Zanzibar 2020 Maalim Seif: Wazanzibari wamechoka, wamedhamiria kulinda Demokrasia

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amesema Wazanzibari wameshapitia mengi na wamekuwa na uvumilivu mkubwa, lakini sasa imetosha

Amesema, "Sisi tumeshavumilia vya kutosha, sasa tunakwenda tarehe 27 na 28 tukiwa tayari kwa lolote litakalotokea kulinda Demokrasia na Haki ya Wazanzibari kumchagua Rais wanayemtaka"

Ameongeza, "Nchi yetu iliamua kwa hiari kuingia katika mfumo wa Vyama vingi, jambo hili lipo katika Katiba ya Taifa letu. Tuiache Demokrasia ifuate mkondo wake kwa amani"
 
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amesema Wazanzibari wameshapitia mengi na wamekuwa na uvumilivu mkubwa, lakini sasa imetosha

Amesema, "Sisi tumeshavumilia vya kutosha, sasa tunakwenda tarehe 27 na 28 tukiwa tayari kwa lolote litakalotokea kulinda Demokrasia na Haki ya Wazanzibari kumchagua Rais wanayemtaka"

Ameongeza, "Nchi yetu iliamua kwa hiari kuingia katika mfumo wa Vyama vingi, jambo hili lipo katika Katiba ya Taifa letu. Tuiache Demokrasia ifuate mkondo wake kwa amani"
Seifu kachoka mwenyewe; umri nao umekewenda. Yaani miaka 25 anagombea urais tu muda wote huo na hivi sasa an zaidi ya umri wa Nyerere wakati anafariki (baada ya kustaafu miaka kumi na nne), ni lazima achoke.
 
Maalim kauli zake zinaashiria kuwa yeye hatakuwa mstari wa mbele kwenye maandamano ya kupigania ushindi wake endapo matokeo ya uchaguzi yatachezewa. Bila shaka atakuwa kwenye "matibabu" Uingereza.
 
Seifu kachoka mwenyewe; umri nao umekewenda. Yaani miaka 25 anagombea urais tu muda wote huo na hivi sasa an zaidi ya umri wa Nyerere wakati anafariki (baada ya kustaafu miaka kumi na nne), ni lazima achoke.
Hata kibaki alipambana sana na hatimaye alikuja kuwa Raisi akiwa na 70+
 
Bob Mikwala Seif ukiwa mgeni wa Mikwala yake utaamini kuwa anakiwasha kweli, lakin sie tuliemzoea kwa zaid ta miaka 30 tunacheka tu!
 
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amesema Wazanzibari wameshapitia mengi na wamekuwa na uvumilivu mkubwa, lakini sasa imetosha

Amesema, "Sisi tumeshavumilia vya kutosha, sasa tunakwenda tarehe 27 na 28 tukiwa tayari kwa lolote litakalotokea kulinda Demokrasia na Haki ya Wazanzibari kumchagua Rais wanayemtaka"

Ameongeza, "Nchi yetu iliamua kwa hiari kuingia katika mfumo wa Vyama vingi, jambo hili lipo katika Katiba ya Taifa letu. Tuiache Demokrasia ifuate mkondo wake kwa amani"
Hakuna kurudi nyuma mwaka huu!! It’s we do or we die!
 
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amesema Wazanzibari wameshapitia mengi na wamekuwa na uvumilivu mkubwa, lakini sasa imetosha

Amesema, "Sisi tumeshavumilia vya kutosha, sasa tunakwenda tarehe 27 na 28 tukiwa tayari kwa lolote litakalotokea kulinda Demokrasia na Haki ya Wazanzibari kumchagua Rais wanayemtaka"

Ameongeza, "Nchi yetu iliamua kwa hiari kuingia katika mfumo wa Vyama vingi, jambo hili lipo katika Katiba ya Taifa letu. Tuiache Demokrasia ifuate mkondo wake kwa amani"
So amemaanisha nini sasa? Kwamba?mbona haeleweki na hana lolote la maana kutisha watu

Ni upuuzi tu,demokrasia ni nini huku Afrika? Neno hili la kuiga ndo liliivuruga Libya haikaliki mpaka leo,nchi zetu za kiafrika zilikua tamaduni zake nje na neo demokrasia,huo ni mtego wa weupe kuwanasa weusi waanze kuuana ovyo ili wapungue duniani
 
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amesema Wazanzibari wameshapitia mengi na wamekuwa na uvumilivu mkubwa, lakini sasa imetosha

Amesema, "Sisi tumeshavumilia vya kutosha, sasa tunakwenda tarehe 27 na 28 tukiwa tayari kwa lolote litakalotokea kulinda Demokrasia na Haki ya Wazanzibari kumchagua Rais wanayemtaka"

Ameongeza, "Nchi yetu iliamua kwa hiari kuingia katika mfumo wa Vyama vingi, jambo hili lipo katika Katiba ya Taifa letu. Tuiache Demokrasia ifuate mkondo wake kwa amani"
Huyu mzee akifie mbele, hatumpi uraisi was zenji ng'oo
 
Huyu mzee akifie mbele, hatumpi uraisi was zenji ng'oo
Hamumpi nyie kama nani ? Makeki ya kitanganyika, hayo mapinduzi mnayojisifia pia yalikushindeni kuyafanya. Kama si Nyerere kukuleteeni watanganyika mngebakia sideline hadi leo. Washamba wakubwa.

Ukweli utabakia ukweli, vizazi vya leo vinataka kuona demokrasia ikiheshimiwa. Vyenginevyo kama walivyotangulia kusema, hili si Seif wala Mwinyi ni wazanzibari wanataka kuona uchaguzi ukifanyika na maamuzi yakiheshimiwa.

Sifahamu nikisikia mtu akisema Seif hapewi. Kesho mtasema Juma Duni hapewe, keshokuwa yule hapewe. Upuuzi huu ufikie mahali uondoke!
 
So amemaanisha nini sasa? Kwamba?mbona haeleweki na hana lolote la maana kutisha watu

Ni upuuzi tu,demokrasia ni nini huku Afrika? Neno hili la kuiga ndo liliivuruga Libya haikaliki mpaka leo,nchi zetu za kiafrika zilikua tamaduni zake nje na neo demokrasia,huo ni mtego wa weupe kuwanasa weusi waanze kuuana ovyo ili wapungue duniani
Serikali isiyothamini uhai wa watu wake haina kibali cha kuendelea kutawala tarehe 28 tunaenda kumkataa shetani naambo yake yote
 
Back
Top Bottom