FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,188
Jina la Rais wetu Bi Samia Suluhu limeundwa kutokana na maneno ya Kiarabu.
1) Samia: Maana yake ni msikivu. Neno hili hupatikana hata katika salat za kila siku kwa Waislaam, pale Muislam anaposali, akinyanyuka kwenye rukuu husema "Samia Llahu liman Hamida". maana yake, Ni "Allah humsikia mwenye kumhimidi".
2) Suluhu: Ingawa neno hili linatokana na neno la Kiarabu "Sulh" lakini Kiswahili tunalitumia sana, suluhu kwa maana ya kukubaliana yaishe kwa amani na si kwa ugomvi.
Mfanya Suluhu mara nyingi huwa ni anaeheshimika na pande zote mbili, msikivu, mwenye hekima na asiependelea.
Tutegemee mema sana kutoka Kwa bi Samia Suluhu.
Ma Shaa Allah.
Ndugu yetu kaongezea maana ya jina la tatu: Maana ya Jina la Rais wa Tanzania, Samia Suluhu.
1) Samia: Maana yake ni msikivu. Neno hili hupatikana hata katika salat za kila siku kwa Waislaam, pale Muislam anaposali, akinyanyuka kwenye rukuu husema "Samia Llahu liman Hamida". maana yake, Ni "Allah humsikia mwenye kumhimidi".
2) Suluhu: Ingawa neno hili linatokana na neno la Kiarabu "Sulh" lakini Kiswahili tunalitumia sana, suluhu kwa maana ya kukubaliana yaishe kwa amani na si kwa ugomvi.
Mfanya Suluhu mara nyingi huwa ni anaeheshimika na pande zote mbili, msikivu, mwenye hekima na asiependelea.
Tutegemee mema sana kutoka Kwa bi Samia Suluhu.
Ma Shaa Allah.
Ndugu yetu kaongezea maana ya jina la tatu: Maana ya Jina la Rais wa Tanzania, Samia Suluhu.