AGREEMENT & CONTRACT
Ushawahi kukutana au kufanya kazi na mtu akakwambia ikitokea ukaharibu basi na mimi nimeharibikiwa na tutaangamia wote.
Uchunguzi wa jambo lolote ni sanaa na sayansi kama utalifanya pasipo kuwa na majibu kichwani ila ukawa na maswali yasiyo na majibu utapata majibu ila yanaweza kukuumiza sana na kukuvunja moyo.
Maarif seif ni nani
Makamu wa rais mstaafu?
Mwanachama wa CUF mstaafu?
Mwanachama mpya wa ACT?
Mgombea urais Zanzibar?
Mwanachama mstaafu wa CCM?
Kwanini alitoka CCM?
Maalif anajua mengi kwa uzoefu wake lakini huwa hayasemi hii hatua ya kulinda kauli zao hutumiwa sana na watu wanaoficha uhalisia wao kuepuka kuharibu upande mmoja.
Ndoto yangu inaniambia tofauti ya Lipumba na Maalim ni sawa na sato na sangara ila wote ni samaki.
Mpinzani Maalif ni afadhali kwa CCM kuliko yeyote asiyejua historia na aliyoyapitia.
Usitafute pesa hutoipata, tafuta plan pesa itakufata.
ITAENDELEA