Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,063
- 22,755
Great Thinkers, nimekuwa nikijiuliza hivi kwa nini vyombo vya habari (hususani magazeti=haswa mwananchi) kwa nini kwenye title zao huwa hawaanzi na title ya MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR?
Mfano:Maalimu Seif ahimiza uwekezaji katika elimu
Kwa sababu Maalim Seif, Makamu wa kwanza wa Raisi wa Zanzibar, hawezi na haruhusiwi kukaimu Uraisi Zanzibar Raisi wa Zanzibar anapokuwa hayupo - hivyo ndivyo ilivyo, nani anabisha ?