1. Ndoa changa ya miaka saba, mtoto wa kwanza yupo darasa la kwanza kama uliwahi. Wewe bado mtoto mdogo wangu.

2. Historia ya ndoa kuyumba nimiaka 10 na kuendelea walau zilizoanza kwa utulivu. Chache sana huenda bila misukosuko.

3. Bado kunamengi ya kujifunza, bikra sio kigezo kudumu ndoa muda mrefu, sababu malaya yaani mke/mme ni hulka

4. Ukiweza japo kufika 20yrs ndani ya ndoa at least rudisha mrejesho.

Nakutakia maisha marefu iliujifunze mengi katika maisha.

1. Wewe umechanganyikiwa kweli, wewe miaka saba unaiita ndoa changa hivi unaakili sawa sawa. Unafikiri ndoa za siku hizi ni zenu za kuletewa mchumba na harusi ni hapo hapo. Uchumba wenyewe ulikuwa miaka mitano hivyo mke wangu nipo naye kwa zaidi ya miaka 12 bado useme ni changa

2. Ndoa kuyumba ni kutokuoa mwanamke mwema hasa waliooa wasio na bikra, hawa huja kukumbuka mabwana zao wa zamani

3. Mengi ya kujifunza yapo sio kwenye ndoa peke yake

4. Kufika miaka 20 inategemea na uhai tutakaojaliwa ila kuhusu kuachana labda mimi ndio nimzingue lakini hii ni zawadi kutoka kwa Mungu. Kama nisingemuoa akiwa na bikra basi asingekuwa anatoka kwa Mungu bali kwenye jamhuri ya mafisi

Nami nakutakia maisha marefu uwafunze wanao wajitunze sio wawe na tabia za mbwa kulalwa na kila dume
 
😀😀 mdogo wangu jiheshimu nimegundua umri unakusumbua.

Nimekuwa mpole tu nikuemishe kama mdogo wangu wa mwisho ndoa yake 15yrs

Ukiambiwa umechanganyikiwa unakataa

Mtu anamiaka 30+ Plus unasema umri unamsumbua, wewe kinachokusumbua nimeshakueleza hata ungekuwa na miaka 60 bado akili yako ingekuwa butu
 
Wakuu kwema!

Watu wengi wamekuwa wanalalamika kuwa kwa nini wake za watu wa siku hizi wengi ni chebweda, yaani maharage ya mbeya maji mara Moja.
Mimi nimekuwa nikitongoza wake za watu kwa muda mrefu sasa, kwa uzoefu wangu, nikitongoza wake za watu 10 basi 9 watanikubalia 1 ndiye atakataa. Wake za watu sio wasumbufu ukishaingia naye kwenye mahusiano, ingawaje sijawahi kulala na mke wa mtu kutokana na miiko yangu binafsi.

Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa Sababu kubwa ya Mke wako/wake zetu kuchepuka katika zama hizi ni kwa sababu waliolewa wakiwa hawana bikra. Tayari walishaingia kwenye umalaya.

Hakuna mwanamke aliyeolewa akiwa hana bikra ambaye hatachepuka, ni lazima achepuke tuu.
Lakini ukioa mwanamke mwenye bikra uwezekano wa kutochepuka ni mkubwa zaidi labda usababishe wewe mwenyewe ndio atachepuka.

Lakini hawa wasio na bikra ni costant, umhudumie, umridhishe usimridhishe, uwe na pesa usiwe na pesa, uwe HB au usiwe HB ni lazima achepuke, Yaani huna namna ya kuzuia hilo.

Mwanamke asiye na bikra haoni hatia moyoni mwake pindi anapochepuka, lakini mwanamke aliyeolewa bikra kabla hajachepuka huwa na uoga mwingi mno kwani ndio anajifunza. Kama ilivyo jambo lolote ukilianza huwaa gumu ndivyo kwa mwanamke mwenye aliyeolewa akiwa bikra huona ugumu sana kuchepuka.

