Maana ya dhana ya kuongeza wigo wa kodi (Broadening Tax Base) na faida zake kwa Serikali

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ndugu zangu,

Leo nimeona umuhimu wa kutoa elimu ya nini maana ya dhana "kutanua wigo wa Kodi" (broadening tax base).Nini maana yake?inajumuisha mambo gani?haijumuishi mambo gani?Faida zake kwa serikali,ikumbukwe "kutanua wigo wa kodi" ina maana zaidi ikitafsiriwa kichumi na sio kisiasa:

Nini maana ya kutanua "wigo wa kukusanya kodi" (broadening tax base)?Tafsiri yake kiuchumumi ni kuhakikisha kila chanzo cha kiuchumi katika nchi kinatozwa Kodi stahiki kwa namna ambayo haipendelei sekta,mtu nk.

Je,kutanua wigo wa kodi kunajumuisha mambo gani?kunajumuisha kutokadiria Kodi kwa upendeleo ili kuruhusu ushindani wa haki kwa waagiza mizigo na Wafanyabiashara,kutoegemea bidhaa au sekta moja katika kutoza kodi, mtu au bishara ilipe kodi kutokana na ukubwa wa mapato yake nk.

Je,kutanua "wigo wa kodi" hakujumuishi mambo gani?dhana hii haijumuishi yafuatayo; misamaha ya kodi,ubaguzi na upendeleo nk.

Kutanua wigo wa kodi kuna manufaa yafuatayo kwa serikali; usawa katika ulipaji wa kodi, mapato ya uhakika na makubwa nk.

Mambo muhimu ya kuzingatia kila tunapojadili dhana ya "kupanua wigo wa kodi" ni kuwa kodi yoyote mpya inayotambulishwa kwenye nchi inalipwa na mtu/biashara na kutoka kwenye chanzo cha kiuchumi katika nchi. hivyo basi ili kupendekeza aina mpya ya kodi lazima ujue mlipaji ni Mwananchi/biashara na chanzo chake ni shughuli ya kiuchumi inayokubalika (halali).

Ili serikali yetu ifanikiwe katika zoezi hila la kutanua wigo wa walipa kodi ni lazima kufanya na kuhimiza yafuatayo;

Kwanza,Kutambua wananchi wote nchini na kuhakikisha sekta zote zinatambulika (rasmi na isiyo rasmi).Kuhakikisha kila Mtanzania kaorodheshwa na kupewa kitambulisho cha uraia kutoka NIDA.

Pili,kila Mwananchi wa Tanzania kupata namba ya utambulisho wa mlipa kodi ili ushuru na Kodi mbalimbali za serikali (direct tax) zinazomhusu ziwekwe kwenye akaunti yake (TIN) hii itaongeza motisha kwani atapata rekodi kamili ya mchango wake kwa Taifa na atakuwa na sababu ya kuhoji na kudai huduma bora zaidi kutoka serikalini.Na kwa siku za mbele kila Mwananchi aweze kujikadiria kodi yake kila mwaka.

Tatu,matumizi ya TEHAMA katika ukusanyaji wa taarifa na malipo ya kodi na tozo mbalimbali za serikali.

Nne,udhibiti wa mianya ya kodi, bado biashara nyingi hazilipi kodi stahiki. Na hapa panahitaji ukali kwani hili kundi "linamiliki" wanasiasa na media kuwatetea na kueneza propaganda.Na hapa mianya ipo kwenye kodi zote yaani za ndani na forodha.

Tano,RUSHWA.

Zaidi ya yote inahitajika uzalendo wa hali ya juu pale ambapo chanzo kipya cha mapato kinapendekezwa kijadiliwe kwa hoja kwa manufaa ya Taifa pasipo kuleta siasa za ulaghai.

Nawasilisha.
 
Wafanye watu wengi wawe wazarishaji ...nini kifanyike na namna gani kufanya watu wawe wazarishaji? ( hapa ndio Africa tunaleta siasa)..
ukiwa na watu wengi kwenye uzarishaji automatically utakuwa na walipa kodi wengi..

