MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,975
- Thread starter
- #101
Wewe ndiyo unatakiwa kwenda huko kwa sababu sijakuita kwenye thread yangu.Umeandika kwa uzandiki na kwa mtindo wa kizombi japo una hoja nzuri, umeiweka kijinga jinga kabisa, na unafiki wa mizimu kama CCM. Ningechangia vizuri ila nia yako ni ya mizimu hivyo kabisa. Kwenda zako uko siku nyingine andika vizuri bila kulamba ugoro sawa.
Ni uamuzi wako kuchangia au kutochangia.
Karibu sana!