Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Katibu Mkuu CUF, Maalim Seif Sharrif Hamad amesema yupo tayari kwa mazungumzo mwenyekiti wa chama hicho anayetambuliwa na ofisi ya msajili, Profesa Ibrahim Lipumba [HASHTAG]#MwananchiLeo[/HASHTAG]
My take;
Huu ndio ukubwa, CUF itajengwa na wana CUF...wakati nyie mnalumbana wenzenu wanazunguka huku na kule kuwaambia wananchi kuwa ukawa ni wao, ninyi hampo tena.
My take;
Huu ndio ukubwa, CUF itajengwa na wana CUF...wakati nyie mnalumbana wenzenu wanazunguka huku na kule kuwaambia wananchi kuwa ukawa ni wao, ninyi hampo tena.