M/kitii wa ccm mkoa niliopo leo nilikuwa nae kwenye mpira wakati tunaongelea hilo swala la mdude kuna mzee mmoja akamwambia jamaa kuwa "Bashir alifanya ukatili saana kwa wapinzani wake na wananchi wakauchuna tu lkn bro ya MKATE imewafanya wananchi wamtimue Bashir"
M/kitiI akanywea kiaina japo aliendeleza ubishi
Mkuu Achana na hilo jinga limevimbiwa mpaka linacheua pilau za lumumba!Nani mnafiki?
rudi endelea kulala mkuu mwisho anaweza kuuwawa kabisa inavyonekanaJuzi nimeota JIWE kakamatwa na akawa amebaki na KIBUKTA plus KI SINGLAND baada ya kichapo kikali cha paka shume koko akawa kakalia kibenchi kwenye kituo cha polisi Dumila baada ya gari alilokuwa akitorokea kuelekea CHATTLE kushtukiwa na wananchi na kuweka magogo kulizuia kuna askari aliyekuwa kwenye msafara wa kumtorosha aliivujisha kiaina NIMEAMKA NIMEKUNJA NGUMI NA NIMEUPIGA KERBU UKUTA NIKIJUA NI YEYE
Kuna siku Watajuta, kama siyo Wao hata Vizazi vyao. Chuki iliyojengeka miongoni mwa Watanzania waliumizwa na Ndugu na Jamaa si ya Kitoto!Juzi nimeota JIWE kakamatwa na akawa amebaki na KIBUKTA plus KI SINGLAND baada ya kichapo kikali cha paka shume koko akawa kakalia kibenchi kwenye kituo cha polisi Dumila baada ya gari alilokuwa akitorokea kuelekea CHATTLE kushtukiwa na wananchi na kuweka magogo kulizuia kuna askari aliyekuwa kwenye msafara wa kumtorosha aliivujisha kiaina NIMEAMKA NIMEKUNJA NGUMI NA NIMEUPIGA KERBU UKUTA NIKIJUA NI YEYE
Juzi nimeota JIWE kakamatwa na akawa amebaki na KIBUKTA plus KI SINGLAND baada ya kichapo kikali cha paka shume koko akawa kakalia kibenchi kwenye kituo cha polisi Dumila baada ya gari alilokuwa akitorokea kuelekea CHATTLE kushtukiwa na wananchi na kuweka magogo kulizuia kuna askari aliyekuwa kwenye msafara wa kumtorosha aliivujisha kiaina NIMEAMKA NIMEKUNJA NGUMI NA NIMEUPIGA KERBU UKUTA NIKIJUA NI YEYE