Idadi kubwa ya vijana na wazee Tanzania sio wazarishaji bali ni walaji hapa tunajikuta tunakamua wachache ili wengi wale bure...

Serikali ifungue mabano na kuhakikisha njia nyingi kama sio zote za uzarishaji zinafanya kazi na vijana kwa wazee wanajikita huko either moja kwa moja au kussuport...

Weka mazingira rahisi ya uwekezaji ili watu wengi wenye mitaji wawekeze na watu wengi wawe kwenye ajira (hapa utapata kodi, social security, na mzunguko mtaani)..
Elimu sahihi ya ujuzi itolewe kwa watu wetu wengi mashuleni ili wengi wakihitimu wawe na skills za kuanzisha viwanda vidogo vidogo mitaani na kuingiza bidhaa zao sokoni..
Tanzania ina ardhi kubwa bikira + eneo la bahari, serikali ipromote kilimo na uvuvu kwa kutoa elimu, mafunzo na mitaji pamoja na watu wetu kutafuta masoko nje ya mipaka kuanzia S.sudan, Sudan, Kenya, DRC, ethiopia, eritrea, djibout nk (ukiweza kulisha huko tayari umejikomboa maana chakula kinahitajika balaa)...

Bado kasi yetu na akili zetu ni ndogo saana kuendana na kasi ya ulimwemgu...always poor planning with no ideas of our real cases...
 
Tuna nguvu kazi kubwa sana iko idle na iliyi busy inatafuta hela ya kula matokeo yake wachache ndio tunakimbizana kulipa kodi..

narudia tena - put more people in production then wachanje kodi kidogo rafiki...

Uzarishaji Tanzania bado mdogo sana, tunahitaji kuumiza akili uzarishaji uwe mkubwa na wengi wawe wazarishaji...

Watanzania wenye mitaji wapewe elimu na kuacha uchuuzi waingie kwenye production kwa kuanzisha viwanda na kuacha kujenga mabar, maguest, mahotel, pubs na maduka ya uchuuzi..watu waelimishwe na kufanya uzarishaji kukidhi mahitaji na soko la ndani..

Mchina anatengeza simple machines nyingi saaana kwa ajili ya kuzarishaji bidhaa ndogo ndogo, tumtumie kwa kuwezesha watu kwa kuwapa skills na mitaji ya kuanzisha viwanda vidogo vidogo na wenye mitaji wazawa wapewe unafuu kwenye kuingiza mitambo na raw materials ili soko letu liwe na low prices watu africa waje kutrade huku....

Tunatumia miguvu saaaana wakati the calculation is very simple...
 
Ni hoja nzuri mkuu
Wafanye watu wengi wawe wazarishaji ...nini kifanyike na namna gani kufanya watu wawe wazarishaji? ( hapa ndio Africa tunaleta siasa)..
ukiwa na watu wengi kwenye uzarishaji automatically utakuwa na walipa kodi wengi..

Idadi kubwa ya vijana na wazee Tanzania sio wazarishaji bali ni walaji hapa tunajikuta tunakamua wachache ili wengi wale bure...

Serikali ifungue mabano na kuhakikisha njia nyingi kama sio zote za uzarishaji zinafanya kazi na vijana kwa wazee wanajikita huko either moja kwa moja au kussuport...

Weka mazingira rahisi ya uwekezaji ili watu wengi wenye mitaji wawekeze na watu wengi wawe kwenye ajira (hapa utapata kodi, social security, na mzunguko mtaani)..
Elimu sahihi ya ujuzi itolewe kwa watu wetu wengi mashuleni ili wengi wakihitimu wawe na skills za kuanzisha viwanda vidogo vidogo mitaani na kuingiza bidhaa zao sokoni..
Tanzania ina ardhi kubwa bikira + eneo la bahari, serikali ipromote kilimo na uvuvu kwa kutoa elimu, mafunzo na mitaji pamoja na watu wetu kutafuta masoko nje ya mipaka kuanzia S.sudan, Sudan, Kenya, DRC, ethiopia, eritrea, djibout nk (ukiweza kulisha huko tayari umejikomboa maana chakula kinahitajika balaa)...

