KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Maalimu Seif amewatimua Waandishi Wa Habari leo Buguruni huku Mwaandishi wa TBC akiambulia matusi makubwa!!
Taarifa zinaonyesha kuwa leo asubuhi kabla seif hajawasili Hq Cuf, kuna mtu alipiga simu Ofice za TBC kuwa wanataka waandishi wa Habari na Ofici ilipo peleka waandishi, walipo fika wakaambiwa kuna maelekezo mengine wamepewa na Seif kuwa Waandishi hawatakiwi na Blue gads wamepewa kazi ya kufuatilia Sura za Waandishi na kuwashughurikia!!!
Pia kuna Magari ya FUSO yanasomba Wafuasi wa Seif kutoka katika Matawi !!!!
Taarifa zinaonyesha kuwa leo asubuhi kabla seif hajawasili Hq Cuf, kuna mtu alipiga simu Ofice za TBC kuwa wanataka waandishi wa Habari na Ofici ilipo peleka waandishi, walipo fika wakaambiwa kuna maelekezo mengine wamepewa na Seif kuwa Waandishi hawatakiwi na Blue gads wamepewa kazi ya kufuatilia Sura za Waandishi na kuwashughurikia!!!
Pia kuna Magari ya FUSO yanasomba Wafuasi wa Seif kutoka katika Matawi !!!!