antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,626
- 120,115
Hilo wala siyo shida.. mbona wahindi Wana vitega uchumi vingi Tanzania, na hakuna muungano kati ya Tz na India?.......Lakini zaidi ya nusu ya Wazanzibari wanaishi bara na wanavitega uchumi bara,na hilo linaweza kuwa kikwazo cha kuvunja Muungano,labda utabuniwa ushirikiano wa kindugu bila nchi hizo mbili kuingilia mambo ya nchi nyingine.