Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Mtatiro,
..achana na huo ugomvi wa Wapemba.
..utatumika tu hapo lakini mwisho watakutupa.
..jifunze yaliyotokea kwa James Mapalala.
..hivi huoni Mtanganyika mwenzako Nguyuru Lipumba alivyojiweka pembeni? hivi unafikiri yeye ni mjinga?
Mkuu umesahau Mzee Msobi Mageni