Lakini hawa maharage ya Mbeya atachepuka na wala haoni shida.

Kijana, kwa usalama wa ndoa yako, Usithubutu kuoa mwanamke asiye na bikra, utanishukuru baadaye.
Kwa sisi tuliooa tupambane na hali zetu hasa waliooa hao maharage ya mbeya.

Kidokezo;

Mambo ya walawi 21
13Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira. 14Haruhusiwi kuoa mwanamke mjane, mwanamke asiye bikira, wala kahaba. Ni lazima aoe bikira kutoka watu wake mwenyewe 15asije akawatia unajisi watoto wake mwenyewe. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu niliyemweka wakfu.”

Jokajeusi
Si kweli, hata kwa wazungu, Princess Diana aliolewa na bikra mbona aligawa?!
 
1. Wewe umechanganyikiwa kweli, wewe miaka saba unaiita ndoa changa hivi unaakili sawa sawa. Unafikiri ndoa za siku hizi ni zenu za kuletewa mchumba na harusi ni hapo hapo. Uchumba wenyewe ulikuwa miaka mitano hivyo mke wangu nipo naye kwa zaidi ya miaka 12 bado useme ni changa

2. Ndoa kuyumba ni kutokuoa mwanamke mwema hasa waliooa wasio na bikra, hawa huja kukumbuka mabwana zao wa zamani

3. Mengi ya kujifunza yapo sio kwenye ndoa peke yake

4. Kufika miaka 20 inategemea na uhai tutakaojaliwa ila kuhusu kuachana labda mimi ndio nimzingue lakini hii ni zawadi kutoka kwa Mungu. Kama nisingemuoa akiwa na bikra basi asingekuwa anatoka kwa Mungu bali kwenye jamhuri ya mafisi

Nami nakutakia maisha marefu uwafunze wanao wajitunze sio wawe na tabia za mbwa kulalwa na kila dume

Ukiambiwa changa maana yake inalinganishwa na ndoa zingine

7 nichanga sana endapo ya mdogo wangu wa mwisho nimiaka 15.

Sijaongelea yangu.
 
Wakuu kwema!

Watu wengi wamekuwa wanalalamika kuwa kwa nini wake za watu wa siku hizi wengi ni chebweda, yaani maharage ya mbeya maji mara Moja.
Mimi nimekuwa nikitongoza wake za watu kwa muda mrefu sasa, kwa uzoefu wangu, nikitongoza wake za watu 10 basi 9 watanikubalia 1 ndiye atakataa. Wake za watu sio wasumbufu ukishaingia naye kwenye mahusiano, ingawaje sijawahi kulala na mke wa mtu kutokana na miiko yangu binafsi.

Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa Sababu kubwa ya Mke wako/wake zetu kuchepuka katika zama hizi ni kwa sababu waliolewa wakiwa hawana bikra. Tayari walishaingia kwenye umalaya.

Hakuna mwanamke aliyeolewa akiwa hana bikra ambaye hatachepuka, ni lazima achepuke tuu.
Lakini ukioa mwanamke mwenye bikra uwezekano wa kutochepuka ni mkubwa zaidi labda usababishe wewe mwenyewe ndio atachepuka.

Lakini hawa wasio na bikra ni costant, umhudumie, umridhishe usimridhishe, uwe na pesa usiwe na pesa, uwe HB au usiwe HB ni lazima achepuke, Yaani huna namna ya kuzuia hilo.

Mwanamke asiye na bikra haoni hatia moyoni mwake pindi anapochepuka, lakini mwanamke aliyeolewa bikra kabla hajachepuka huwa na uoga mwingi mno kwani ndio anajifunza. Kama ilivyo jambo lolote ukilianza huwaa gumu ndivyo kwa mwanamke mwenye aliyeolewa akiwa bikra huona ugumu sana kuchepuka.

Lakini hawa maharage ya Mbeya atachepuka na wala haoni shida.

