Nataka nifanye maamuzi magumu ya kutengana na mke wangu

Members naomba tu niandike kwa ufupi naamini mtanielewa na kama kuna ushauri nakaribisha.

Tumebahatika kupata mtoto mmoja 5yrs now, wote ni watumishi.

2013 akaomba nimsaidie kumtafutia shule mdogo wake wa kiume arudie kidato cha pili baada ya kufeli form four na kukaa nyumbani miaka karibu mitatu nikafanya hivyo, baada ya muda shemeji akaanza dharau na kiburi kwangu tena mbele ya Dada yake, nikilalamika Dada mtu anachukulia poa, nikavumilia baada ya muda mfupi kapigwa suspension akapiga magoti nimsaidie asifukuzwe shule, nilipoona habadiliki nikajitoa kumsaidia but ilikuwa ni baada ya Dada yake kusema kama naona taabu ye atalipa ninamsema sana mdogo wake.

Dogo kamaliza na division 3 point 26, wakaomba chuo cha afya government wakakosa, huruma ikanijia nikamwambia Dada mtu aende private kidato cha tano akakataa akakomalia kuwa anampeleka chuo cha afya private kama 4 million ada na mahitaji mengine nikamwambia haitawezekana hali ni ngumu kiuchumi aende advance.... nikaambulia matusi kuwa nina "gubu" na maendeleo ya mdogo wake na nisijali yeye na ndugu zake watalipa ( by this time tulikuwa tupo mbali sababu za uhamisho), mi nikaona nisiingilie ndugu.

Kumbe hakuna lolote yeye ndo mlipaji wa kila kitu, nikaja jua baadaye kuwa amekopa bank bila kunijulisha na pesa sijajua kafanyia nini kumuuliza anasema anasomesha......sijakaa sawa kumbe alikokuwa mwanzo kakopa pesa za watu million mbili kwa ajili ya jambo hilo na hajarejesha hadi sasa pamoja na riba inafika nearly 4 million.

Ametoa mimba ili aweze kujikeep busy na biashara nje ya kazi ili kuweza kugharamia masomo ya mdogo wake nilipobaini anasema maisha magumu tusubiri kwanza nilipombana anasema bahati mbaya....uwongo...

Nilisafiri nikarudi ghafla bila taarifa nakuta anaongea na mwanaume kwa simu SAA saba usiku tena anamwomba amsaidie pesa alipe ada......

Mbaya zaidi nyumbani kwangu amegoma kusaidia chochote anasema si kazi yake kufanya majukumu ya kifamilia Mimi kama baba natakiwa nitekeleze kila kitu akifanya ni huruma tu.....

Kila linaloendelea kwangu anawajulisha ndugu zake ( baba, mama na Dada zake), nikichukua hatua hata za kumzaba kidogo ili tuheshimiane basi kesho asubuhi kama ilikuwa ni usiku ntapokea simu za hao watu wakinishutumu nikiwaeleza yaliyojili inaonekana mi ndo nakosea....

Amesafir kikazi wiki ya tatu sasa simu hapokei, SMS, hajibu akipokea haongei....

Namsubir arudi niite ndugu pande zote mbili niwambie nimeshindwa....kweli wanaume tumeumbwa mateso!!
Tatzo mfumo wako wa huruma awali ameuchukulia ni mapungufu
Ila (wanawake watumishi ni pasua vichwa sana )
Kama hali hyo sasa ckushaur uachane nae ila naomba uweke maamuz sahihi na mapema atavyoshindwa pga chin
Maan kama ataki kuwa supportive ktk maish yenu mwambie aache kaz atimze uwajbu ili na wew uhudumia fmlia yako kwa 100%
 
Haya mambo ya ndoa haya kila mtu anaugulia kivyake

Mkuu usikurupuke kwanza kumuacha mkeo ebu kaeni chini kwanza mmalize tofauti zenu

Tatizo kwenye ndoa yenu kila mmoja yupo juu hilo ndio tatizo kubwa mwanamke ana sauti kumzidi baba


Acha kushauri ujinga, hakuna cha kuzungumza..solution ya mtoa mada ni kumwacha mkewe tu bhasi, biblia inasema mwanamke mjinga ataivunja ndoa yake kwa.... Shunie
 
Qumamaqe mkuu ww unamoyo sana tena mvumilivu sana ila ingekua ni mimi ningeshaifukuza hyo rubish
 
UKIONA FAMILIA YA MKE INAKUHESHIMU BASI UJUE MKEO ANAKUHESHIMU SANA...HATA MBELE YAO...

