Kwa mazingira ya sasa na utandawazi huu, na smartphone hizi, na filamu za mapenzi hizi, yaani kumpata mke bikira labda ukavizie mtoto wa darasa la sita tena sio mjini umfate kijijini. Hapo pia ujue mvua ya miaka 30 inakunyemelea!
Jambo lingine unapaswa kukumbuka kwamba wanawake wanaoolewa wakiwa mabikira wana kasumba ya ushamba na ulimbukeni katika mapenzi, yaani akishazibuka tu hata houseboy au bodaboda atampitia tu! We hangaika nao utakuja ng'oa majani kwa meno!
 
1. Mimi ni mwanaume mtoa bikra hivyo mimi ndiye Mthibitishaji na mwanamke ni mthibitishwaji. Mwanamke yeyote anaweza kujiita bikra lakini lazima asibitishwe na mwanaume

Kwahiyo wewe umetoa bikra za wanawake wote? Na hivyo umethibisha hakuna njia nyingine?

Vipi baba alioa bikra in this case mzee wa kutoa bikra?

Ulithibisha vipi ?
 
1. Mimi ni mwanaume mtoa bikra hivyo mimi ndiye Mthibitishaji na mwanamke ni mthibitishwaji. Mwanamke yeyote anaweza kujiita bikra lakini lazima asibitishwe na mwanaume

Kwahiyo wewe umetoa bikra za wanawake wote? Na hivyo umethibisha hakuna njia nyingine?

Vipi baba alioa bikra in this case mzee wa kutoa bikra?

Ulithibisha vipi
 
Kwa mazingira ya sasa na utandawazi huu, na smartphone hizi, na filamu za mapenzi hizi, yaani kumpata mke bikira labda ukavizie mtoto wa darasa la sita tena sio mjini umfate kijijini. Hapo pia ujue mvua ya miaka 30 inakunyemelea!
Jambo lingine unapaswa kukumbuka kwamba wanawake wanaoolewa wakiwa mabikira wana kasumba ya ushamba na ulimbukeni katika mapenzi, yaani akishazibuka tu hata houseboy au bodaboda atampitia tu! We hangaika nao utakuja ng'oa majani kwa meno!

Uliwahi kuoa bikra Mkuu?

Tuulize sisi tuliooa bikra ndio tutakusimulia.

Nyie ndio wale masikini wanaosema ukipata pesa hutakuwa na amani, sijui tajiri halali usingizi wa amani. :D :D :D Ukiulizwa uliwahi kuwa tajiri unajibu hapana, wewe kama sio mwehu ni nani? Masikini bhana.

Ndio kama wasiowahi kuoa wanawake bikra, wanaongea mambo ambayo hawayajui
 
Mwanamke asiye na bikra haoni hatia moyoni mwake pindi anapochepuka, lakini mwanamke aliyeolewa bikra kabla hajachepuka huwa na uoga mwingi mno kwani ndio anajifunza. Kama ilivyo jambo lolote ukilianza huwaa gumu ndivyo kwa mwanamke mwenye aliyeolewa akiwa bikra huona ugumu sana kuchepuka.

Lakini hawa maharage ya Mbeya atachepuka na wala haoni shida.

Kijana, kwa usalama wa ndoa yako, Usithubutu kuoa mwanamke asiye na bikra, utanishukuru baadaye.
Kwa sisi tuliooa tupambane na hali zetu hasa waliooa hao maharage ya mbeya.
Kwa mazingira ya sasa na utandawazi huu, na smartphone hizi, na filamu za mapenzi hizi, yaani kumpata mke bikira labda ukavizie mtoto wa darasa la sita tena sio mjini umfate kijijini. Hapo pia ujue mvua ya miaka 30 inakunyemelea!
Jambo lingine unapaswa kukumbuka kwamba wanawake wanaoolewa wakiwa mabikira wana kasumba ya ushamba na ulimbukeni katika mapenzi, yaani akishazibuka tu hata houseboy au bodaboda atampitia tu! We hangaika nao utakuja ng'oa majani kwa meno!
 
Kwahiyo wewe umetoa bikra za wanawake wote? Na hivyo umethibisha hakuna njia nyingine?

