baba bora
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,500
- 1,093
Kwa muda huu ulio baki kama ujaanza tuition tafuta angalau usukume Ata topic moja ya physics japo uwezii kumaliza mana kama Utaenda shule za serikal nyingi hazina walimu wa physicsJamani mimi ninahitaji kwenda PCM ??
Je Nini kinahitajika ili niweze kufanya vizuri??? Na piaa kombi hii inaugumu kwenye somo gani???
Mtu akiweka bidii atatoka nayoo