LAKINI UKIONA WANAKULETEA DHARAU...BASI KUNA MWINGINE WA MAANA WANAMHESHIMU ZAIDI YAKO...NA HIVYO HAWANA DINI...

HUYO MWANAMKE KITENDO CHA KUFANYA MAMBO YAKE BILA IDHNI YANGU...NI KWAMBA AMEAMUA KUANZA MAISHA YAKE MWENYEWE...MIMI NINGEMSINDIKIZA...

HAYA NDIO MADHARA YA MWANAMKE MSOMI...
 
Siendagi double standard ningependa na kusikia story kwa upande wa pili yani ke naye ana lipi la kusema then ndo jf tuhukumu
 
Siku akurudi jifanye ulimmiss kama una gari jioni mtoe out mle mnywe mnunulie na zawadi mkiwa mnarudi nyumbani tembea 100kph tafuta mti au nguzo ya umeme lengesha ubamize upande wake, usumbufu wote utaisha!
Naongezea hapa mkuu na ampetipeti mpaka uyo mama ashau kufunga mkabda ili akichomoka kwenye kioo achomoke kweli kweli
 
Unajua shunie . Hapa inaonekana bi dada kiburi kimemjaa hadi kwenye nywele . Yaani hajali tena wala nn. Nahisi hata wakiitana waongee.. bado hatomsikiliza
Haya mambo ya ndoa haya kila mtu anaugulia kivyake

Mkuu usikurupuke kwanza kumuacha mkeo ebu kaeni chini kwanza mmalize tofauti zenu

Tatizo kwenye ndoa yenu kila mmoja yupo juu hilo ndio tatizo kubwa mwanamke ana sauti kumzidi baba
 
Pole mkuu. How is it? Hakuona aib ?.alokutafuta?
Kwanza pole mkuu kwa hayo yote mwanamke sio dhiki kusema kwamba utamvumilia huenda akabadilika, Chukua uamzi haraka na ilihali umeanza kuona simu hazipokelewi ni ishara tosha kabisa kumive on.
Hali ya mwanamke kukuta missed call! Na asikutafute hata siku mbili jiandae kisaikolojia maana kuna kikubwa kinakuja zaidi y hiko
, Nna miez miwili nmetoka kwenye kuachana na mpenzi wangu viliamza visa vya simu nkasafairi ile narudi ghafla saa tisa kalala na mshikaji ndani peacefully nikawaacha mpak leo hii. Kwahyochukua hatua mapema.
 
Haya mambo ya ndoa haya kila mtu anaugulia kivyake

Mkuu usikurupuke kwanza kumuacha mkeo ebu kaeni chini kwanza mmalize tofauti zenu

Tatizo kwenye ndoa yenu kila mmoja yupo juu hilo ndio tatizo kubwa mwanamke ana sauti kumzidi baba
Sasa madame shunie hapo alipofikia jamaa ana umuhimu gani wa kukaa chini?, Mke mimba katoa, ana matusi, hajui kunyenyekea, Hana nidhamu huyu wa nini? Arudishe kwao haraka Sana wanaume hatuoi ili kutafuta matatizo Bali faraja.
 
Jaribu kuwa mwaminifu tuelezee na mapungufu yako kwake ambayo umemfanyia ili tukupe ushauri wa jumla jumlaaaaaaa!
 
Me nakutakia kila LA kheri katika uamuzi wako, Mungu akujaalie upate mke mwema wa hitaji LA moyo wako hapo baadae.
 
Members naomba tu niandike kwa ufupi naamini mtanielewa na kama kuna ushauri nakaribisha.

Tumebahatika kupata mtoto mmoja 5yrs now, wote ni watumishi.

