maana ya amani

fidodido

Member
Jan 5, 2011
85
25
wana JF salute!

Obama amehutubia umoja wa mataifa na kueeleza maana ya amani na hapa nanukuu " Peace is not just absence of war. True peace depends on creating the opportunity needs life worth living" mwisho wa nukuu.

sasa watawala wetu kila siku wansema tuna amani je hiyo ni kweli? umaskini, njaa, miundombinu mibovu, rushwa , ufisadi na kadhalika NDIYO AMANI?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom