Mwanantala
Senior Member
- May 13, 2010
- 130
- 26
Naomba kujua hifadhi yenye chatu wengi.
Zamani ilikuwa inafanyika hivo ila kwa sasa wanampiga risasi za usingiziOooh ok ok....ndo zile pafyume expensive eeh?
So kuipata hiyo anal gland yake ni mpaka auliwe or?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tarangire inasifika nduguNaomba kujua hifadhi yenye chatu wengi.
Sawa mkuu....Ni kweli koboko ni nyoka mkorofi au ni mpaka uingie anga zake?Zamani ilikuwa inafanyika hivo ila kwa sasa wanampiga risasi za usingizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha poleMi nimekuja mbie nikidhani umefungua bucha la nyama pori nikajipatie kilo ya kiti moto pori...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Nyegere si NyenyereNyenyere ndiyo jina sahihi la honey burger kwa Kiswahili au ni la kwetu tu huku wanyamwezi??
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani huyo ni hatari sana kingereza huitwa black mamba ana sumu kali haina cardiotoxic ambayo inasimamisha mapigo ya moyo na within 20 minutes unakufa ikiwa ni single bite! Ni mkorofi sana anaweza kusimamisha robo tatu ya mwili wake ili akudunge usoni! Na ni nyoka mwenye tabia ya kumkimbiza binadamu! Kwa africa ni nyoka hatari zaidSawa mkuu....Ni kweli koboko ni nyoka mkorofi au ni mpaka uingie anga zake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh...Asante mkuu, but ni kweli kuwa akikuona anakufata akufanyizie au ni ile umeingia anga zake?Yani huyo ni hatari sana kingereza huitwa black mamba ana sumu kali haina cardiotoxic ambayo inasimamisha mapigo ya moyo na within 20 minutes unakufa ikiwa ni single bite! Ni mkorofi sana anaweza kusimamisha robo tatu ya mwili wake ili akudunge usoni! Na ni nyuko mwenye tabia ya kumkimbiza binadamu! Kwa africa ni nyoka hatari zaid
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi ni ukiingia kwenye makazi yakeDuuuh...Asante mkuu, but ni kweli kuwa akikuona anakufata akufanyizie au ni ile umeingia anga zake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ukiwa meter kazaa kutoka kwenye himaya yake ana uwezo wa kukufata kwajili ya kukuangamizaDuuuh...Asante mkuu, but ni kweli kuwa akikuona anakufata akufanyizie au ni ile umeingia anga zake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana.
Cobra wako haina nyingi pia hawa ni hatari ukiingia kwenye mazingira yake tuuu
Inawezekana kwa kibali ndugu! Huku arusha sehem kama izo zpoKama nina shamba na ninataka kulibadilisha matumizi na kuweka uzio halafu nikafuga swala,nsha na digidigi kwa ajili ya nyama je inawezekana?
Kuna uwezekano wa kupata kibali kuanzia kwa Lukuvi mpaka kwa HK?
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Naam asante kwa maswali mazuriMkuu Shirima, navutiwa sana na mambo ya wanyama. Nijuze mambo yafuatayo;
1) Simba akishakula mlo wake, anakaa siku ngapi tena hadi aje aue mnyama mwingine tena kwa ajili ya mlo?
2) Nimeona mara nyingi kwenye video Simba akiwa amejeruhiwa, sasa anapokua ana majeraha yanayomfanya asiweze hata kutembea vizuri, anawezaje kuwinda kupata mlo wake?
3)Simba anapendelea kuua mnyama gani hasa kwa ajili ya mlo?
4) Je, inawezekana simba akikosa kitoweo kumla simba mwenzie au chui, duma, fisi, mbwa mwitu au paka pori?
4) ni kweli kwamba Tiger anapenda zaidi kula mamba kuliko prey wengine?
Hi hayo tu kwasasa.
NAAM!1:Ni kweli kuwa Simba jike yupo aggressive Sana kwa binadamu kuliko Simba dume? Kama ni kweli kwanini?
2: Viboko wanaozurura mitaani kwenye makazi ya watu peke yao kama Yule aliyeonekana mwaka Jana Morogoro huwa wanakuwa wametengwa na jamii zao na kufukuzwa kutoka jamii hiyo ndiyo maana wanajitembelea Tu bila kujua waendako?
3: ukikutana na kundi la nyati usiwe na wasiwasi maana uwezekano wa wao kukujeruhi ni mdogo lakini ukimkuta nyati peke yake jitahidi kukimbia na kukaa naye mbali Sana maana si kawaida yao hivyo huenda kajeruhiwa au mzazi na kipindi hicho huwa anakuwa mkali Sana kwa kila kinachoingia anga zake. Hii ni kweli?
4: Tembo hapatani kabisa na rangi nyeupe/ nyekundu. Akiiona lazima ashambulie.
Mkuu hebu nipe shule juu ya haya tunayosimuliana vijiweni.
Sent using Jamii Forums mobile app