Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,797
- 156,922
Bahati nzuri sijawahi fanya kazi rahisi kama unavyofikiri.
Mimi huvumilia mahali panspo lipa, huwa nasaka maarifa na sio kazi maandazi.
Mimi huvumilia mahali panspo lipa, huwa nasaka maarifa na sio kazi maandazi.
Nenda Saudia Arabia ukafanye kazi za nyumbani ndiyo kunakufaa. Binadamu unaamua kuuza utu wako kwa sababu ya njaa? Umnyenyekee mtu mmoja kwani yeye ndiye yuko hapa duniani peke yake? Bora nifanye kazi ya kupasua mawe kuliko kufanya kazi ya umeneja huku utu wangu unadhalilishwa.