Naamini kuna kauli mbadala hasa unapotaka kuwasilisha ujumbe wowote ule.
Kauli kama hizi hazifai hasa kwa mtu anayetafuta wadhifa mkubwa wa kuongoza watu.
Zaidi ya hayo umri wake kama Mzee ugemfanya kuyapima maneno yake kabla hajayafyatua. Maana yakishatoka na kuleta madhara huwa hayarudi kamwe.