Madakitari wazungumze na serikali kuhusu mambo yaliyo na maslah na kazi zao kazi kuunda serikali ni ya Rais.Katiba haijawapa madakitari haki ya kuweka mawaziri na kuwatoa. Vinginevyo' ikiwa madakitari wetu wameamua kutumiwa na wanasiasa wenye uchu wa madaraka, hiyo siyo' tutakufa siyo wagonjwa tu' Bali hata wazima. Madakitari mskubali kutumiwa kuimaliza Tanzania.
Umetumwa...Ulitaka serikali ifanye nini?. Kama madaktari wameamua kugoma waache wagome. Ni wapuuzi sana hawa madaktari kwani wanatumiwa na vyama vya siasa. Hawana uwezo wa kupanga baraza la mawaziri, wapuuzi kupita kiasi.
Hii ipo chini ya kiwango na inaonesha jinsi gani unamtindio wa akili. ili mtu kujua haki yake nilazima atumiwe na vyama vya siasa?Serikali inavyotelekeza huduma za afya inashawishiwa na chama cha siasa gani? ufisadi uliotamalaki ndani ya serilkali ni ushawishi wa chama gani? na wewe kuandika upuuzi huu umeshawishiwa na chama gani?Wewe ni mpuuzi wa kutupwa.Ulitaka serikali ifanye nini?. Kama madaktari wameamua kugoma waache wagome. Ni wapuuzi sana hawa madaktari kwani wanatumiwa na vyama vya siasa. Hawana uwezo wa kupanga baraza la mawaziri, wapuuzi kupita kiasi.
Ulitaka serikali ifanye nini?. Kama madaktari wameamua kugoma waache wagome. Ni wapuuzi sana hawa madaktari kwani wanatumiwa na vyama vya siasa. Hawana uwezo wa kupanga baraza la mawaziri, wapuuzi kupita kiasi.
Ulitaka serikali ifanye nini?. Kama madaktari wameamua kugoma waache wagome. Ni wapuuzi sana hawa madaktari kwani wanatumiwa na vyama vya siasa. Hawana uwezo wa kupanga baraza la mawaziri, wapuuzi kupita kiasi.