Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,121
Fanyeni masihara mkaweke ma kota yenu mbele yake muone.
Hivi CCM uwaletee lugha za msikitini watakuelewa kweli!!!
Hivi CCM uwaletee lugha za msikitini watakuelewa kweli!!!
Wanachezea uchaguzi kivipi hapo?Hakuna viongozi wa nchi, bali wahuni wenye madaraka. Ukiona watu wanachezea uchaguzi, kuwaheshimu ni kujivika ujinga usio na malipo. Ww kwako ni lazima uwaheshimu regardless hujuma zao, maana ndio unakopatia mkate wako wa kila siku.
Vipi yule aliyemgawa Mama yake kwa Jogoo ?Wana JF wenzangu sijui labda ni Mimi ndio sielewi Ila kwa mtu ambaye tunategemea aje kuwa Rais alafu anatamka maneno makali kiasi hiki si picha nzuri na inamvunjia heshima.
"Na mimi nawambieni CCM. Wallahilaadhim mara hii simzuii mtu yoyote kabisa na mimi na Viongozi wenzangu tukiamua kutoka tutakua mbele mutuue sisi kwanza, lakini Ukhanithi basi katika nchi hii".
View attachment 1553590
Mhe Rais mtarajiwa unaweza kumtumia neno Kama Ukhanithi tena kwenye mkutano?
Hapa anataka kumaanisha kuwa viongozi wa serikali Zanzibar ni ma......? Hii hapana kwa kweli.
Kumbe ndio mana vyombo habari Kama TBC vinakata matangazo.
Wanachezea uchaguzi kivipi hapo?
Uhuni mtupuTume inaendeshwa kwa Sheria na kanuni na si huruma huruma.
Amelipa ada ya kuchukua fomu.Anastahiki kupata huduma ya kuelezwa jinsi ya kujaza kwa usahihi
Wana JF wenzangu sijui labda ni Mimi ndio sielewi Ila kwa mtu ambaye tunategemea aje kuwa Rais alafu anatamka maneno makali kiasi hiki si picha nzuri na inamvunjia heshima.
"Na mimi nawambieni CCM. Wallahilaadhim mara hii simzuii mtu yoyote kabisa na mimi na Viongozi wenzangu tukiamua kutoka tutakua mbele mutuue sisi kwanza, lakini Ukhanithi basi katika nchi hii".
View attachment 1553590
Mhe Rais mtarajiwa unaweza kumtumia neno Kama Ukhanithi tena kwenye mkutano?
Hapa anataka kumaanisha kuwa viongozi wa serikali Zanzibar ni ma......? Hii hapana kwa kweli.
Kumbe ndio mana vyombo habari Kama TBC vinakata matangazo.
Wana JF wenzangu sijui labda ni Mimi ndio sielewi Ila kwa mtu ambaye tunategemea aje kuwa Rais alafu anatamka maneno makali kiasi hiki si picha nzuri na inamvunjia heshima.
"Na mimi nawambieni CCM. Wallahilaadhim mara hii simzuii mtu yoyote kabisa na mimi na Viongozi wenzangu tukiamua kutoka tutakua mbele mutuue sisi kwanza, lakini Ukhanithi basi katika nchi hii".
View attachment 1553590
Mhe Rais mtarajiwa unaweza kumtumia neno Kama Ukhanithi tena kwenye mkutano?
Hapa anataka kumaanisha kuwa viongozi wa serikali Zanzibar ni ma......? Hii hapana kwa kweli.
Kumbe ndio mana vyombo habari Kama TBC vinakata matangazo.
Hakuna mwaka dhulma dhidi ya wazanzibari itadhihirika zaidi ya 2020!
😅
👊 ✌✌✌💥
View attachment 1553596
Mtu Kama huyu kwanini asienguliwe mkuu?
Tarehe ya kuzaliwa ni 2020 mkuu huoni wana haki ya kuenguliwa hapo?
Hivi ukishindwa tendo la ndoa una tofauti gani nakushindwa kushindana? Vyote havijawa uhanithi?Wana JF wenzangu sijui labda ni Mimi ndio sielewi Ila kwa mtu ambaye tunategemea aje kuwa Rais alafu anatamka maneno makali kiasi hiki si picha nzuri na inamvunjia heshima.
"Na mimi nawambieni CCM. Wallahilaadhim mara hii simzuii mtu yoyote kabisa na mimi na Viongozi wenzangu tukiamua kutoka tutakua mbele mutuue sisi kwanza, lakini Ukhanithi basi katika nchi hii".
View attachment 1553590
Mhe Rais mtarajiwa unaweza kumtumia neno Kama Ukhanithi tena kwenye mkutano?
Hapa anataka kumaanisha kuwa viongozi wa serikali Zanzibar ni ma......? Hii hapana kwa kweli.
Kumbe ndio mana vyombo habari Kama TBC vinakata matangazo.
1. Nitapiga shangazitunategemea aje kuwa Rais alafu anatamka maneno makali kiasi hiki si picha nzuri na inamvunjia heshima.
Unawezaje kuwaita viongozi wa nchi makhanithi mkuu huoni Kama anavuka mipaka hapo?
View attachment 1553596
Mtu Kama huyu kwanini asienguliwe mkuu?
Tarehe ya kuzaliwa ni 2020 mkuu huoni wana haki ya kuenguliwa hapo?
Hivi hili Jimbo la Rhoda lipo mkoa gani mkuu? tutetee kwenye haki Kaka.
View attachment 1553600
Kama umeamini huwa wanakata matangazo kwaajili hii basi unamatatizoWana JF wenzangu sijui labda ni Mimi ndio sielewi Ila kwa mtu ambaye tunategemea aje kuwa Rais alafu anatamka maneno makali kiasi hiki si picha nzuri na inamvunjia heshima.
"Na mimi nawambieni CCM. Wallahilaadhim mara hii simzuii mtu yoyote kabisa na mimi na Viongozi wenzangu tukiamua kutoka tutakua mbele mutuue sisi kwanza, lakini Ukhanithi basi katika nchi hii".
View attachment 1553590
Mhe Rais mtarajiwa unaweza kumtumia neno Kama Ukhanithi tena kwenye mkutano?
Hapa anataka kumaanisha kuwa viongozi wa serikali Zanzibar ni ma......? Hii hapana kwa kweli.
Kumbe ndio mana vyombo habari Kama TBC vinakata matangazo.
Amechanganyikiwa huyoMhe Rais mtarajiwa unaweza kumtumia neno Kama Ukhanithi tena kwenye mkutano?
Kwani jiwe kasema Nini?Mwambieni Jiwe naye achunge domo lake