Kabala ya kuingia ktk Serekali , mengi ulituahidi, moja kubwa uliotuahidi kwamba utapigania maslahi ya Mzanzibar popote ulipo.
Lakini Mungu ni mkubwa, anajua kila mtu liliomo moyoni mwake.
baada ya kukabidhiwa fupa (makamo wa 1 rais) kutembea kwa vingora mambo yamebadilika.
baraza la Mtihani NECTA tangui lianzishwe halijawahi kufanya unyama huu wa watoto wetu maimia huku Zanzibar huku wao wakiwa ndio chanzo cha kuvuja mitihani yao. nakumbuka bungeni Ndalichakoaliwahi kujadiliwa jinsi baraza lake linavyovujisha mitihani.
Lakini chini ya utawala wa Maalim seif 9simba wa Vita) haya yanatengeka huku kukiwa na viongozi wakuu wa Cuf ndani ya baraza la mawaziri.
huko bara mtihani wa std ulipoibiwa na kufutiwa matokeo yao. wanaisiasa walikuja juu. waziri akakataa ****** wa NECTA na kuwarudisha watoto kwenye chumba cha mitihani mwakani. Zanzibar ndalichako anajigamba kwamba hicho kitu hakuna kwa upande wa ZANZIBAR.
Naamini kama Cuf isingeungana na CCM katika serekali ya umoja wa Kitaifa Ndalichako angalitafuta pakupita. maalim seif ungalipita kila kona na pengine ungaliongeza chumvi ili kulishindikza baraza la mitihani na CCM kupitia upya msimamo wa baraza hilo. lakini sio sasa .
uko wapi maalim seif?
Uko wapi uliaodai utatea maslahi ya Mzanzibar popt ulipo?
uko wapi?
sasa bado upo?
Upo na unasimama na kiazazi cha mzanzibar?
Lakini Mungu ni mkubwa, anajua kila mtu liliomo moyoni mwake.
baada ya kukabidhiwa fupa (makamo wa 1 rais) kutembea kwa vingora mambo yamebadilika.
baraza la Mtihani NECTA tangui lianzishwe halijawahi kufanya unyama huu wa watoto wetu maimia huku Zanzibar huku wao wakiwa ndio chanzo cha kuvuja mitihani yao. nakumbuka bungeni Ndalichakoaliwahi kujadiliwa jinsi baraza lake linavyovujisha mitihani.
Lakini chini ya utawala wa Maalim seif 9simba wa Vita) haya yanatengeka huku kukiwa na viongozi wakuu wa Cuf ndani ya baraza la mawaziri.
huko bara mtihani wa std ulipoibiwa na kufutiwa matokeo yao. wanaisiasa walikuja juu. waziri akakataa ****** wa NECTA na kuwarudisha watoto kwenye chumba cha mitihani mwakani. Zanzibar ndalichako anajigamba kwamba hicho kitu hakuna kwa upande wa ZANZIBAR.
Naamini kama Cuf isingeungana na CCM katika serekali ya umoja wa Kitaifa Ndalichako angalitafuta pakupita. maalim seif ungalipita kila kona na pengine ungaliongeza chumvi ili kulishindikza baraza la mitihani na CCM kupitia upya msimamo wa baraza hilo. lakini sio sasa .
uko wapi maalim seif?
Uko wapi uliaodai utatea maslahi ya Mzanzibar popt ulipo?
uko wapi?
sasa bado upo?
Upo na unasimama na kiazazi cha mzanzibar?