wana JF salute!
Obama amehutubia umoja wa mataifa na kueeleza maana ya amani na hapa nanukuu " Peace is not just absence of war. True peace depends on creating the opportunity needs life worth living" mwisho wa nukuu.
sasa watawala wetu kila siku wansema tuna amani je hiyo ni kweli? umaskini, njaa, miundombinu mibovu, rushwa , ufisadi na kadhalika NDIYO AMANI?
Obama amehutubia umoja wa mataifa na kueeleza maana ya amani na hapa nanukuu " Peace is not just absence of war. True peace depends on creating the opportunity needs life worth living" mwisho wa nukuu.
sasa watawala wetu kila siku wansema tuna amani je hiyo ni kweli? umaskini, njaa, miundombinu mibovu, rushwa , ufisadi na kadhalika NDIYO AMANI?