Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #61
Mbona unakua na hasira? 'mdahalo' ni kitu gani dogo angali kaenda mahakamani...kwani wanahitaji kura? jitambue,usifubazwe akili..utaacha lini kuwa msukule wewe dogo?Ww mchumia tumbo!
Wapi Maalim kasema haya madudu uliyo andika?Nakupeleka kwa mods wa hapa wakuadhibu kwa uongo wako!Jitu zima unapokuwa muongo unaji aibisha tu
Maalim alicho sema wote tumekisikia!Maalim yupo tayari kwa MDAHALO kuwaeleza watz ana kwa
ana kwa nn CUF haimtambui na Prof Lipumba nae atatueleza kwa nn CUF imtambue!
Hamna mahali Maalim alisema yupo tayari kuzungumza na huyu Kafiir wenu!