Maamuzi ya Serikali ni Shaghala Baghala! No Coordination! Do We Need a System, or Hii ya 1-Man Show inatosha?

Wana bodi, kiukweli baadhi ya maamuzi ya taasisi za una za serikali ya Magufuli ni shaghalabaghala, yanaonyesha hakuna coordination Kati ya serikali na taasisi zake, haiwezekani taasisi ya serikali iseme hicieron, Kisha serikali ikanushe, halafu rais anaingilia kati anamtumbua mkuu was taasisi moja, kisha water wote tunashangilia as if it's a good move!. There must be something wrong somewhere. Mkuu Mkarimani, kupandisha bei ya umeme ni process ambayo inapitia hatua zifuatazo
1.Menejiment ya Tanesco inaomba kibali cha kupandisha gharama za umeme kwenye bodi ya Tenasco na kutoa sababu. Hiyo bodi ina serikali ndani yake, na ina ikulu ndani yake, M/Kiti ni mteule wa rais na anawajibika kwa waziri husika.
2. Bodi inapitia maombi, inajiridhisha, inatoa kibali cha kupeleka naombi Ewura, Waziri husika anajulishwa, ikulu inajulishwa.
3. Service provider ambaye ni Tanesco anatuma maombi ya ombi la kuongeza bei ya umeme kwa Ewura akiambatanisha sababu za msingi na mkokotoo wa gharama.
4. Ewura inapokea maombi, inaitisha kikao cha stakeholders kukusanya maoni yao na kufanya upembuzi yakinifu.
5. Ewura inafikia uamuzi inatangaza kusudio kw la kupandisha bei, inaitisha bodi ya Uwura kubariki ongezeko hilo. Ndani ya bodi ya Ewura, serikali imo na ikulu imo. Bodi inabariki uamuzi huo na kuipa Menejiment ya Ewura kutangaza huku waziri husika akihusishwa na ikulu ikitaarifiwa.
6. Ndipo Ewura wanatangaza Bei Mpya za Umeme.
Kwa mchakato huu, mtu akisema baadhi ya maamuzi ya taasisi za serikali ya Magufuli ni shaghala Baghala, tutakuwa tunawaonea? .

Kwa serikali ilijua kabla, ikulu ilijua kabla, kwa vile vyombo vyote hivyo vilipaswa kujua na kuzuia kabla ya kutangazwa ongezeko.

Kama ni kweli ikulu haikujua na serikali haikujua, hii ni gross negligence na wahusika sio Menejiment za Tanesco na Ewura.

Then wahusika ndio wawajibishwe!.

Ili Tanzania tusonge mbele, we need an effective systems and not a one man show! .

Happy New Year.

Paskali

Mkuu, unaifahamu nguvu kubwa ilokuwa nyuma ya Tanesco na ongezeko la gharama za umeme?
 
The issue is huo ndio uzuzu aliousemea mwalimu. Shida nyingine ni kwamba those guys were not prepared for the task ndo maana asbuhi huyu anasema hili jioni mwingine lile. They are not systematically organised. Huo utumbuaji wenyewe ni usanii mtupu ni naambiwa bado watu wa nakula salaries kama kawaida na usafiri wa umma unatumika. Kuna kitu hapo?
 
Mchawi KATIBA ndiyo inayo mpa mamlaka makubwa rais!

Kila wizara inatakiwa isimame kivyake na siyo rais kusimamia kila kitu!!

Hata kama misahafu ndo ingekuwa katiba yetu, faru John bado angeikanyaga kama anavyokanyaga hii ya sasa.
Tatizo la sasa tulilonalo ni kubwa kuliko KATIBA.
 
Haaaah Leo vipi mbona uko na hasira sana mkuu kunani?

Uzi wa tatu huu ndani ya masaa 3

Au ndio mwaka mpya any way kwa hili la Magufuli kumuondoa mkurugenzi wa Tanesco Mimi namuunga mkono kwa 100% ..........

Bado nina uhakika kuwa Muhongo na mkurugenzi wa EWURA nao ni majipu.....

Sema Muhongo kawa mjanja kujitoa mapema maana Magufuli angewaunganisha wote.............

Rais wa wanyonge anatakiwa kureact kwenye mambo ya wanyonge kama haya..............

Haya ndio Mimi usimamia naona rais anayafanya.........
Mpaka sasa sijaelewa!!

Itakuwaje Mkuu wa Tanesco anatumbuliwa kwa kuomba halafu aliyebariki na kuhalalisha anasalimika!!!?
 
