishwa pete,, juz kati ex wake alikuja kikaz mkoa ambapo binti yupo, binti kampokea na wamelala wote week nzima nyumba ambayo aliyemvisha pete kampangishia na binti hapo ni mjamzito na ana pete mkononi kumbukeni!! Kwa hali hii niliyoshuhudia siwez oa mwanamke asiye na bikra❌❌!! Mtoa mada yuko sahihi kabisa maana ukioa bikra asilimia za mke wako kuchepuka zinakua ndogo sana kuliko kuoa hizi dubwasha maana muda wwte wakipata chance kinaumana!!
Watu wamesahau msemo usemao; Mtalaka hatongozwi.
Huwezi mtongoza mwanamke uliyekuwa naye kwenye relationship, bali mnakummbushia tuu.
Lakini Mwanamke bikra ukimuoa tambua kabisa kila anayekuja lazima atongoze, na kutongoza ni mchakato, lakini kama mkeo hakuwa bikra ma-ex wake wakuja hakuna cha mchakato wowote