Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

Mwanaume ndio anatakiwa kupanga idadi ya watoto kulingana na kipato chake.

Kama mwanamke analazimisha idadi ndogo na mme anataka idadi kubwa basi uchumi wa familia uwe ndio kigezo cha maamuzi ya mwisho.
Kwahiyo uchumi ukiwa unatosheleza idadi anayoitaka mwanaume na mke hayuko tayari kwa idadi kubwa?
 
Wote wawili ingawa mimi napenda wawili Sitaki mke wangu achoke sababu ya kuzaa , outing nitatoka na Nani.SI wengine tunapenda sifa unatoka outing na mwanamke yupo in shape anavutia sifa na pata Mimi kidume...

Mke wa jamaa ni mashine safiiiiiiii ndo nataka hivyo, heshima.
 
Back
Top Bottom