1.Menejiment ya Tanesco inaomba kibali cha kupandisha gharama za umeme kwenye bodi ya Tenasco na kutoa sababu. Hiyo bodi ina serikali ndani yake, na ina ikulu ndani yake, M/Kiti ni mteule wa rais na anawajibika kwa waziri husika.
2. Bodi inapitia maombi, inajiridhisha, inatoa kibali cha kupeleka naombi Ewura, Waziri husika anajulishwa, ikulu inajulishwa.
3. Service provider ambaye ni Tanesco anatuma maombi ya ombi la kuongeza bei ya umeme kwa Ewura akiambatanisha sababu za msingi na mkokotoo wa gharama.
4. Ewura inapokea maombi, inaitisha kikao cha stakeholders kukusanya maoni yao na kufanya upembuzi yakinifu.
5. Ewura inafikia uamuzi inatangaza kusudio kw la kupandisha bei, inaitisha bodi ya Uwura kubariki ongezeko hilo. Ndani ya bodi ya Ewura, serikali imo na ikulu imo. Bodi inabariki uamuzi huo na kuipa Menejiment ya Ewura kutangaza huku waziri husika akihusishwa na ikulu ikitaarifiwa.
6. Ndipo Ewura wanatangaza Bei Mpya za Umeme.
Kwa mchakato huu, mtu akisema baadhi ya maamuzi ya taasisi za serikali ya Magufuli ni shaghala Baghala, tutakuwa tunawaonea? .
Paskali
Pascal Mayalla,unajuaje kama one of the process above haikufuatwa?
Ulipenda umeme upande kiholela?
 
Pole sana Pascally. Umeandika kwa hasira sana huku ukiwa na mwendokasi wa kupost ndiyo maana sentensi chache lakini umekosea pakubwa. Wale "jamaa" zako wanaondolewa moja at a time. It's understandable kukasirika maana unapita katika wakati mgumu sana.
 
Paschall una masilahi gani kwa serikali hii kushindwa, kama unavyoamini kuwa hatuhitaji one man show hata mimi ninaamini huyu one man show hakurupuki tuuu, ana vyombo vya kumshauri katika maamuzi yake. Ni kweli serikali ina mfumo na EWURA ni sehemu ya mfumo kama wao wamekiuka tararibu katika utendaji wao tufanyeje. Prof amejibu vizuri sanaaa
 
Pascal Mayalla,unajuaje kama one of the process above haikufuatwa?
Ulipenda umeme upande kiholela?
The issue hapa sizani kama niumeme kupanda amakushuka kila mtu anatamani alipe kidogo issue ni vile movie ilivoanza nakuishia looooh imeonyesha udhaifu wa hali ya juuu kupitiliza!
 
Wana bodi, kiukweli baadhi ya maamuzi ya taasisi za umma za serikali ya Magufuli ni shaghalabaghala, yanaonyesha hakuna coordination Kati ya serikali na taasisi zake, haiwezekani taasisi ya serikali iseme kitu hiki, kisha serikali hiyo hiyo ikanushe!, Waziri aseme hivi, naibu waziri hivi, katibu mkuu hivi!. Mfano ni hili la kupanda bei ya umeme, ikulu ikijua, Prof. Muhongo alijua, halafu rais anaingilia kati anamtumbua mkuu wa taasisi moja tus!, kisha watu wote tunashangilia as if it's a good move!. There must be something wrong somewhere.
Kwenye politics kuna kitu kinaitwa "scapegoat" Kizaramo ni "bangusilo", watu wanashangilia bangusilo badala ya kudeal na the real usues zinazopandisha being ya umeme! .Mkuu Mkarimani, kupandisha bei ya umeme ni process ambayo inapitia hatua zifuatazo
1.Menejiment ya Tanesco inaomba kibali cha kupandisha gharama za umeme kwenye bodi ya Tenasco na kutoa sababu. Hiyo bodi ina serikali ndani yake, na ina ikulu ndani yake, M/Kiti ni mteule wa rais na anawajibika kwa waziri husika.
2. Bodi inapitia maombi, inajiridhisha, inatoa kibali cha kupeleka naombi Ewura, Waziri husika anajulishwa, ikulu inajulishwa.
3. Service provider ambaye ni Tanesco anatuma maombi ya ombi la kuongeza bei ya umeme kwa Ewura akiambatanisha sababu za msingi na mkokotoo wa gharama.
4. Ewura inapokea maombi, inaitisha kikao cha stakeholders kukusanya maoni yao na kufanya upembuzi yakinifu.
5. Ewura inafikia uamuzi inatangaza kusudio kw la kupandisha bei, inaitisha bodi ya Uwura kubariki ongezeko hilo. Ndani ya bodi ya Ewura, serikali imo na ikulu imo. Bodi inabariki uamuzi huo na kuipa Menejiment ya Ewura kutangaza huku waziri husika akihusishwa na ikulu ikitaarifiwa.
6. Ndipo Ewura wanatangaza Bei Mpya za Umeme.
Kwa mchakato huu, mtu akisema baadhi ya maamuzi ya taasisi za serikali ya Magufuli ni shaghala Baghala, tutakuwa tunawaonea? .

Kwa serikali ilijua kabla, ikulu ilijua kabla, kwa vile vyombo vyote hivyo vilipaswa kujua na kuzuia kabla ya kutangazwa ongezeko.

Kama ni kweli ikulu haikujua na serikali haikujua, hii ni gross negligence na wahusika sio Menejiment za Tanesco na Ewura.

Then wahusika ndio wawajibishwe!.

Ili Tanzania tusonge mbele, we need an effective systems and not a one man show! .

Happy New Year.