Bado kasi yetu na akili zetu ni ndogo saana kuendana na kasi ya ulimwemgu...always poor planning with no ideas of our real cases...
 
Lingine la msingi, Serikali ianze zoezi la kugawa passport bure kwa kila mtanzania mwenye miaka 18, serikali iwaachie vijana kwenda popote kujitafutia la msingi tuwafundishe uzalendo na kupendana watanzania kwa watanzania....hapa tutapata pato kubwa kwa diaspora pamoja na kuleta mitaji humu kwa wenzano + marafiki zao watakaopenda kuja kuwekeza...

Ni wakati wa kufungua mabano na kuwaachia vijana kutoka zizini wapate akili mpya na mitaji ya kuja kuwekeza kwao...dunia ina watu wenye hela na mzunguko mkubwa wa hela, ukifungia vijana humu wanakosa hizo fursa....

Lengo la yote haya ni kuchangamsha uchumi, uchumi wetu mdogo sana na umesinyaa sana...Serikali haiwezi kutoboa kwa kukusanya kodi kwa masikini hawa waliojichokea...
 
Wazo zuri pia
Lingine la msingi, Serikali ianze zoezi la kugawa passport bure kwa kila mtanzania mwenye miaka 18, serikali iwaachie vijana kwenda popote kujitafutia la msingi tuwafundishe uzalendo na kupendana watanzania kwa watanzania....hapa tutapata pato kubwa kwa diaspora pamoja na kuleta mitaji humu kwa wenzano + marafiki zao watakaopenda kuja kuwekeza...

Ni wakati wa kufungua mabano na kuwaachia vijana kutoka zizini wapate akili mpya na mitaji ya kuja kuwekeza kwao...dunia ina watu wenye hela na mzunguko mkubwa wa hela, ukifungia vijana humu wanakosa hizo fursa....

Lengo la yote haya ni kuchangamsha uchumi, uchumi wetu mdogo sana na umesinyaa sana...Serikali haiwezi kutoboa kwa kukusanya kodi kwa masikini hawa waliojichokea...
 
Tanzania ina watu milioni 60 ikijumuisha watoto na wazee. Kama tungeendelea na kodi ya kichwa na kwamba kila kichwa kitozwe kodi ya sh 50, 000 kwa mwezi (laki sita kwa mwaka) nchi ingekuwa na uwezo wa kukusanya trillion 3 kila mwezi.

Sasa maana ya kuongeza wigo wa kodi ni kufanya assumption kwamba siyo kila mtanzania ana uwezo wa kulipa kodi 50, 000 kwa mwezi, ila kuna watanzania wana uwezo wa kulipa zaidi ya hata hiyo hadi kufidia wale ambao hawawezi kuilipa (watoto, wazee, wasiojiweza, n.k).

Kazi ya TRA iwe ni kubuni namna gani ya kuwatambua watanzania hao walipaji, kuwafikia na kuwawezesha ili waweze kulipa hiyo kodi. Maana nyingine ya kuongeza wigo wa kodi ni kuwapunguzia mzigo walipa kodi ili kuichangamsha sekta binafsi iweze kutumia ukwasi utakaopatikana kutengeneza ajira.

Hali ilivyo sasa ni serikali kuwakamua watu wachache kama walipa kodi kitu ambacho siyo sustainable. Serikali ikikaa vizuri, ikaweka mikakati ya kuwafikia walipa kodi wengi mtaa kwa mtaa (kitu hiki kinawezekana, kama sensa inafanyika nyumba kwa nyumba, kwa nini isiwezekane kutambua watu na shughuli halali zikawa registered kama walipa kodi nchi nzima?), itapanua wigo wa kodi, itaongeza mapato hata zaidi ya hiyo trillion 2 waliojiwekea kama lengo, na itaharakisha kasi ya maendeleo na kujitegemea.
 
