Heron
JF-Expert Member
- Oct 4, 2013
- 1,947
- 1,797
Ya 50,000 ni tofauti kidogo na 45,000 kwa upande wa viti, ya 50 ipo comfort kiasi na siti hazijabana ,na hukuchukua watu wachache, na hizo za 50 ni gari za dar -nairob ila mara nyingine huzipeleka mwanza.Nimewauliza wamesema ni Tshs.45,000/= na Tshs.50,000/=
Nimemuuliza hilo la Tshs.50,000/= lina huduma gani ya zaida akajibu hakuna.