Paskali

Only 05 would understand ,Mramba was one of the best guys in the place ,I real wonder how this rookie lecturer is goin to be In charge infront of well enough experienced guys in the job .
 
Wana bodi, kiukweli baadhi ya maamuzi ya taasisi za umma za serikali ya Magufuli ni shaghalabaghala, yanaonyesha hakuna coordination Kati ya serikali na taasisi zake, haiwezekani taasisi ya serikali iseme kitu hiki, kisha serikali hiyo hiyo ikanushe!, Waziri aseme hivi, naibu waziri hivi, katibu mkuu hivi!. Mfano ni hili la kupanda bei ya umeme, ikulu ikijua, Prof. Muhongo alijua, halafu rais anaingilia kati anamtumbua mkuu wa taasisi moja tus!, kisha watu wote tunashangilia as if it's a good move!. There must be something wrong somewhere.
Kwenye politics kuna kitu kinaitwa "scapegoat" Kizaramo ni "bangusilo", watu wanashangilia bangusilo badala ya kudeal na the real usues zinazopandisha being ya umeme! .Mkuu Mkarimani, kupandisha bei ya umeme ni process ambayo inapitia hatua zifuatazo
1.Menejiment ya Tanesco inaomba kibali cha kupandisha gharama za umeme kwenye bodi ya Tenasco na kutoa sababu. Hiyo bodi ina serikali ndani yake, na ina ikulu ndani yake, M/Kiti ni mteule wa rais na anawajibika kwa waziri husika.
2. Bodi inapitia maombi, inajiridhisha, inatoa kibali cha kupeleka naombi Ewura, Waziri husika anajulishwa, ikulu inajulishwa.
3. Service provider ambaye ni Tanesco anatuma maombi ya ombi la kuongeza bei ya umeme kwa Ewura akiambatanisha sababu za msingi na mkokotoo wa gharama.
4. Ewura inapokea maombi, inaitisha kikao cha stakeholders kukusanya maoni yao na kufanya upembuzi yakinifu.
5. Ewura inafikia uamuzi inatangaza kusudio kw la kupandisha bei, inaitisha bodi ya Uwura kubariki ongezeko hilo. Ndani ya bodi ya Ewura, serikali imo na ikulu imo. Bodi inabariki uamuzi huo na kuipa Menejiment ya Ewura kutangaza huku waziri husika akihusishwa na ikulu ikitaarifiwa.
6. Ndipo Ewura wanatangaza Bei Mpya za Umeme.
Kwa mchakato huu, mtu akisema baadhi ya maamuzi ya taasisi za serikali ya Magufuli ni shaghala Baghala, tutakuwa tunawaonea? .

Kwa serikali ilijua kabla, ikulu ilijua kabla, kwa vile vyombo vyote hivyo vilipaswa kujua na kuzuia kabla ya kutangazwa ongezeko.

Kama ni kweli ikulu haikujua na serikali haikujua, hii ni gross negligence na wahusika sio Menejiment za Tanesco na Ewura.

Then wahusika ndio wawajibishwe!.

Ili Tanzania tusonge mbele, we need an effective systems and not a one man show! .

Happy New Year.

Paskali

Hapa kuna bodi 2 zinahusika.
 
Haaaah Leo vipi mbona uko na hasira sana mkuu kunani?

Uzi wa tatu huu ndani ya masaa 3 ukiwatetea hawa mabwana lakini nikaenda nyumba nikaona ulimtete boss TIC aliyekuwa akijiripa posho kibao na kujifanya halipwi mshahara.........

Ukaja kumtete Mafuru ukimuita ni shujaa.......

Leo tena unatete watu waliojilipa Milioni 60 kila mmoja zikiwa ni pesa za umma na shirika likiwa katika hali ngumu........

Yaani umume upande kwa mteja Tanesco waende kulipana posho..........

Au ndio mwaka mpya any way kwa hili la Magufuli kumuondoa mkurugenzi wa Tanesco Mimi namuunga mkono kwa 100% ..........

Bado nina uhakika kuwa Muhongo na mkurugenzi wa EWURA nao ni majipu.....

Rais wa wanyonge anatakiwa kureact kwenye mambo ya wanyonge kama haya..............

Kama watu mnageuka kuwa watetezi wa mafisadi na wezi ambao wako tayari kujilipa milioni 60 kila mmoja kila mwisho wa mwaka kisa tu wapo kwenye board ya Tanesco wakati huo wakisahau walikuwa wakilipwa mishahara kila mwezi na kupewa umeme majumbani mwao..........

Kama unatetea taasisi imara za kula pesa za umma utakavyo I'm sory 4that..........
Ni hao tanesco waliahidi umeme wa uhakika na nafuu baada ya kupata gesi. Leo wanakuja na hadithi za kupandisha huku tukiwa na gesi, mkaa wa mawe in addition ya mito huku wakisingizia bei za jirani zetu ni za juu zaidi. Kwa hali hii kwa rais asiyepende ngonjera atatumbua tu. Ni vizuri viongozi wa mashirika ya umma wakabadirika vinginevyo watakwisha kwani sioni dalili za business as usual.
 
Back
Top Bottom