Ndugu zangu,

Leo nimeona umuhimu wa kutoa elimu ya nini maana ya dhana "kutanua wigo wa Kodi" (broadening tax base).Nini maana yake?inajumuisha mambo gani?haijumuishi mambo gani?Faida zake kwa serikali,ikumbukwe "kutanua wigo wa kodi" ina maana zaidi ikitafsiriwa kichumi na sio kisiasa:

Nini maana ya kutanua "wigo wa kukusanya kodi" (broadening tax base)?Tafsiri yake kiuchumumi ni kuhakikisha kila chanzo cha kiuchumi katika nchi kinatozwa Kodi stahiki kwa namna ambayo haipendelei sekta,mtu nk.

Je,kutanua wigo wa kodi kunajumuisha mambo gani?kunajumuisha kutokadiria Kodi kwa upendeleo ili kuruhusu ushindani wa haki kwa waagiza mizigo na Wafanyabiashara,kutoegemea bidhaa au sekta moja katika kutoza kodi, mtu au bishara ilipe kodi kutokana na ukubwa wa mapato yake nk.

Je,kutanua "wigo wa kodi" hakujumuishi mambo gani?dhana hii haijumuishi yafuatayo; misamaha ya kodi,ubaguzi na upendeleo nk.

Kutanua wigo wa kodi kuna manufaa yafuatayo kwa serikali; usawa katika ulipaji wa kodi, mapato ya uhakika na makubwa nk.

Mambo muhimu ya kuzingatia kila tunapojadili dhana ya "kupanua wigo wa kodi" ni kuwa kodi yoyote mpya inayotambulishwa kwenye nchi inalipwa na mtu/biashara na kutoka kwenye chanzo cha kiuchumi katika nchi. hivyo basi ili kupendekeza aina mpya ya kodi lazima ujue mlipaji ni Mwananchi/biashara na chanzo chake ni shughuli ya kiuchumi inayokubalika (halali).

Ili serikali yetu ifanikiwe katika zoezi hila la kutanua wigo wa walipa kodi ni lazima kufanya na kuhimiza yafuatayo;

Kwanza,Kutambua wananchi wote nchini na kuhakikisha sekta zote zinatambulika (rasmi na isiyo rasmi).Kuhakikisha kila Mtanzania kaorodheshwa na kupewa kitambulisho cha uraia kutoka NIDA.

Pili,kila Mwananchi wa Tanzania kupata namba ya utambulisho wa mlipa kodi ili ushuru na Kodi mbalimbali za serikali (direct tax) zinazomhusu ziwekwe kwenye akaunti yake (TIN) hii itaongeza motisha kwani atapata rekodi kamili ya mchango wake kwa Taifa na atakuwa na sababu ya kuhoji na kudai huduma bora zaidi kutoka serikalini.Na kwa siku za mbele kila Mwananchi aweze kujikadiria kodi yake kila mwaka.

Tatu,matumizi ya TEHAMA katika ukusanyaji wa taarifa na malipo ya kodi na tozo mbalimbali za serikali.

Nne,udhibiti wa mianya ya kodi, bado biashara nyingi hazilipi kodi stahiki. Na hapa panahitaji ukali kwani hili kundi "linamiliki" wanasiasa na media kuwatetea na kueneza propaganda.Na hapa mianya ipo kwenye kodi zote yaani za ndani na forodha.

Tano,RUSHWA.

Zaidi ya yote inahitajika uzalendo wa hali ya juu pale ambapo chanzo kipya cha mapato kinapendekezwa kijadiliwe kwa hoja kwa manufaa ya Taifa pasipo kuleta siasa za ulaghai.

Nawasilisha.
Umeachana na legasi tena?
 
