Jayfour_King
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 1,135
- 128
Mimi ni mmoja kati ya wale wanaoamini kwamba neno BOMA ni neno la kiswahili na ni nyumba zilizojengwa kwa kuzunguka kama uzio hivi. Nimekutana na mzee mmoja wa zamani akaniambia kwamba neno BOMA ni ufupisho wa maneno ya kiingereza "British Oversease Management Agency" wazee wa zamani mlio humu JF tufanyieni clarification ya hii, je ni kweli?