Acinonyx jubatus -CheetahNi mnyama gani wa porini anaweza kuishi na binadamu na wakawa marafiki pia akawa mlinzi.
Simba,nyoka sina imani nao
Nadhani huyu! Unae muongeleaJamani naomba kuuliza. Kuna mdudu akipita usiku anatoa mwanga. Huo mwanga unawaka kama indicator ya pikipiki. Je huyu mdudu anatumia mechanism gan kuzalisha ule mwanga? Au ana solar panel ambazo zinafyonza mwanga wa jua na anautumia usiku
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaitwa FIRE FLIES, au (lightining bugs) wana produce mwanga kwenye abdormen
Wanaitwa FIRE FLIES, au (lightining bugs) wana produce mwanga kwenye abdormen
ont folo folo me wizout ene bikoz:
Huko kijijini tunawaitaga wachawiWanaitwa FIRE FLIES, au (lightining bugs) wana produce mwanga kwenye abdormen
ont folo folo me wizout ene bikoz:
Karibu
Shukurani Sanaa MkuuKaribu