Ndugu zangu,

Leo nimeona umuhimu wa kutoa elimu ya nini maana ya dhana "kutanua wigo wa Kodi" (broadening tax base).Nini maana yake?inajumuisha mambo gani?haijumuishi mambo gani?Faida zake kwa serikali,ikumbukwe "kutanua wigo wa kodi" ina maana zaidi ikitafsiriwa kichumi na sio kisiasa:

Nini maana ya kutanua "wigo wa kukusanya kodi" (broadening tax base)?Tafsiri yake kiuchumumi ni kuhakikisha kila chanzo cha kiuchumi katika nchi kinatozwa Kodi stahiki kwa namna ambayo haipendelei sekta,mtu nk.

Je,kutanua wigo wa kodi kunajumuisha mambo gani?kunajumuisha kutokadiria Kodi kwa upendeleo ili kuruhusu ushindani wa haki kwa waagiza mizigo na Wafanyabiashara,kutoegemea bidhaa au sekta moja katika kutoza kodi, mtu au bishara ilipe kodi kutokana na ukubwa wa mapato yake nk.

Je,kutanua "wigo wa kodi" hakujumuishi mambo gani?dhana hii haijumuishi yafuatayo; misamaha ya kodi,ubaguzi na upendeleo nk.

Kutanua wigo wa kodi kuna manufaa yafuatayo kwa serikali; usawa katika ulipaji wa kodi, mapato ya uhakika na makubwa nk.

Mambo muhimu ya kuzingatia kila tunapojadili dhana ya "kupanua wigo wa kodi" ni kuwa kodi yoyote mpya inayotambulishwa kwenye nchi inalipwa na mtu/biashara na kutoka kwenye chanzo cha kiuchumi katika nchi. hivyo basi ili kupendekeza aina mpya ya kodi lazima ujue mlipaji ni Mwananchi/biashara na chanzo chake ni shughuli ya kiuchumi inayokubalika (halali).

Ili serikali yetu ifanikiwe katika zoezi hila la kutanua wigo wa walipa kodi ni lazima kufanya na kuhimiza yafuatayo;

Kwanza,Kutambua wananchi wote nchini na kuhakikisha sekta zote zinatambulika (rasmi na isiyo rasmi).Kuhakikisha kila Mtanzania kaorodheshwa na kupewa kitambulisho cha uraia kutoka NIDA.

Pili,kila Mwananchi wa Tanzania kupata namba ya utambulisho wa mlipa kodi ili ushuru na Kodi mbalimbali za serikali (direct tax) zinazomhusu ziwekwe kwenye akaunti yake (TIN) hii itaongeza motisha kwani atapata rekodi kamili ya mchango wake kwa Taifa na atakuwa na sababu ya kuhoji na kudai huduma bora zaidi kutoka serikalini.Na kwa siku za mbele kila Mwananchi aweze kujikadiria kodi yake kila mwaka.

Tatu,matumizi ya TEHAMA katika ukusanyaji wa taarifa na malipo ya kodi na tozo mbalimbali za serikali.

Nne,udhibiti wa mianya ya kodi, bado biashara nyingi hazilipi kodi stahiki. Na hapa panahitaji ukali kwani hili kundi "linamiliki" wanasiasa na media kuwatetea na kueneza propaganda.Na hapa mianya ipo kwenye kodi zote yaani za ndani na forodha.

Tano,RUSHWA.

Zaidi ya yote inahitajika uzalendo wa hali ya juu pale ambapo chanzo kipya cha mapato kinapendekezwa kijadiliwe kwa hoja kwa manufaa ya Taifa pasipo kuleta siasa za ulaghai.

Nawasilisha.
Leo angalau umekuja na hoja nzuri,sio yale mambo yenu ya ushabiki.Tukirudi kwenye mada nakubaliana na wewe hasa unaposema "inaleta maana zaidi ikitafsiriwa kiuchumi na sio kisiasa".
Ukweli ni kwamba watu wengi hawalipi kodi ingawa wanao uwezo wa kulipa,na tatizo ni kwamba wanasiasa kwa kutafuta cheap popularity wanawakingia kifua,utasikia Mara wanyonge na lugha nyingine kama hizo.Hadi nchi itakapoondokana na ubabaishaji katika siasa hili tatizo haliwezi kupata ufumbuzi.
 
