Maalimu Seif Sharif Hamad,Kama makamu wa kwanza wa raisi ZNZ unatekeleza ilani ya chama GANI?

Wild fauna

JF-Expert Member
Apr 22, 2012
461
189
Sina shaka na hakuna mawaa yeyote kwamba wewe ni sehemu ya serikali ya Zanzibar,kizuri zaidi ni kwamba wewe umetokea chama cha upinzani yaani CUF.raisi wako naye katokea CCM,je wewe Seif unasimamia utekelezaji wa ilani ya chama gani?
 
Back
Top Bottom