2013 akaomba nimsaidie kumtafutia shule mdogo wake wa kiume arudie kidato cha pili baada ya kufeli form four na kukaa nyumbani miaka karibu mitatu nikafanya hivyo, baada ya muda shemeji akaanza dharau na kiburi kwangu tena mbele ya Dada yake, nikilalamika Dada mtu anachukulia poa, nikavumilia baada ya muda mfupi kapigwa suspension akapiga magoti nimsaidie asifukuzwe shule, nilipoona habadiliki nikajitoa kumsaidia but ilikuwa ni baada ya Dada yake kusema kama naona taabu ye atalipa ninamsema sana mdogo wake.

Dogo kamaliza na division 3 point 26, wakaomba chuo cha afya government wakakosa, huruma ikanijia nikamwambia Dada mtu aende private kidato cha tano akakataa akakomalia kuwa anampeleka chuo cha afya private kama 4 million ada na mahitaji mengine nikamwambia haitawezekana hali ni ngumu kiuchumi aende advance.... nikaambulia matusi kuwa nina "gubu" na maendeleo ya mdogo wake na nisijali yeye na ndugu zake watalipa ( by this time tulikuwa tupo mbali sababu za uhamisho), mi nikaona nisiingilie ndugu.

Kumbe hakuna lolote yeye ndo mlipaji wa kila kitu, nikaja jua baadaye kuwa amekopa bank bila kunijulisha na pesa sijajua kafanyia nini kumuuliza anasema anasomesha......sijakaa sawa kumbe alikokuwa mwanzo kakopa pesa za watu million mbili kwa ajili ya jambo hilo na hajarejesha hadi sasa pamoja na riba inafika nearly 4 million.

Ametoa mimba ili aweze kujikeep busy na biashara nje ya kazi ili kuweza kugharamia masomo ya mdogo wake nilipobaini anasema maisha magumu tusubiri kwanza nilipombana anasema bahati mbaya....uwongo...

Nilisafiri nikarudi ghafla bila taarifa nakuta anaongea na mwanaume kwa simu SAA saba usiku tena anamwomba amsaidie pesa alipe ada......

Mbaya zaidi nyumbani kwangu amegoma kusaidia chochote anasema si kazi yake kufanya majukumu ya kifamilia Mimi kama baba natakiwa nitekeleze kila kitu akifanya ni huruma tu.....

Kila linaloendelea kwangu anawajulisha ndugu zake ( baba, mama na Dada zake), nikichukua hatua hata za kumzaba kidogo ili tuheshimiane basi kesho asubuhi kama ilikuwa ni usiku ntapokea simu za hao watu wakinishutumu nikiwaeleza yaliyojili inaonekana mi ndo nakosea....

Amesafir kikazi wiki ya tatu sasa simu hapokei, SMS, hajibu akipokea haongei....

Namsubir arudi niite ndugu pande zote mbili niwambie nimeshindwa....kweli wanaume tumeumbwa mateso!!

Kwa kawaida mwanamke ndugu zake ndiyo suluhisho, ndugu zake wakimwambia kitu anaelewa zaidi kuliko mtu mwingine yeyote! Sasa huyo keshawapanda na ndugu zake, hana mshauri tena!! Hafai tena coz hata aanzishe tatizo la namna gani ndugu zake watasimama nae.

Cases kama hizi suluhisho ni divorce ya kimya kimya! Unampa mateso, si upo mbali nae? Nenda kazini tulia kimyaaa usimtafute usifanye kitu ikaonekana una kosa yeye kaanza hapoke simu basi kausha, usitoe huduma wala usitake kujua lolote kutoka kwake au kwao! Akikupigia simu mshangae na umuulize we nani coz anajivunia anajua unampenda sana!!

Tafuta demu wako dulia, jenga maisha kivingine!!
 
Mkuu hata mie ningetamani niyajue mapungufu yangu japo najua ninayo tena mengi, hebu nisaidie ndugu yangu ni mapungufu yepi yanahalalisha hayo niliyoyaongelea??
Jaribu kuwa mwaminifu tuelezee na mapungufu yako kwake ambayo umemfanyia ili tukupe ushauri wa jumla jumlaaaaaaa!
 
Mkuu hata mie ningetamani niyajue mapungufu yangu japo najua ninayo tena mengi, hebu nisaidie ndugu yangu ni mapungufu yepi yanahalalisha hayo niliyoyaongelea??
Nilimaanisha tungependa kusikia na malalamiko ya mkeo pia.. Tuskilize pande zote mbili.
 
Back
Top Bottom