Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
This is hilarious, kwanza Shein Mzee wa Mikasi orijino (Dr. Omar Juma hakukata tepe sana kama Mzee Orijino) anapewa Urais wa Zanzibar, kisha anamteua kutokana na muafaka Maalim Sefu kuwa mrithi wa Mikasi.
I wouild have thought power sharing would have meant for Sefu kuwa Waziri Kiongozi na hivyo kuongoza Serikali na hasa Baraza la Wawakilishi.
Lakini kaukubali Mkasi na tepe zitamkoma!
I wouild have thought power sharing would have meant for Sefu kuwa Waziri Kiongozi na hivyo kuongoza Serikali na hasa Baraza la Wawakilishi.
Lakini kaukubali Mkasi na tepe zitamkoma!