Nina rafiki angu wa kike ni mjamzito na ameshavishwa pete,, juz kati ex wake alikuja kikaz mkoa ambapo binti yupo, binti kampokea na wamelala wote week nzima nyumba ambayo aliyemvisha pete kampangishia na binti hapo ni mjamzito na ana pete mkononi kumbukeni!! Kwa hali hii niliyoshuhudia siwez oa mwanamke asiye na bikra❌❌!! Mtoa mada yuko sahihi kabisa maana ukioa bikra asilimia za mke wako kuchepuka zinakua ndogo sana kuliko kuoa hizi dubwasha maana muda wwte wakipata chance kinaumana!!

:D:D:D

Watu wamesahau msemo usemao; Mtalaka hatongozwi.

Huwezi mtongoza mwanamke uliyekuwa naye kwenye relationship, bali mnakummbushia tuu.

Lakini Mwanamke bikra ukimuoa tambua kabisa kila anayekuja lazima atongoze, na kutongoza ni mchakato, lakini kama mkeo hakuwa bikra ma-ex wake wakuja hakuna cha mchakato wowote
 
Lakini inategemea unachokiita uchanga, huwezi sema mtu mwenye uzoefu wa miaka saba kuendelea ni mchanga, labda uwe umelogwa. Hata kwenye maombi ya kazi hicho kigezo hakipo

Hujaelewa kabisa nilimaanisha nini, miaka saba bado hujapata changamoto za ndoa.

Watoto hawajakua, hawa nichangamoto za kutosha ndani ya ndoa.

....malezi na kuhifadhi hizo bikra zako
.... mahusiano ya mama kunawakati anaegamia kwa watoto nk

Bado hujapata ile maturity respect ya ndugu jamaa na marafiki... backlog yake hatari sana

Bado hujaingia effectively kwenye social responsibility ..... watoto wapo vyuoni, harusi, majirani , misiba nk

Sasahivi nitakuelimisha kidogokidogo. Ukitaka utaelewa. Usipota pia sawa
 
Hujaelewa kabisa nilimaanisha nini, miaka saba bado hujapata changamoto za ndoa.

Watoto hawajakua, hawa nichangamoto za kutosha ndani ya ndoa.

....malezi na kuhidhi hizo bikra zako
.... mahusiano ya mama kunawakati anaegamia kwa watoto nk

Bado hujapata ile maturity respect ya ndugu jamaa na marafiki... backlog yake hatari sana

Bado hujaingia effectively kwenye social responsibility ..... watoto wapo vyuoni, harusi, majirani , misiba nk

Sasahivi nitakuelimisha kidogokidogo. Ukitaka utaelewa. Usipota pia sawa

Unauhakika sijapata changamoto?

Hayo uliyoyataja hayawezi kuniondoa kwenye reli dunia ingalipo nami nikiwepo. Huwaga siogopi changamoto,
Kwenye maisha ukishajua wakuandamana naye basi hakuna litakalo kushinda,ukishajua yupi ni sahihi na yupi sio sahihi hakuna litakalo kushinda. Ukishajua wakati upi ni sahihi na wakati upi sio sahihi hakuna litakalo kushinda.

Naomba ujue kuwa mimi ni wale watu ambao hatushindwi na lolote tukiamua. Mimi ni mwanaume, na sifa ya mwanaume ni kutiisha mazingira yake kwa vyovyote vile, kwa wema au kwa ubaya.

Karibu sana.
 
Una hoja nzuri kwa wakti uliopita. Kwasasa hoja yako ni dhaifu. Hao bikra hawashikiki sasa, wanataka kuonja na pengine.

Mimi daima ntawatetea wanawake, kwani wanatongozwa na wanaume za watu pia. Suala la kutongoza kwa mwanaume kawaida; halikadhalika kwa mwanamke kutongozwa.
Kukubali ni suala la mtu binafsi bila kujali bikra ama la! Na suala la kuamua kutongoza ni binafs bila kujali mume wa mtu ama la!

Inashangaza sana kushutumiwa aliyepokea Mali ya wizi, kuliko aliyeiba na kuileta. Wenye akili wameelewa
 
Kuwa na msimamo, mwambie demu kabisa kama huna bikra hapa hakuna ndoa,

Ukipumbazwa na maneno ya hawa malaya kama unavyoona mfano wa huyu JF watakupoteza.

Mithali 5: 3 - 6
Maana midomo ya malaya hudondoza asali, Na kinywa chake ni laini kuliko mafuta; Lakini mwisho wake ni mchungu kuliko pakanga; Ni mkali kama upanga wa makali kuwili. Miguu yake inatelemkia mauti; Hatua zake zinashikamana na kuzimu; Hata asiweze kuiona njia sawa ya uzima; Njia zake ni za kutanga-tanga wala hana habari.


Hapo atakudanganya yeye ni mwanamke mwenye tabia njema, kumbe upuuzi mtupu, angekuwa na tabia njema si angekuwa na bikra? Muulize kama unatabia njema bikra ilienda wapi. Kisha usimsikilize
round hii watafyata tuu
 
Una hoja nzuri kwa wakti uliopita. Kwasasa hoja yako ni dhaifu. Hao bikra hawashikiki sasa, wanataka kuonja na pengine.

