jose mjasiriamali
JF-Expert Member
- Sep 17, 2014
- 1,746
- 1,531
Hapo wakisema wamekuta vitu flani wanawezaje kuthibitisha kuwa hivyo vitu hawajaingia navyo wao,bado tuna tatizo SanaPolice wanaruhusiwa kuingia ndani kwa mtuhumiwa bila ruhusa na kuvunja milango