Nicholaus Kilunga
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 1,188
- 567
Nimeona uzi mmoja umepostiwa humu jukwaani umejaa upotoshwaji sana,sijui umepostiwa na gamba ama kadava la ACT,
imenibidi niweke picha za mkutano wa makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar na katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF Mhe Self Sharrif Hamad,moja ya vyama vinavyounda UKAWA,na mkutano wa leo ulihutubiwa nae kama sehemu ya mikutano ya UKAWA,
Kimsingi watu walikuwa wengi sana,tena kutoka vyama vyote,ila kutokana na gamba hyo kuchukua picha za awali /mapema kabla ya mkutano haujaanza,kipindi ambacho watu walikuwa wachache,nimeona nije na ukweli huu kuondoa Utata,coz magamba na matawi yao ya ACT wanapatwa na kiwewe wakisikia kitu UKAWA,
haya ni baadhi mambo muhimu aliyoyongea kiongozi huyo alipokuwa akihutubia wananchi waliokuwa wamefurika katika viwanja vya Furahisha leo jioni.
"Chama Cha Mapinduzi CCM sasa kina KUFA rasimi 2015 hakuna wa kukiponya na KIFO."
na akaenda mbali zaidi kwa kutoa wito kwa kuwataka vijana na watu wenye mapenzi mema na nchii hii waanze mazoezi ya kutafta pumzi kwa ajili ya maandamano ,ambayo hayatakuwa na kikomo,maandamano ya kudai katiba mpya na kupinga katiba ya CCM inayoendelea kuandikwa Dodoma.
Seif alisisitiza kwamba,Serikali 3 ni jambo la lazima kama serikali 3 hazitakiwi na mbili hazivumiliki
‪#‎UKAWA‬
imenibidi niweke picha za mkutano wa makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar na katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF Mhe Self Sharrif Hamad,moja ya vyama vinavyounda UKAWA,na mkutano wa leo ulihutubiwa nae kama sehemu ya mikutano ya UKAWA,
Kimsingi watu walikuwa wengi sana,tena kutoka vyama vyote,ila kutokana na gamba hyo kuchukua picha za awali /mapema kabla ya mkutano haujaanza,kipindi ambacho watu walikuwa wachache,nimeona nije na ukweli huu kuondoa Utata,coz magamba na matawi yao ya ACT wanapatwa na kiwewe wakisikia kitu UKAWA,
haya ni baadhi mambo muhimu aliyoyongea kiongozi huyo alipokuwa akihutubia wananchi waliokuwa wamefurika katika viwanja vya Furahisha leo jioni.
"Chama Cha Mapinduzi CCM sasa kina KUFA rasimi 2015 hakuna wa kukiponya na KIFO."
na akaenda mbali zaidi kwa kutoa wito kwa kuwataka vijana na watu wenye mapenzi mema na nchii hii waanze mazoezi ya kutafta pumzi kwa ajili ya maandamano ,ambayo hayatakuwa na kikomo,maandamano ya kudai katiba mpya na kupinga katiba ya CCM inayoendelea kuandikwa Dodoma.
Seif alisisitiza kwamba,Serikali 3 ni jambo la lazima kama serikali 3 hazitakiwi na mbili hazivumiliki
‪#‎UKAWA‬