Ndugu zangu,

Leo nimeona umuhimu wa kutoa elimu ya nini maana ya dhana "kutanua wigo wa Kodi" (broadening tax base).Nini maana yake?inajumuisha mambo gani?haijumuishi mambo gani?Faida zake kwa serikali,ikumbukwe "kutanua wigo wa kodi" ina maana zaidi ikitafsiriwa kichumi na sio kisiasa:

Nini maana ya kutanua "wigo wa kukusanya kodi" (broadening tax base)?Tafsiri yake kiuchumumi ni kuhakikisha kila chanzo cha kiuchumi katika nchi kinatozwa Kodi stahiki kwa namna ambayo haipendelei sekta,mtu nk.

Je,kutanua wigo wa kodi kunajumuisha mambo gani?kunajumuisha kutokadiria Kodi kwa upendeleo ili kuruhusu ushindani wa haki kwa waagiza mizigo na Wafanyabiashara,kutoegemea bidhaa au sekta moja katika kutoza kodi, mtu au bishara ilipe kodi kutokana na ukubwa wa mapato yake nk.

Je,kutanua "wigo wa kodi" hakujumuishi mambo gani?dhana hii haijumuishi yafuatayo; misamaha ya kodi,ubaguzi na upendeleo nk.

Kutanua wigo wa kodi kuna manufaa yafuatayo kwa serikali; usawa katika ulipaji wa kodi, mapato ya uhakika na makubwa nk.

Mambo muhimu ya kuzingatia kila tunapojadili dhana ya "kupanua wigo wa kodi" ni kuwa kodi yoyote mpya inayotambulishwa kwenye nchi inalipwa na mtu/biashara na kutoka kwenye chanzo cha kiuchumi katika nchi. hivyo basi ili kupendekeza aina mpya ya kodi lazima ujue mlipaji ni Mwananchi/biashara na chanzo chake ni shughuli ya kiuchumi inayokubalika (halali).

Ili serikali yetu ifanikiwe katika zoezi hila la kutanua wigo wa walipa kodi ni lazima kufanya na kuhimiza yafuatayo;

Kwanza,Kutambua wananchi wote nchini na kuhakikisha sekta zote zinatambulika (rasmi na isiyo rasmi).Kuhakikisha kila Mtanzania kaorodheshwa na kupewa kitambulisho cha uraia kutoka NIDA.

Pili,kila Mwananchi wa Tanzania kupata namba ya utambulisho wa mlipa kodi ili ushuru na Kodi mbalimbali za serikali (direct tax) zinazomhusu ziwekwe kwenye akaunti yake (TIN) hii itaongeza motisha kwani atapata rekodi kamili ya mchango wake kwa Taifa na atakuwa na sababu ya kuhoji na kudai huduma bora zaidi kutoka serikalini.Na kwa siku za mbele kila Mwananchi aweze kujikadiria kodi yake kila mwaka.

Tatu,matumizi ya TEHAMA katika ukusanyaji wa taarifa na malipo ya kodi na tozo mbalimbali za serikali.

Nne,udhibiti wa mianya ya kodi, bado biashara nyingi hazilipi kodi stahiki. Na hapa panahitaji ukali kwani hili kundi "linamiliki" wanasiasa na media kuwatetea na kueneza propaganda.Na hapa mianya ipo kwenye kodi zote yaani za ndani na forodha.

Tano,RUSHWA.

Zaidi ya yote inahitajika uzalendo wa hali ya juu pale ambapo chanzo kipya cha mapato kinapendekezwa kijadiliwe kwa hoja kwa manufaa ya Taifa pasipo kuleta siasa za ulaghai.

Nawasilisha.
Mbona haukumwambia haya JPM?
 
Back
Top Bottom