George Dalali
Member
- May 3, 2014
- 45
- 129
Wakuu, wasalaam.
Malengo ya uzi:
1. Kusoma na kujifunza toka kwenye maamuzi mbalimbali ya Mahakama.
2. Kushiriki kuibua mijadala ya kifikra kuhusu tafsiri mbali mbali za Sheria zilizotolewa kwenye maamuzi mbalimbali ya Mahakama.
3. Kushirikiana ufahamu na kuiishi Sheria.
Muongozo:
1. Kutochanganya mihemuko ya kisiasa na Sheria.
2. Kujadiliana kwa lugha ya staha na kuheshimu mawazo tofauti tofauti.
3. Kujadili hoja na si mtu.
4. Kuzingatia malengo ya uzi.
Vikwazo/changamoto:
Kukiuka Malengo na Muongozo tajwa.
Chimbuko la wazo hili (kwa tafsiri yangu):
1. Kujaribu kuitekeleza topic husika kwa vitendo.
2. Kuongeza chachu kwenye Jukwaa hili.
Ahadi yangu:
Uvumilivu wa kadri.
Kuhusu utaratibu:
Mtu yeyote (pamoja na mimi) anaweza kupost hapa uamuzi wa Mahakama na kuandika jinsi alivyo uelewa.
Nukuu: tafadhali, uelezaji wa uelewa wa mtu husika kuhusu uamuzi wa Mahakama usiwe wa kuikashifu au kuidhalilisha Mahakama husika. Lengo ni kuielewa Sheria kupitia maamuzi ya Mahakama.
Tahadhari:
Baadhi ya maandiko yanaweza kuwa si katika lugha nyepesi kihivyo. Hatahivyo mwandishi anashauriwa kurahisisha uandishi wake kiasi kwamba audience imuelewe au angalau ipate picha.
Faraja:
Kama wachangiaji wa uzi huu watazingatia maelezo hapo juu, ipo faraja kwamba uzi huu utafungua ukurasa Mpya katika segment hii ya Jukwaa la Sheria, aidha upo uwezekano wa uzi huu kuwa endelevu.
Karibuni.
Malengo ya uzi:
1. Kusoma na kujifunza toka kwenye maamuzi mbalimbali ya Mahakama.
2. Kushiriki kuibua mijadala ya kifikra kuhusu tafsiri mbali mbali za Sheria zilizotolewa kwenye maamuzi mbalimbali ya Mahakama.
3. Kushirikiana ufahamu na kuiishi Sheria.
Muongozo:
1. Kutochanganya mihemuko ya kisiasa na Sheria.
2. Kujadiliana kwa lugha ya staha na kuheshimu mawazo tofauti tofauti.
3. Kujadili hoja na si mtu.
4. Kuzingatia malengo ya uzi.
Vikwazo/changamoto:
Kukiuka Malengo na Muongozo tajwa.
Chimbuko la wazo hili (kwa tafsiri yangu):
1. Kujaribu kuitekeleza topic husika kwa vitendo.
2. Kuongeza chachu kwenye Jukwaa hili.
Ahadi yangu:
Uvumilivu wa kadri.
Kuhusu utaratibu:
Mtu yeyote (pamoja na mimi) anaweza kupost hapa uamuzi wa Mahakama na kuandika jinsi alivyo uelewa.
Nukuu: tafadhali, uelezaji wa uelewa wa mtu husika kuhusu uamuzi wa Mahakama usiwe wa kuikashifu au kuidhalilisha Mahakama husika. Lengo ni kuielewa Sheria kupitia maamuzi ya Mahakama.
Tahadhari:
Baadhi ya maandiko yanaweza kuwa si katika lugha nyepesi kihivyo. Hatahivyo mwandishi anashauriwa kurahisisha uandishi wake kiasi kwamba audience imuelewe au angalau ipate picha.
Faraja:
Kama wachangiaji wa uzi huu watazingatia maelezo hapo juu, ipo faraja kwamba uzi huu utafungua ukurasa Mpya katika segment hii ya Jukwaa la Sheria, aidha upo uwezekano wa uzi huu kuwa endelevu.
Karibuni.