Kijana, kwa usalama wa ndoa yako, Usithubutu kuoa mwanamke asiye na bikra, utanishukuru baadaye.
Kwa sisi tuliooa tupambane na hali zetu hasa waliooa hao maharage ya mbeya.

Kidokezo;

Mambo ya walawi 21
13Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira. 14Haruhusiwi kuoa mwanamke mjane, mwanamke asiye bikira, wala kahaba. Ni lazima aoe bikira kutoka watu wake mwenyewe 15asije akawatia unajisi watoto wake mwenyewe. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu niliyemweka wakfu.”

Jokajeusi
Hapo sio kweli Kiongozi, wanawake wenyewe hawajui hata bikira nini. acha kabisa kufikiria mkeo ataliwa, kwani kuliwa ni kawaida yao, hata uweke ulinzi wa namna gani ataliwa hata na Mlinzi wako au muuza genge. Tafuta sababu nyingine moja tu ya kuwa na mke inatosha.
 
Nilikuwa natongoza kufanya tafiti zangu, usione humu nakazania suala la bikra naelewa ninachokisema.
Watu humu waache wabishe na siwalaumu kwa sababu sio kila mtu anaelewa kwa kuambiwa maneno tuu wengine lazima wajifunze kwa njia ngumu
Sawa mkuu, kila la heri.
 
Ukiambiwa changa maana yake inalinganishwa na ndoa zingine

7 nichanga sana endapo ya mdogo wangu wa mwisho nimiaka 15.

Sijaongelea yangu.

Kwa hiyo wewe ukiwa na miaka 30 tufanye na mimi nikawa na miaka 20 utasema mimi ni mchanga?

Au ukiwa na uzoefu wa miaka 20 na mwingine akawa na uzoefu wa miaka 10 utasema anauzoefu mchanga?

Unajua maana ya kitu kuitwa kichanga?

Unapoambiwa mtoto mchanga nini kinakuja kwenye akili yako?

Hapo ndio utajua nimelenga nini?
 
Kwa hiyo wewe ukiwa na miaka 30 tufanye na mimi nikawa na miaka 20 utasema mimi ni mchanga?

Au ukiwa na uzoefu wa miaka 20 na mwingine akawa na uzoefu wa miaka 10 utasema anauzoefu mchanga?

Unajua maana ya kitu kuitwa kichanga?

Unapoambiwa mtoto mchanga nini kinakuja kwenye akili yako?

Hapo ndio utajua nimelenga nini?

Uchanga maana yake relatively to
 
Hapo sio kweli Kiongozi, wanawake wenyewe hawajui hata bikira nini. acha kabisa kufikiria mkeo ataliwa, kwani kuliwa ni kawaida yao, hata uweke ulinzi wa namna gani ataliwa hata na Mlinzi wako au muuza genge. Tafuta sababu nyingine moja tu ya kuwa na mke inatosha.

Mkeo akiwa bikra akichepuka basi jua chanzo ni mwanaume
Mkeo ambaye ni mke wa jamii ambaye hukumkuta bikra hata umfanyie nini lazima atachepuka.

Ni hayo tuu.
 
Nina rafiki angu wa kike ni mjamzito na ameshavishwa pete,, juz kati ex wake alikuja kikaz mkoa ambapo binti yupo, binti kampokea na wamelala wote week nzima nyumba ambayo aliyemvisha pete kampangishia na binti hapo ni mjamzito na ana pete mkononi kumbukeni!! Kwa hali hii niliyoshuhudia siwez oa mwanamke asiye na bikra❌❌!! Mtoa mada yuko sahihi kabisa maana ukioa bikra asilimia za mke wako kuchepuka zinakua ndogo sana kuliko kuoa hizi dubwasha maana muda wwte wakipata chance kinaumana!!
 
Uchanga maana yake relatively to

Lakini inategemea unachokiita uchanga, huwezi sema mtu mwenye uzoefu wa miaka saba kuendelea ni mchanga, labda uwe umelogwa. Hata kwenye maombi ya kazi hicho kigezo hakipo
 
Back
Top Bottom