usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,901
- 13,869
aiseeee!! Yan chali ake unampa mtt mzur23-24moshi unapanda osaka..dar express..kilimanjaro..mabasi kibao tu...Arusha siku hizi medium class 25 unapanda bila tatizo.
So ukiwa na 30 unafika Dar vizuri ukiwa umekula kbs
Huo mkokoten wa osaka c n sawa na kumpa saibaba,princess muro
Achaa kumuoneaa kabsaa
Husna chukua moja
Wapo ya hzi uinjoy
Thamed
Dar lux
Kidia one