Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,305
- 10,582
- Thread starter
- #2,801
1. Ndoa changa ya miaka saba, mtoto wa kwanza yupo darasa la kwanza kama uliwahi. Wewe bado mtoto mdogo wangu.
2. Historia ya ndoa kuyumba nimiaka 10 na kuendelea walau zilizoanza kwa utulivu. Chache sana huenda bila misukosuko.
3. Bado kunamengi ya kujifunza, bikra sio kigezo kudumu ndoa muda mrefu, sababu malaya yaani mke/mme ni hulka
4. Ukiweza japo kufika 20yrs ndani ya ndoa at least rudisha mrejesho.
Nakutakia maisha marefu iliujifunze mengi katika maisha.
1. Wewe umechanganyikiwa kweli, wewe miaka saba unaiita ndoa changa hivi unaakili sawa sawa. Unafikiri ndoa za siku hizi ni zenu za kuletewa mchumba na harusi ni hapo hapo. Uchumba wenyewe ulikuwa miaka mitano hivyo mke wangu nipo naye kwa zaidi ya miaka 12 bado useme ni changa
2. Ndoa kuyumba ni kutokuoa mwanamke mwema hasa waliooa wasio na bikra, hawa huja kukumbuka mabwana zao wa zamani
3. Mengi ya kujifunza yapo sio kwenye ndoa peke yake
4. Kufika miaka 20 inategemea na uhai tutakaojaliwa ila kuhusu kuachana labda mimi ndio nimzingue lakini hii ni zawadi kutoka kwa Mungu. Kama nisingemuoa akiwa na bikra basi asingekuwa anatoka kwa Mungu bali kwenye jamhuri ya mafisi
Nami nakutakia maisha marefu uwafunze wanao wajitunze sio wawe na tabia za mbwa kulalwa na kila dume