M mshumbue-soi JF-Expert Member Aug 28, 2013 1,842 1,147 Dec 24, 2016 #1 "Nimeamua nchi iende na itaenda, anayedhani atanikwamisha atakwama yeye kwasababu hata Mungu yupo pamoja na Mimi,"---Rais Magufuli.
"Nimeamua nchi iende na itaenda, anayedhani atanikwamisha atakwama yeye kwasababu hata Mungu yupo pamoja na Mimi,"---Rais Magufuli.
M mshumbue-soi JF-Expert Member Aug 28, 2013 1,842 1,147 Dec 24, 2016 Thread starter #2 Mhe Rais nasi watanzania tuko nawe tukikuombea na zaidi kukuunga mkono we ndio Rais wetu hatuna mwingine we tutangulie sisi ulipo tupo
Mhe Rais nasi watanzania tuko nawe tukikuombea na zaidi kukuunga mkono we ndio Rais wetu hatuna mwingine we tutangulie sisi ulipo tupo
BAK JF-Expert Member Feb 11, 2007 124,790 288,005 Dec 24, 2016 #3 "Nchi inaenda kama gari bovu haina sukani" Alhaj Ali Hassan Mwinyi AKA Mzee RUKHSA.
mjingamimi JF-Expert Member Aug 3, 2015 39,203 44,650 Dec 24, 2016 #4 Sawa.ila mwambie mungu hapendi pesa za rambi rambi ziliwe.
pistmshai JF-Expert Member Dec 12, 2016 1,315 3,680 Dec 24, 2016 #5 Nakupenda sana Mh. Rais Unakura yangu nyingine 2020
BAK JF-Expert Member Feb 11, 2007 124,790 288,005 Dec 24, 2016 #6 "Rais anayejiona yeye ni Tembo hatufai Watanzania." Mh. Butiku.
M mshumbue-soi JF-Expert Member Aug 28, 2013 1,842 1,147 Dec 24, 2016 Thread starter #7 Ya Butiku hakuyasema awamu hii