Geofrey Andrew Sanga
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 251
- 55
Sahihiiiiiiiiiii
Unajua wewe dada sikuelewi....Umenituhumu kuwa nimekutukana huku ukinichongea kwa Mods...Sasa nimekuomba unoneshe hilo tusi ambalo nimekutukana umebaki unabwabwaja na kujipendekeza kwa Mods...We mwanamke vipi wewe unalaana...Endelea tu, Moderator anajionea mwenyewe.
Nakumbuka mwaka 2010 kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika, humu JF kulikuwa na Poll ya nani anafaa kuwa rais wa nchii hii.
Dr.Slaa alishinda kwa kura nyingi sana.
Uchaguzi ulipofanyika matokeo yakawa tofauti kabisa.
Nyie ndio mmekuja kuiharibu JF.Humu JF TISS na NEC wangeibaje kura? Simple. Haya kachukue buku 7 umejitahidi kuleta Uharo mwepesi.
Mkuu unadhani kumfahamu zuzu unahitaji elimu ya sayansi ya kupaisha roketi...Ni rahisi sana..
na wewe wanao wanajifunza nini kwako?
zaidi ya ukunguru ulionao?
hivi unawajua vizuri kunguru za zenj? u look very similar
Mkuu unadhani kumfahamu zuzu unahitaji elimu ya sayansi ya kupaisha roketi...Ni rahisi sana..
Kwi kwi kwi kwi.....Mkuu wacha kunivunja mbavu zangu...