Mimi daima ntawatetea wanawake, kwani wanatongozwa na wanaume za watu pia. Suala la kutongoza kwa mwanaume kawaida; halikadhalika kwa mwanamke kutongozwa.
Kukubali ni suala la mtu binafsi bila kujali bikra ama la! Na suala la kuamua kutongoza ni binafs bila kujali mume wa mtu ama la!

Inashangaza sana kushutumiwa aliyepokea Mali ya wizi, kuliko aliyeiba na kuileta. Wenye akili wameelewa

Uliza waliooa bikra acha kuhadithiwa propaganda na malaya.

Ni sawa ni zile propaganda za masikini kuwa ati wenye pesa hawana amani :D :D :D Wakati sisi wenye pesa tunakula maisha mazuri.

Ogopa propaganda za watu walioshindwa
 
Unauhakika sijapata changamoto?

Hayo uliyoyataja hayawezi kuniondoa kwenye reli dunia ingalipo nami nikiwepo. Huwaga siogopi changamoto,
Kwenye maisha ukishajua wakuandamana naye basi hakuna litakalo kushinda,ukishajua yupi ni sahihi na yupi sio sahihi hakuna litakalo kushinda. Ukishajua wakati upi ni sahihi na wakati upi sio sahihi hakuna litakalo kushinda.

Naomba ujue kuwa mimi ni wale watu ambao hatushindwi na lolote tukiamua. Mimi ni mwanaume, na sifa ya mwanaume ni kutiisha mazingira yake kwa vyovyote vile, kwa wema au kwa ubaya.

Karibu sana.

Unaweza usishindwe lolote lakini ndoa nikitu kingine

Ukitaka kujuwa fanya uchunguzi changamoto za ndoa hazina :-
Tajiri
Maskini
Msomi

Hakuna theory kwenye ndoa ni practical directly

Unaweza kubishana sababu bado unakomaa hujui zaidi kifuatacho

Na hakuna ajuwae kesho yake, or else watu wasingekufa katika ajali. Wangeahilisha
 
Unazeekaje bikra zimejaa kama njugu mtaani.

Mimi wa kwangu nilimpata akiwa kidato cha tano Akiwa anasoma St. Marry, tangia hapo nikakaza mpaka nikaja nikamuoa hiyo 2013 akiwa anasoma mwaka wa nne Pale Muhimbili
Mkuu alikupenda au ,ulivokuta bikra ukaforce mpaka ukaoa
 
Unaweza usishindwe lolote lakini ndoa nikitu kingine

Ukitaka kujuwa fanya uchunguzi changamoto za ndoa hazina :-
Tajiri
Maskini
Msomi

Hakuna theory kwenye ndoa ni practical directly

Unaweza kubishana sababu bado unakomaa hujui zaidi kifuatacho

Na hakuna ajuwae kesho yake, or else watu wasingekufa katika ajali. Wangeahilishs

Mimi sishindwi Mkuu na lolote, ukiona nimeingia kwenye jambo lolote tegemea ninashinda.

Ndoa ni kitu kingine kwa watu wasiofuata itifaki na taratibu, wewe mtu haoni umuhimu wa Bikra huyo sidhani kama anaelewa maana ya ndoa.

Jambo lolote usipofuata utaratibu lazima likuchezeshe,

Ndoa sio ngumu
Maisha sio magumu
Hakuna jambo gumu,

Ugumu upo kwa wasiofuata itifaki na utaratibu.

Wewe mtu hajui umuhimu wa Bikra kwa mke atakayemuoa alafu utegemee akili zake zipo sawa?

Vijana msitishike, oeni wake zenu wenyewe, usioe mke wa mtu mwingine(ambaye hujaikuta bikra yake)
 
Mimi sishindwi Mkuu na lolote, ukiona nimeingia kwenye jambo lolote tegemea ninashinda.

Ndoa ni kitu kingine kwa watu wasiofuata itifaki na taratibu, wewe mtu haoni umuhimu wa Bikra huyo sidhani kama anaelewa maana ya ndoa.

Jambo lolote usipofuata utaratibu lazima likuchezeshe,

Ndoa sio ngumu
Maisha sio magumu
Hakuna jambo gumu,

Ugumu upo kwa wasiofuata itifaki na utaratibu.

Wewe mtu hajui umuhimu wa Bikra kwa mke atakayemuoa alafu utegemee akili zake zipo sawa?

Vijana msitishike, oeni wake zenu wenyewe, usioe mke wa mtu mwingine(ambaye hujaikuta bikra yake)

Theoretically yes.
 
Wakuu kwema!

Watu wengi wamekuwa wanalalamika kuwa kwa nini wake za watu wa siku hizi wengi ni chebweda, yaani maharage ya mbeya maji mara Moja.
Mimi nimekuwa nikitongoza wake za watu kwa muda mrefu sasa, kwa uzoefu wangu, nikitongoza wake za watu 10 basi 9 watanikubalia 1 ndiye atakataa. Wake za watu sio wasumbufu ukishaingia naye kwenye mahusiano, ingawaje sijawahi kulala na mke wa mtu kutokana na miiko yangu binafsi.

Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa Sababu kubwa ya Mke wako/wake zetu kuchepuka katika zama hizi ni kwa sababu waliolewa wakiwa hawana bikra. Tayari walishaingia kwenye umalaya.

Hakuna mwanamke aliyeolewa akiwa hana bikra ambaye hatachepuka, ni lazima achepuke tuu.
Lakini ukioa mwanamke mwenye bikra uwezekano wa kutochepuka ni mkubwa zaidi labda usababishe wewe mwenyewe ndio atachepuka.

Lakini hawa wasio na bikra ni costant, umhudumie, umridhishe usimridhishe, uwe na pesa usiwe na pesa, uwe HB au usiwe HB ni lazima achepuke, Yaani huna namna ya kuzuia hilo.

Mwanamke asiye na bikra haoni hatia moyoni mwake pindi anapochepuka, lakini mwanamke aliyeolewa bikra kabla hajachepuka huwa na uoga mwingi mno kwani ndio anajifunza. Kama ilivyo jambo lolote ukilianza huwaa gumu ndivyo kwa mwanamke mwenye aliyeolewa akiwa bikra huona ugumu sana kuchepuka.

Lakini hawa maharage ya Mbeya atachepuka na wala haoni shida.

Kijana, kwa usalama wa ndoa yako, Usithubutu kuoa mwanamke asiye na bikra, utanishukuru baadaye.
Kwa sisi tuliooa tupambane na hali zetu hasa waliooa hao maharage ya mbeya.

Kidokezo;

Mambo ya walawi 21
13Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira. 14Haruhusiwi kuoa mwanamke mjane, mwanamke asiye bikira, wala kahaba. Ni lazima aoe bikira kutoka watu wake mwenyewe 15asije akawatia unajisi watoto wake mwenyewe. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu niliyemweka wakfu.”

Jokajeusi

Kua uyaone wanawake ni viumbe vigumu sana kuwaelewa. Hawana formula so usije jiandikia formula yako ukafikiri ina work kwa viumbe wanawake. Awe bikra si bikra mke mwema anatoka kwa Mungu. Hata malaya once walikuwa bikra. Dunia ya leo na utandawazi watu wanataka kuonja ladha tofauti wake kwa waume. Hadithi ulizosimuliwa na babu yako kuhusu wanawake delete anza kuwasoma ila usijaribu kuwaelewa. Kingine wanawake ni wasiri sana.
 
Mkuu alikupenda au ,ulivokuta bikra ukaforce mpaka ukaoa

Yeye ndiye alikuwa ananipenda, mimi sikuwa nampenda mpaka siku aliponiambia ni bikra. Nikamwambia naomba kuthibitisha huku nikijua ni muongo, kuchungulia vitu vimo.

Nilijifunza kumpenda tangu pale, nikiri kuwa nilikuwa nampenda mwanamke mwingine lakini alikosa kigezo kimoja cha ubikra. Hata hivyo nilifundishwa kuutiisha mwili, akili, na hisia zangu. Hivyo nilizilazimisha hisia zangu kumuelekea mke wangu niliyemkuta bikra. Hapo nilikuwa Udsm, yeye alikuwa st. Marry.
 
Kua uyaone wanawake ni viumbe vigumu sana kuwaelewa. Hawana formula so usije jiandikia formula yako ukafikiri ina work kwa viumbe wanawake. Awe bikra si bikra mke mwema anatoka kwa Mungu. Hata malaya once walikuwa bikra. Dunia ya leo na utandawazi watu wanataka kuonja ladha tofauti wake kwa waume. Hadithi ulizosimuliwa na babu yako kuhusu wanawake delete anza kuwasoma ila usijaribu kuwaelewa. Kingine wanawake ni wasiri sana.

Mke mwema anatoka kwa Mungu, na kamwe Mungu hawezi kukupa mwanamke asiye na Bikra. Huyo mungu atakuwa mungu wa matope.

Nianze kuwasoma wakati nimeshahitimu na kuoa nimeshaoa?
 
Theoretically yes.

Ningekua sijaoa ningesema ni nadharia lakini nimeoa na watoto ninao.
SIo kwenye ndoa hata kwenye mambo mengine ya kiuchumi usipofuata utaratibu lazima ucheze shere.

Wadanganye wenzako hapo,

Nimekupa aya hapo
Mambo ya lawi 21:
13Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira. 14Haruhusiwi kuoa mwanamke mjane, mwanamke asiye bikira, wala kahaba. Ni lazima aoe bikira kutoka watu wake mwenyewe 15asije akawatia unajisi watoto wake mwenyewe. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu niliyemweka wakfu.”

Mambo ya walawi 21
7Kwa kuwa kuhani amewekwa wakfu kwa Mungu wake, kamwe asioe kahaba, wala mwanamke asiye bikira wala aliyepewa talaka.

Kama huelewi hata mimi sitaki uelewe kwani wewe sio mwanaume, ujumbe huu haukuhusu
 
42 Reactions
Reply
Back
Top Bottom