TheCombination
JF-Expert Member
- May 21, 2021
- 370
- 726
Dah..aisee wake zetu hawa wanatupenda sana (sio wote).huyo dada anavyoeleza kampelekea jamaa shuka na chakula na sabun aisee nimehis kulengwa machozi nikakumbuka 2019 nimeugua ghafla nikiwa kwenye mishe zangu town nikaingizwa emergency Temeke hospital wife kaja na na nguo sijui hata alijuaje maana nilizovaa nilichafua chufua kwa kutapika.Mungu wabariki wanawake