Mamzalendo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 1,670
- 558
Jamani wandugu naombeni msaada kama nina gari yangu aina ya pick up na ikoregistered kama private kwa nini nilipe income tax wakati si ya biashara,coz kuna meneja wa tra ameniambia eti kama nisingekuwa na hiyo pick up si ningekodi gari kwa hiyo tugawane huu hi ni nini kwa hyo wote wenye magari binafsi walipe income tax kisa hawapandi daladala,naombeni mnieleweshe jamani,