mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,843
- 3,128
Tumeshauri, tumetoa Maoni yetu juu ya wewe kumaliza mzozo wako na Professor Lipumba, hukutaka kutuelewa
Tulishauri njia bora kabisa za namna ya kumaliza mzozo wenu.
Tuliwaambia bila kificho kwamba wewe na Lipumba nyote Kuna sehemu mmejikwaa,
Mjaribu kurudisha nafsi zenu, ikizingatiwa mmeshika mafundisho ya dini barabara, inahimiza kuvumiliana na kusameheana, lakini hamkutuelewa kabisa.
Mliweka nta maskioni.
Ona sasa ulivyokubali kuwa mateka wa Chadema, ukidai Lipumba ni msaliti.
Mmefarakana baada ya Lowassa kujiunga ukawa dakika za mwisho, ikapelekea hata Dr Slaa kujiondoa pia.
Sasa ulichokitafuta kwa kulaghaiwa na Chadema, ukisahau mlipotoka na Lipumba unakipata.
Itashangaza kama propaganda unazolishwa na pro Chadema kuachana na CUF, na kujiunga Chadema kwa lengo eti la kumkomesha Lipumba.
Humkomeshi Lipumba, bali unatumika kuijenga Chadema Visiwani bila kujielewa,na kuifuta Cuf. pole Sana mjomba.
Neno ningelijua huja baadae Sana, Kila la kheri
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulishauri njia bora kabisa za namna ya kumaliza mzozo wenu.
Tuliwaambia bila kificho kwamba wewe na Lipumba nyote Kuna sehemu mmejikwaa,
Mjaribu kurudisha nafsi zenu, ikizingatiwa mmeshika mafundisho ya dini barabara, inahimiza kuvumiliana na kusameheana, lakini hamkutuelewa kabisa.
Mliweka nta maskioni.
Ona sasa ulivyokubali kuwa mateka wa Chadema, ukidai Lipumba ni msaliti.
Mmefarakana baada ya Lowassa kujiunga ukawa dakika za mwisho, ikapelekea hata Dr Slaa kujiondoa pia.
Sasa ulichokitafuta kwa kulaghaiwa na Chadema, ukisahau mlipotoka na Lipumba unakipata.
Itashangaza kama propaganda unazolishwa na pro Chadema kuachana na CUF, na kujiunga Chadema kwa lengo eti la kumkomesha Lipumba.
Humkomeshi Lipumba, bali unatumika kuijenga Chadema Visiwani bila kujielewa,na kuifuta Cuf. pole Sana mjomba.
Neno ningelijua huja baadae Sana, Kila la kheri
Sent using Jamii Forums mobile app