Vipi baba alioa bikra in this case mzee wa kutoa bikra?

Ulithibisha vipi ?

Hakuna njia nyingine ndio, wewe sijui kama unajua maana ya bikra.

Kuhusu Baba yangu yeye ndiye aliyeniambia na kunirithisha haya nisemayo.

Uthibitisho nimeupata nilipooa huyu mke wangu kipenzi, sio mke wa jamhuri kama walivyo hao maharage ya mbeya
 
Bikra haina mswahili, hata wazungu wanazo Budah.

Unataka uthibitisho kwenye lipi?

Kwanza unajua maana ya bikra?

Umesema bikra hutolewa kwa ngono peke yake

Weka research kuthibitisha madai yako

Au weka any scientific literature ku- justify hoja yako

Usiwe mjinga.......

Tunataka kujifunza facts tuelimike
 
Hakuna njia nyingine ndio, wewe sijui kama unajua maana ya bikra.

Kuhusu Baba yangu yeye ndiye aliyeniambia na kunirithisha haya nisemayo.

Uthibitisho nimeupata nilipooa huyu mke wangu kipenzi, sio mke wa jamhuri kama walivyo hao maharage ya mbeya

Kwamba baba yako alikuambia? Evidence.... hukuwepo duniani am I wrong?

How credible is you're response on this?
 
Umesema bikra hutolewa kwa ngono peke yake

Weka research kuthibitisha madai yako

Au weka any scientific literature ku- justify hoja yako

Usiwe mjinga.......

Tunataka kujifunza facts tuelimike

Unajua maana ya mwanamke bikra? naona naongea na mtu ambaye hajui hata kile anachojadili.

Mwanamke bikra ni mwanamke ambaye hajawahi kukutana kimwili(kingono), au kuingiliwa na mwanaume.
Unataka evidence ipi tena.

Ni sawa na usikie Virgin Land, yaani ardhi ambayo haijatumika kwenye kilimo, lakini huenda watu wakawa wanaitumia kama kusafiri ndani yake,wewe elimu yako ni ipi?

Hujui maana ya bikra?
 
Kwamba baba yako alikuambia? Evidence.... hukuwepo duniani am I wrong?

How credible is you're response on this?

Sikuwepo lakini yeye mthibitishaji alikuwepo

Kama mimi nitakavyo waambia watoto wangu wasioe malaya wasio na bikra kwani nimeoa mama yao akiwa bikra kabisa.

Ushauri huu kila mara nawashauri na vijana wengine hata mshikaji wako akija nitamuambia asikuoe wewe kama hakukuta yaliyomo hayakuwamo, hakukuta bikra
 
Unajua maana ya mwanamke bikra? naona naongea na mtu ambaye hajui hata kile anachojadili.

Mwanamke bikra ni mwanamke ambaye hajawahi kukutana kimwili(kingono), au kuingiliwa na mwanaume.
Unataka evidence ipi tena.

Ni sawa na usikie Virgin Land, yaani ardhi ambayo haijatumika kwenye kilimo, lakini huenda watu wakawa wanaitumia kama kusafiri ndani yake,wewe elimu yako ni ipi?

Hujui maana ya bikra?

Jibu kama mwenyewe akili timamu

Swali ni hili 👇

Umesema bikra hutolewa kwa ngono peke yake

Weka research kuthibitisha madai yako

Au weka any scientific literature ku- justify hoja yako

Usiwe mjinga.......

Tunataka kujifunza facts tuelimike
 
Jibu kama mwenyewe akili timamu

Swali ni hili 👇

Umesema bikra hutolewa kwa ngono peke yake

Weka research kuthibitisha madai yako

Au weka any scientific literature ku- justify hoja yako

Usiwe mjinga.......

Tunataka kujifunza facts tuelimike


Wewe ndio huna akili, na pengine bikra zote zimeondoka hata ya ubongo.

Ushaambiwa mwanamke bikra ni yule ambaye hajakutana kimwili na mwanaume au hajafanya ngono hata sex machine. Unataka prove ipi nyingine?

Hujui maana ya bikra?
 
Back
Top Bottom