Lyimo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,826
- 2,017
Ushindiwa G. Lema ulikuwa dhahiri tangu awali. Licha ya kubadilisha majaji, kuhamisha mahakama kutoka Arusha kwenda Dar na kupeleka mbele siku ya kutoa maamuzi licha ya shauri kusikilizwa siku nyingi. Hili la kulipeleka mbele hadi leo ambapo pia Lulu amebadilishiwa mashitaka na sasa anaweza kuwa huru mtaani huku akiendelea na aina nyingine ya mashitaka na si ya kuuwa kwa kukusudia.
Kutokea kwa mambo haya mawili wengi tunatafasiri kuwa serikali ipo nyuma ya maamuzi ya kesi ya Lulu. Imemrudishia Lema ushindi wake ambao umechukua attension kubwa ya wananchi hasa wa Dar na Arusha.
Kwa jinsi watanzania tulivyo hatutaona tena issue ya Lulu, na hatutahoji kulikoni. Siingilii maamuzi ya mahakama, bali najiuliza maswali mengi kutokana na obvious coincidence zinazotokeaga Tanzanaia. Coincidences zinaweza kupangwa na zikafanikisha madhumuni yake katika nchi hii tu.
Kutokea kwa mambo haya mawili wengi tunatafasiri kuwa serikali ipo nyuma ya maamuzi ya kesi ya Lulu. Imemrudishia Lema ushindi wake ambao umechukua attension kubwa ya wananchi hasa wa Dar na Arusha.
Kwa jinsi watanzania tulivyo hatutaona tena issue ya Lulu, na hatutahoji kulikoni. Siingilii maamuzi ya mahakama, bali najiuliza maswali mengi kutokana na obvious coincidence zinazotokeaga Tanzanaia. Coincidences zinaweza kupangwa na zikafanikisha madhumuni yake katika nchi hii tu.