Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,567
Basi naomba unitajie bei ya juu na bei ya chini zaidi ili nipate makadilio yake
Moshi to ubungo
Moshi to ubungo
23-24moshi unapanda osaka..dar express..kilimanjaro..mabasi kibao tu...Arusha siku hizi medium class 25 unapanda bila tatizo.Basi naomba unitajie bei ya juu na bei ya chini zaidi ili nipate makadilio yake
Moshi to ubungo
kwani uko wapiBasi naomba unitajie bei ya juu na bei ya chini zaidi ili nipate makadilio yake
Moshi to ubungo
Alianza Na nauli ya 5000 Dar - Morowatu wa morogoro new force kaanza ruti mpya dar moro
mungu akijalia this aprillMkuu Falcon,, ulishawahi kutonya kuwa TAHMEED wataanza safari za kanda ya ziwa,, vip hawajaanza?
MWANZA JEE?Kama kusubiriana kupo huenda hakuna sababu ya kuweka muda wa safari.
Ni mtazamo!!!
Hawa wanasafari ya dar to mwanza?Dar Lux nao wapo vizuri kwa kweli free WI-FI,entertainment, refreshments and usb ports
Watakuwa na route ya huko ingawa cna uhakika mi nilipanda Mbeya to DarHawa wanasafari ya dar to mwanza?
Nataka nipate ya free wifiWatakuwa na route ya huko ingawa cna uhakika mi nilipanda Mbeya to Dar
Jumapili nataka nikate tktRoute ya Mwanza pia wanayo
Pouwa utawapata stand office zaoJumapili nataka nikate tkt
Shukran mkuu nilikuwa nahofia kupanda bajaji hadi mwanzaPouwa utawapata stand office zao